bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,370
- 3,962
Good thread truly.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HatupangiwiHahaha ata mimi nilijua hawawezi kukanyaga huku usishangae ukawana na viewer 150 ila ile ya kule chit chat hahaha inakuwa na viewer kama wakazi za darisalama
Ningependa kujua kama nimefuata hatua zote zinazostahili ila wakati wa kuanza kujenga nikataka kubadilisha/kuongeza idadi ya madilisha.je itabidi nianze upya kuomba kibali dhidi ya mabadiliko au imekaaje wakuu?
kote umepuyanga mkuu ungetaja gharama ya hivyo vibali hata mwenyewe ungeukimbia uzi wako
Afu hizo taratibu mbona lukuki. Naamini zingefuatwa pasingekuwa na slums wala uswazi.Kupata tu huo mchoro ni ujenzi tosha.....
Si ndo hapo na ukjichanganya na hiko chumba chako na sebule hawakuachi wanafyeka pesa yakoAfu hizo taratibu mbona lukuki. Naamini zingefuatwa pasingekuwa na slums wala uswazi.
Wameweka tu njia za kula hela hakuna chochote kinachokaguliwa labda kwa wajenga magorofa.
Chumba na sebule bwana afya wa kazi gani.
BOQ Haihitajiki katika kuomba kibali cha ujenzi, inatakiwa katika hatua ya ujenzi wenyewe katika kupata gharamaVipi kuhusu Bill Of Quantities (BOQ), haihitajiki?
Fence pia inahitaji kibali ila mlolongo wake ni mfupi. Unaandika barua ya maombi ukiambatanisha nakala ya hati, risiti za malipo ya kodi ya ardhi pamoja na mchoro wa fence. Baada ya uhakiki wa umiliki na ukaguzi wa eneo husika unalipia kibali na unapataKama nataka kujenga fence ya ukuta; nayo inahitaji kibali?
Ok thanksBOQ Haihitajiki katika kuomba kibali cha ujenzi, inatakiwa katika hatua ya ujenzi wenyewe katika kupata gharama