Gwakukahja
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 1,119
- 738
mbona saiv huyo kisbo ana biluzwa na tungis na Allys
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisbo aache kupeleka Bus zuri Kahama au Mwanza alete Mbeya, ulipewa stori za mtaani tu nilikuwa naziona zile Kisbo zilikuwa za kawaida tu. Hafu ujue kuwa Golden deer za Mbeya hazina madereva wazuri ungesema za Tunduma sawa, hizo za Mbeya hata Rungwe anazichapa
Sent using Jamii Forums mobile app