Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Fahamu kuhusu kuanzisha biashara ya Mobile Money (M-Pesa, Tigopesa)

Ningekua na mtaji wa mtoa mada wallah ningejilipua sehemu smart kabisa
Yaani mleta uzi ana mtaji mkubwa sana

Mi nilianza na mtaji wa 30,000/

Nilipata kamisheni 11260

Mwezi ulio fuata niliongeza mtaji ukawa 50,000/ nilipita kamisheni 35760

Na kwa wakati huo kamisheni haikuwa kubwa kama saizi
 
Mkuu Wateja wengi tulio nao huwa wanatoa na kuweka kiasi kidogo sana

Mi huwa natumia mtaji kidogo na huwa napata faida kubwa
Na miamala midogo ndio yenye faida sana Kuliko hiyo mikubwa

Fikiria mteja wa tigo mmoja akiweka 50k unapata 480 kama commission
Ila wakija wateja 10 wa 5000 kuweka unatengeneza 2000 kasoro kama commission huo mfano mdogo tu
 
Huwa unapata laki 6 kwa mwezi kwa mtaji wa laki 5?
Mkuu kwa sasa nilisha punguza mtaji

Nimeacha kiasi cha laki nne ila kamisheni ya mwezi jana nimepata Laki mbili na kidogo na usimamizi hauko vizuri nikiwepo mwenyewe huwa nafikisha kamisheni hadi laki tatu na kidogo
 
Yaani mleta uzi ana mtaji mkubwa sana

Mi nilianza na mtaji wa 30,000/

Nilipata kamisheni 11260

Mwezi ulio fuata niliongeza mtaji ukawa 50,000/ nilipita kamisheni 35760

Na kwa wakati huo kamisheni haikuwa kubwa kama saizi
Na huo ndio uhalisia muhimu mzunguko tu mtaji si mali kitu na mleta mada akiwa mvumilivu miezi mitatu tu biashara hii inampa mtaji mkubwa zaidi me nilianza na laki Na nusu tena nikiwa na line moja kila mwezi nilikua si chini ya 60 elfu commission saa Hizi mtaji umekua kama 400k line zipo mbili najipatia laki 80 safi kwa mwezi
 
Na miamala midogo ndio yenye faida sana Kuliko hiyo mikubwa

Fikiria mteja wa tigo mmoja akiweka 50k unapata 480 kama commission
Ila wakija wateja 10 wa 5000 kuweka unatengeneza 2000 kasoro kama commission huo mfano mdogo tu
Mkuu naomba unisaidie jinsi ya kukokotoa hizo commissions

Utakuwa umetusaidia sana
 
Mtaji ulikuwa mkubwa si kwa mtaji huo wa mleta mada!.
Mi mwenyewe nafanya hiyo biashara mpaka saiz japo nipo mbioni kuifunga na ninauza TILL ZOTE.

TILL ZINAUZWA:
TILL za mitandao yote yaan
1. Vodacom(m-pesa)-150,000/=
2. Tigo(tigopesa) -120,000/=
3. Airtel(Airtel money) -100,000/=
4. Halotel(halopesa)- 70,000/=
pia maelewano yapo!. Till zote zina jina moja.
Kwa mnunuzi karibu PM tufanye biashara pia napatikana mbeya mjini

Karibuni
unakimbia ela au umeona hailipi?
 
Na miamala midogo ndio yenye faida sana Kuliko hiyo mikubwa

Fikiria mteja wa tigo mmoja akiweka 50k unapata 480 kama commission
Ila wakija wateja 10 wa 5000 kuweka unatengeneza 2000 kasoro kama commission huo mfano mdogo tu
Yaani wale Wateja wakubwa huwa tunahudumia kwa kuwa ni Huduma ila napenda Wateja wa nao weka kidogo kidogo
 
unakimbia ela au umeona hailipi?
Nmeeleza hapo juu kuwa nilianza biashara kwa kununua TILL za mtu mwaka juzi. Mwezi wa kwanza mwaka huu nlituma maombi ya till zangu ndo nmezipata leo hivyo naziuza hizi mpya maana tayar ninazo nlizonunua kwa mtu,nauza kuongeza mtaji kama ningekuwa na pesa ya kutosha ningefungua ofisi nyingine

Nazoziuza ni mpya kabisa atakayezinunua ndio atazitoa kwenye vikasha vyake
 
Na huo ndio uhalisia muhimu mzunguko tu mtaji si mali kitu na mleta mada akiwa mvumilivu miezi mitatu tu biashara hii inampa mtaji mkubwa zaidi me nilianza na laki Na nusu tena nikiwa na line moja kila mwezi nilikua si chini ya 60 elfu commission saa Hizi mtaji umekua kama 400k line zipo mbili najipatia laki 80 safi kwa mwezi
Hii biashara inalipa sana kinacho takiwa ni uvumilivu na kujua changamoto zake
Ukisha jua changamoto na ukawa na kauli nzuri kwa Wateja muda mfupi unajikuta umesha anza kula matunda
 
