Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Hii biashara mkuu haihitaji hasira, hawa wahudumu ndio ambao wanawakandamiza RAIA..uizi wao kwa mawakala ni hivi;
1. Comission wanayotoa haiendani na miamala unayoifanya kwa mwezi.....hadi mvutane vutane

2. Unaweza tumiwa Ujumbe wa malipo ya comission lakini pesa yenyewe hawaitumi. Kwahiyo usipoangalia salio inakuwa imekula kkwako

3. Watu wengi sana hukupigia simu na kujitambulisha kwamba wanapiga simu toka makao makuu aidha vodacom/Tigo, hapa kuna njia nyingi za kuibia endapo hutowagundua mapema

4..hawa watoa Huduma hupeana namba ya simu ya kwako (Wakala), wanapanga namna ya kukuibia ila watawapa watu wengine namba ili wawasiliane na wewe...kwa malengo ya kukutapeli
 
vijana siku hizi wajanja sana watakupiga wao watazungusha wewe unakula hasara
 
Habari za mda huu,

Napenda kuuliza jamani kwa wajuzi na wafanya miamara ya M-Pesa hivi ukiwa na mtaji wa laki mbili na ukiwa na till card unaweza fanya miamala au mpaka uongeze mtaji na je kwa mnaojua hivi katika makato ya anae toa shilingi 10000, wakala anafaidikaje? Natumai mmenielewa.

Naombeni sana ushauri wenu maana huku mtaani pagumu sana
 
Hivi huku kuibiwa kunakozungumzwa hapa hakuna njia ya kuhakiki na kudhibiti?
Katika hilo ebu tujiulize swali hili la msingi:

Je hakuna kiwango maalum ambacho wakala analipwa kwa muamala wa kiasi fulani ambao ataufanya? mfano:

Akimuwekea mtu kiasi cha sh. 10000,commission=300 (fixed) kwa kila muamala wa pesa hiyo na zaidi

Ukimtolea mtu kiasi cha 100000,commission=10000 (fixed) kwa kila muamala wa kiwango hicho.

Ikiwa malipo kweli yanafanyika kwa mtindo huo,kwamba kuna fixed amount kwa kila kiasi fulani cha muamala unaofanya,kwanini watu waseme wanaibiwa na ilhali unaweza kuweka kumbukumbu zako binafsi kwa kila muamala uliofanya na mwisho wa mwezi ukapiga hesabu yako ya jumla kwa commission zote ambazo utakuwa umejipatia kwa kipindi cha mwezi mzima?

Au kwa wazoefu wa hii biashara kuna ugumu au changamoto gani ya kujiwekea kumbukumbu zako ili kudhibiti wizi wa namna hii?

Ufafanuzi plz kwa wazoefu,nataka kumuomba Mungu katika hii biashara.
 
Natak kuanzisha kiband cha m Pesa na tigo Pesa ila nahitaj kujua kutok kwa wazoefu
1. Laini nanunua kutok kwa MTU. Je n nini faida na hasara ya kuchukua laini ya uwakal kwa MTU

2. Mm km wakal ntafaidikaje ?
Kwa wanao jua msaada Tafadhali
 
1.faida:utapata line kwa bei rahisi
Hasara: siku line ikizingua atatakiwa awepo aliekuuzia ndio msolve tatizo
Ni bora lain ukachukulie ofisi za tigo au voda moja kwa moja.achana na za mtaani, ita fika kipindi unatakiwa upate commision yako,mara nyingi uwa wanasumbua kwny comission, utakosa kwa kulalamikia madai yako
 
Nataka kuanzisha Ofisi ya kutoa Huduma za kifedha kama za banki, MTU apate Huduma zote za kibenki mpesa, dstv , luku, na zingine naomba ushauri kuhusu gharama na vitu gani Vya msingi vinatakiwa na pia ushauri jinsi ya kupata vibali
 
Inatakiwa uwe na LESENI YA BIASHARA,TIN ,na mtaji wako,profile ya business conduct kutoka polisi.
 
wadau naombeni mnisaidie locations za hapa dar zenye muingiliano mkubwa sana wa watu kwa biashara ya wakala wa pesa
 
Nataka kuwa wakala mkuu/ Super dealer wa Mpesa au Tigopesa nani anayeweza kunipa muongozo?
 
Wadau mpango wangu wa 2018 ni kufungua kijisehemu cha m-pesa na tigo pesa pamoja na maswala ya kuuza ruku...

Nataka kujua commission wanazicalculate vp? Na je! Kunauwezekano nikawa napiga hesabu za commission kwa siku mwenyewe kulingana na m mzunguko...kama nijuavyo hizi biashara hizi faida unaipata kwacommision...

Naomba nijue formula ya kucalculate m-pesa,tigo-PESA na ruku..
 
Naomba kwa anayejua nisije ingia kichwa kichwa kwenye biashara hizi kuna mahali nimeona fursa
 
Nitajie iyo sehemu uliyoona fursa wakati wewe unaendelea kusubiri comment za wadau humu
Hahaha mkuuu unataka uje uwekeze kesho nn.. Uzalendo ni kupeana deal naona hii Deal itakua yangu.... Naomba nijue calculation mkuu
 
Back
Top Bottom