lun
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 667
- 743
Vipi yalishawi kukuta?Sasa unataka kujua kwamba kuna kitu kinaitwa urasimu mjombake rushwa. Tafuta hicho kibali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi yalishawi kukuta?Sasa unataka kujua kwamba kuna kitu kinaitwa urasimu mjombake rushwa. Tafuta hicho kibali.
Haya mazoea ndio baadae yanatugharimu.Mbona Sisi tunajenga bila vibali au mansion hilo
Sisi tunaanza chumba kimoja kimoja manispaa ukienda inakuwa kama wanakukomoa vile.Haya mazoea ndio baadae yanatugharimu.
Mbona Sisi tunajenga bila vibali au mansion hilo
Maeneo haya ukianza tu....jamaa hawa!Weee muache atafute vibali mwenzio huko mbweni kwa wazito hakuna nyumba za hovyo hovyo
Kuna kaka yangu alinunua kiwanja kisicho pimwa akataka akipime bei ya kupima ilikuwa kama wanakukomoa na bado unawalipa lakini kazi hawataki kufanya.Maeneo haya ukianza tu....jamaa hawa...........!
Halafu wanakuandikia kwa wino mwekundu - "BOMOWA"Maeneo haya ukianza tu....jamaa hawa...........!
Unaweza kujenga hata ukiwa na hiko kibali ila nchi hii ikifika wakati hao wanaokupa kibali kuamka kutoka usingizini unakuwa sawa na sisi ambao tulijenga bila vibali,unadhani lile jengo la Tanesco lilijengwa bila kibali?Haya mazoea ndio baadae yanatugharimu.
Kwahio wewe unamshauri mtu ajengr bila kibali kisa tanesco wamebomolewa? Kwanini lele jengo limebomolewa? Kwasababu liko ndani ya hifadhi ya barabara.Unaweza kujenga hata ukiwa na hiko kibali ila nchi hii ikifika wakati hao wanaokupa kibali kuamka kutoka usingizini unakuwa sawa na sisi ambao tulijenga bila vibali,unadhani lile jengo la Tanesco lilijengwa bila kibali?
Vipi mkuu, hata servant quarter inahitaji kibali?Kama unajenga ghorofa inbd uwe na michoro ya architect, pamoja na michoro ya structural engineer, kama ni jengo la kawaida ambalo sio ghorofa inabd uwe na mchoro wa architect, baada ya hapo unapeleka copy tatu za mchoro wa architect manispaa, kumbuka huo mchoro lazma uwe na mhuri wa registered arch. Firm.. Kama ni ghorofa lazma upeleke nakala tatu za mchoro wa architect, pia nakala mbili za mchoro wa structure eng. Ukiwa na mhuri...
*kama huna mchoro wowote unaweza kunifata pm tutaweza fanya kazi na kukufuatlia kibali manispaa*
Kisheria kila ktu kinachojengwa kinahtaji kibali, ila kulingana na ukiritmba uliopo huko manispaa wengi huwa hawafati huo utaratbu..Vipi mkuu, hata servant quarter inahitaji kibali?
Shukrani sana mkuu.Kisheria kila ktu kinachojengwa kinahtaji kibali, ila kulingana na ukiritmba uliopo huko manispaa wengi huwa hawafati huo utaratbu..
Unaweza jenga ila wakikudaka lazma wakupige fine, cha kukushauri tu kama unataka kujenga unaweza enda ofisi ya serikali ya mtaa wale huwa ndo wanawatonya watu wa manispaa, wale ukienda nao sawa ujenzi wako utakamilika bila bugudha yoyote
Wewe ni Eng. kweli?Kama unauhakika kiwanja chako kipo mahari pazuri, we anza kujenga acha bwebwe manispaa watakufuata wenyewe km kuna shida
Sisi tunaanza chumba kimoja kimoja manispaa ukienda inakuwa kama wanakukomoa vile