bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Unaweza ukafanya hivyo na bado ukabomolewa, unalijua tingatinga mukuu?
Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana Afya, mimi nami nimekupa hali halisi. Usiupuuze wasi wasi wangu, through me utapata kujua kwa nini watu wapo hivyo walivyo.Haya sasa jenga uje uvunjiwe mimi kama bwana afya huwa nawaambiaga watu wa kata yangu ila wanakuwa vichwa vigumu sehemu ambayo unaona haitakiwi kama hifadhi ya barabara, sehemu za wazi, mabondeni, mkondo wa umeme mkubwa, hifadhi za misitu maeneo ya shule ila bado hawasikii wavunjiwe tu
ukienda halmashauri utakuta plan na hiyo unailipia sasa watz tuache ujinga wa shoti kati na tufuate ushauri
Bwana Afya, mimi nami nimekupa hali halisi. Usiupuuze wasi wasi wangu, through me utapata kujua kwa nini watu wapo hivyo walivyo.
Kama unathubutu kutuita wajinga, unamuitaje Afisa mwenzio wa TANESCO na mwenzake wa DAWASCO wanaowawekea huduma za maji na umeme waliojenga huko huko pasiporuhusiwa? Wao nao hawajui zilipo ofisi za halmashauri wakachukue plan?
Ukitaka kuijua hii nchi tuulize wananchi.
Nashindwa kuelewa kabisa. Kwanini isingekuwa unapeleka ramani ya nyumba,malipo ya kibali na hati tu; mlolongo namna hiyo halafu kibali unapewa baada ya miez 6 si usumbufu huu.Duuu utafikili baada ya kufuata hatua zote unapewa mkopo wa vifaa vya ujenzi?
Na kibali chenyewe kinalipiwa mapesa chungu nzima!!Duuu utafikili baada ya kufuata hatua zote unapewa mkopo wa vifaa vya ujenzi?
Twafa wa TzNa kibali chenyewe kinalipiwa mapesa chungu nzima!!
Nashindwa kuelewa kabisa. Kwanini isingekuwa unapeleka ramani ya nyumba,malipo ya kibali na hati tu, mlolongo namna hiyo halafu kibali unapewa baada ya miez 6 si usumbufu huu.