Fahamu matumizi ya kipande cha mkaa wakati wa kulala ili upate usingizi mzuri

Fahamu matumizi ya kipande cha mkaa wakati wa kulala ili upate usingizi mzuri

Wasalaam!

Katika maisha yetu ya kila siku tuna uwepo wa Mungu na shetwani, na nyakati za kulala uwe mchana au usiku uwepo wa ibilisi na Mungu upo, hivyo basi tunao wenzetu ama sisi wenyewe, ambao mara nyingi au siku baadhi hupatwa na mikasa ya mazonge na vitu vibaya nyakati za kulala, na hii hujitokeza katika NDOTO hasa NDOTO mbaya.

Kwa muktasari huo naomba kuwajulisha, kuwapa kinga ama dawa isiyo na masharti yoyote wala vinasaba vya uchawi au shetwani.

Chukua kipande cha Mkaa weka ndani ya Mto/Pillow yako kisha lala, hio ndio dawa ya Ndoto mbaya.,na nuksi zingine zinazo ambata nawe nyakati za kulala.

Inshallah ikawe heri Mungu awasaidie nyote muwe mnalala vizuri pasipo mazonge yoyote.

Wadiz katika afya na amani ya usingizi bila ndoto chafu.
Hii ni Chemistry, Physics, Biology au nini?

Inafanya kazi vipi?

Huyo Mungu unaweza kuthibitisha yupo?
 
Watu wanakula mkaa Mzee hujawah ona. Kweli wewe wa mjini. Ukimeza kinakuw tumboni mda wote mikosi inakaa mbali.
Duuh ndio naipata hio unamezaje mkaa na huo mkaa unakaa muda wote huko tumboni au niaje? Wewe mtata unanipiga maswali kumbe unajua zaidi?
 
Hio matrix ya ndoto mbaya ndio umeniacha mkuu, mkaa unakataje shombo la ndoto mbaya au haujanielewa? How explain maana hakuna anaeamua leo naota ndoto mbaya hutokea tu automatically
Muhimu weka hicho kipande Cha Mkaa kwenye Mto wako basi
 
Zero subjects myth that really works
Mkuu mimi naachana na ujinga, nasoma articles zangu za Bigthink, pamoja na kuongeza chapters fulani muhimu katika vitabu vya maana.

Ujinga hauishi na siwezi kutaka kujibizana na kila mchawi kila nikiitwa kufanya hivyo.

I have very limited time and so much to do.
 
Mkuu mimi naachana na ujinga, nasoma articles zangu za Bigthink, pamoja na kuongeza chapters fulani muhimu katika vitabu vya maana.

Ujinga hauishi na siwezi kutaka kujibizana na kila mchawi kila nikiitwa kufanya hivyo.

I have very limited time and so much to do.
Sasa kama unajua yote hayo umefata nini kwenye thread ya mwenzio kama sio ujuaji we kimaa
 
Mkuu mimi naachana na ujinga, nasoma articles zangu za Bigthink, pamoja na kuongeza chapters fulani muhimu katika vitabu vya maana.

Ujinga hauishi na siwezi kutaka kujibizana na kila mchawi kila nikiitwa kufanya hivyo.

I have very limited time and so much to do.
You have not lived ur words in a practical sense, have u acted subconsciously momentarily? Life with with dynamics has caught you up involuntarily!!
 
Mkuu mimi naachana na ujinga, nasoma articles zangu za Bigthink, pamoja na kuongeza chapters fulani muhimu katika vitabu vya maana.

Ujinga hauishi na siwezi kutaka kujibizana na kila mchawi kila nikiitwa kufanya hivyo.

I have very limited time and so much to do.
Mchawi anakwambia uweke mkaa chini ya mto hawa jamaa wana trick mbaya za kutuhadaa hawa, weka mkaa kesho uamke umechoka vibaya hujiwezi mara una fibroids zinakuendesha
 
Wasalaam!

Katika maisha yetu ya kila siku tuna uwepo wa Mungu na shetwani, na nyakati za kulala uwe mchana au usiku uwepo wa ibilisi na Mungu upo, hivyo basi tunao wenzetu ama sisi wenyewe, ambao mara nyingi au siku baadhi hupatwa na mikasa ya mazonge na vitu vibaya nyakati za kulala, na hii hujitokeza katika NDOTO hasa NDOTO mbaya.

Kwa muktasari huo naomba kuwajulisha, kuwapa kinga ama dawa isiyo na masharti yoyote wala vinasaba vya uchawi au shetwani.

Chukua kipande cha Mkaa weka ndani ya Mto/Pillow yako kisha lala, hio ndio dawa ya Ndoto mbaya.,na nuksi zingine zinazo ambata nawe nyakati za kulala.

Inshallah ikawe heri Mungu awasaidie nyote muwe mnalala vizuri pasipo mazonge yoyote.

Wadiz katika afya na amani ya usingizi bila ndoto chafu.
Imani za kishirikina. Ukiamini ujinga huu hata ukilala na kipande cha jiwe au mavi ya kuku utalala tu.Ni suala l a imani mfu
 
Imani za kishirikina. Ukiamini ujinga huu hata ukilala na kipande cha jiwe au mavi ya kuku utalala tu.Ni suala l a imani mfu
meaning attachment defines everything circumstantially. Take sides situationally and live a happy life.
 
Back
Top Bottom