Gwakukahja
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 1,119
- 738
Kisbo aache kupeleka Bus zuri Kahama au Mwanza alete Mbeya, ulipewa stori za mtaani tu nilikuwa naziona zile Kisbo zilikuwa za kawaida tu. Hafu ujue kuwa Golden deer za Mbeya hazina madereva wazuri ungesema za Tunduma sawa, hizo za Mbeya hata Rungwe anazichapa
Mbn haigher ...za dar lux zinasumbua sana njia ya mwanza to dar....yaani zinavyokohoa hata scania anapata tabu kuzipata sio kila kitu cha mchina ni kibovu
Service ndio inafanya magari haya kusumbua magari haya yanamfumo wa mechanic na electronic ...mafundi wengi wanayatengeneza kwa kubahatisha ndio maana hayadumu
sent from toyota Allex
Hyo bus noma sanaaaa,Bila shaka hiyo ni kangi lugola....sasa waulize hao alieko mbele ni nani..unasema sa saba na nusu wakat allys DQZ inapitaga hapo sa sita na nusu[emoji4][emoji4]
Natamani nikuelezee Uzuri ila sidhan kam tutaelewana, angular force torque ipo kwenye kila engine , ila engine huwa zinatofautiana jinsi zinavoweza kuhimili hiyo force bila kutetereka ,
Mwisho wa siku torque ndo inadetermine ufanisi na sio power tena ndo mana unashangaa 95 ina horsepower 310 tu ila nguvu zake so kitoto.
Sent from my SM-A207F using Tapatalk
Mwambie huo mda Tungis[emoji481][emoji481]Bila shaka hiyo ni kangi lugola....sasa waulize hao alieko mbele ni nani..unasema sa saba na nusu wakat allys DQZ inapitaga hapo sa sita na nusu[emoji4][emoji4]
Shida ya Sauli ni legroom ni ndogo sana..
Na Sauli si kuwa anatembea sana zaidi ya Wengine ila Yeye ana violate sheria sana. Mfano sehem ya kutembea 50kmp yeye ni 80kmh.
Pia wanaposimamishwa na traffic police hawasimami.
Sasa Wengine kwenye 50kmh hutembea hiyo hiyo
Unazungumzia ile ya kijivu?Vipi kuhusu mabasi mapya ya TATA MARCOPOLO BUS YALE YENYE BODY KAMA ZA U TONG .....YANAONEKANA KUWA IMARA KWA SASA .....KANDA YA ZIWA KUNA BATCO ANAYATUMIA KAMA JARIBIO ...HAYAONEKANI KUCHOKA YAPO IMARA SANA
Je haya yamekuja kutoa upinzani kwa scania bus , na kuna bus nzuri kabisa alikuwa nazo tajiri mmoja pale TANGA RAHA LEO ISUZU!! VIP HIZOView attachment 1387425
sent from toyota Allex
Iko moja tu, yakawaida sana huenda alipigwa pale batco[emoji23]
Nilikuwa natafuta mtu mwenye mawazo hayaKilicho wafanya muwahi kufika mbeya sio mbio za sauli, Bali ni uwezo wa kuhimili (stable torque) wa engine ya 95
Katika Dunia ya diesel, common rail injection + variable geometry turbocharger, ni deadly combination, ie Gari za mfumo huo zinakuwa na nguvu kupitiliza
Hizo basi za Imani na alysaed haziwezi kukaa hata robo ya maisha ya hiyo scania, amini nakwambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaenda wapi hiyo?Bila shaka hiyo ni kangi lugola....sasa waulize hao alieko mbele ni nani..unasema sa saba na nusu wakat allys DQZ inapitaga hapo sa sita na nusu[emoji4][emoji4]
Mjadala wa mwezi Feb wewe ndo unajibu leo hukuwa na vocha?
na ndo maana mchina mwenye horse power 360 anaachwa vizuri tu na Scania yenye horse power 310
Sent using Jamii Forums mobile app
sauli ni mchumba? mkuu kila siku gari za kichina zinakimbizwa na ma scania ya sauli na lile benzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mjadala wa mwezi Feb wewe ndo unajibu leo hukuwa na vocha?
ongeza sautNarudia tena sauli kwa hiyo njia ni mchumba...angalia kuna bideo huko juu na cheki rekodi za kufika mapema sauli kafika mara chache ile ni scania ila haina maajabu
Sent using Jamii Forums mobile app