Mkuu naomba unisaidie jinsi ya kukokotoa hizo commissions

Utakuwa umetusaidia sana
Mkuu hizi commission zinaenda na ukubwa wa muamala husika ila tu wateja wa Kuweka kwako ndio wana commission kubwa kidogo kuliko wa kuwawekea wewe kwenye simu zao
 
Hii biashara inalipa sana kinacho takiwa ni uvumilivu na kujua changamoto zake
Ukisha jua changamoto na ukawa na kauli nzuri kwa Wateja muda mfupi unajikuta umesha anza kula matunda
Ukweli mtupu mkuu cha muhimu uvumilivu na umakini nachopenda hii biashara hata ukope hela ya mtu kuongeza mtaji wako wala Hupati shida akitaka chake unampa ila ukiwa tayari unatengeneza faida safi
 
Nmeeleza hapo juu kuwa nilianza biashara kwa kununua TILL za mtu mwaka juzi. Mwezi wa kwanza mwaka huu nlituma maombi ya till zangu ndo nmezipata leo hivyo naziuza hizi mpya maana tayar ninazo nlizonunua kwa mtu,nauza kuongeza mtaji kama ningekuwa na pesa ya kutosha ningefungua ofisi nyingine

Nazoziuza ni mpya kabisa atakayezinunua ndio atazitoa kwenye vikasha vyake
Ukitumia till.za mtu navyojua mm malipo huwa yapo chini coz inakua inakatwa katwa..tofauti na ukiwa na till zako. Sasa nakushangaa mzee baba. Hyo biashara ni biashara kichaaa tunapeana moyo tu hapa ili watu waingie kingi
 
Ukitumia till.za mtu navyojua mm malipo huwa yapo chini coz inakua inakatwa katwa..tofauti na ukiwa na till zako. Sasa nakushangaa mzee baba. Hyo biashara ni biashara kichaaa tunapeana moyo tu hapa ili watu waingie kingi
Uliza usaidiwe kuelewa mkuu!. Nadhani huna uelewa kuhusu hii biashara mkuu
 
Mkuu utafanyaje muamala wa 2milions wakat una mtaji wa 500,000?. Si utamwambia mteja sina cash au sina float ili aende kwa mwingine?. Kuwa reality mtaji una umuhim sana ili ufanye miamala mingi otherwise utasubir wa 50,000 au 20,000 akija wa million huwez muhudumia
Mkuu biashara sometimes ujanja ujanja unatakiwa na kuwa na kauli ya kibiashara ...kama biashara anadhani anaweza kuifanya aifanye hivyo hivyo hata kama atahudumia wateja wa 50,000 na mteja wa 500,000, akija wa million ambao ni wachache atajua namna ya ku-deal nao maana navyojua kama mtu ni mwaminifu sometimes huwa anapokea hela na kumpa namba ya wakala mwingine ili kuweza kumuaminisha mteja siku nyingine aje maana wenye vibanda vya huduma hizi wengi level zao hizo hizo za laki moja ama mbili inategemea na location.

Kwahiyo apige mdogo mdogo tu kama ana nia ya kweli ya hiyo biashara maana ukisema kuongeza mtaji wakati mwingine muda sio rafiki kwani ukiwa na goli (kibanda) ni mwanzo mzuri hata kama mtaji ni mdogo lakini pia ni rahisi kupiga hata mzinga mtu laki moja na nusu hata ndugu ama rafiki zako 10 kila mtu na amount yake kwa ahadi ya utawarudishia baada ya siku kadhaa unaongezea mtaji unaizungusha unapata commission yako alafu unarudisha on time unaendelea alafu unarudia zoezi hilo baada ya muda flani mpaka kinaeleweka, mjini mtu hawezi kukupa hela hata kama mwekundu kama huna shughuli hivyo hicho kibanda cha Mpesa akikizindua ndo mwanzo mzuri wa kujenga uaminifu kwa raia (mjini humu wengine tukiwa na shida ya laki 2 tunatumia mbinu ya kuomba watu tofauti tofauti hata kama ni 20,000 ama 40,000 mpaka itafika laki 2)
 
Mkuu hizi commission zinaenda na ukubwa wa muamala husika ila tu wateja wa Kuweka kwako ndio wana commission kubwa kidogo kuliko wa kuwawekea wewe kwenye simu zao
Sijaelewa hapa "wateja wa kuweka kwako"
 
Back
Top Bottom