Fahamu matumizi ya kipande cha mkaa wakati wa kulala ili upate usingizi mzuri

Fahamu matumizi ya kipande cha mkaa wakati wa kulala ili upate usingizi mzuri

Duuh ndio naipata hio unamezaje mkaa na huo mkaa unakaa muda wote huko tumboni au niaje? Wewe mtata unanipiga maswali kumbe unajua zaidi?
Nimemeza mkaa na bad niko macho nineota nimezungukwa na manyoka dadeki. Ngoja nifungie kwenye mfuko ndo niweke kwenye mto. .

Kweli nimeamini Bwana asipoulinda mji waulindao wanafanya kazi bure. .
 
Nimemeza mkaa na bad niko macho nineota nimezungukwa na many okay dadeki. Ngoja nifungie kwenye mfuko ndo niweke kwenye mto. .

Kweli nimeamini Bwana asipoulinda mji waulindao wanafanya kazi bure. .
🙄🙄🙄🙄🙄🙄
 
Saa tisa dakika 51 usiku hii hapa bado sipati usingizi. Nilikuw na usingizi ila baada ya kumeza mkaa ukakata. Nimeweka mkaa mdogo kwenye mto wa kulalia ila bad napata maruerue. Ngoja niweke mkaa mkubwa Chini ya mto labda nitalala.

Au hii mikaa huwa inachagua miti. Huu mkaa wangu nimenusa nahisi mnazi. Mkaa wa mnazi unafaa?

1673311934025.png
 
. 03:55 Ngoja nilale nitaleta mrejesho mornin. .
 

Attachments

  • 1673312015185.png
    1673312015185.png
    2.5 MB · Views: 10
Mkuu saa kumi na dk 11 usingiz umekata mda niko kwa bed nashangaa tu dadeki
 
Mkuu mimi naachana na ujinga, nasoma articles zangu za Bigthink, pamoja na kuongeza chapters fulani muhimu katika vitabu vya maana.

Ujinga hauishi na siwezi kutaka kujibizana na kila mchawi kila nikiitwa kufanya hivyo.

I have very limited time and so much to do.
Kumbuka kuna degree masters na phd za uchawi huko dunia ya kwanza wanafundisha madarasani

Na wana mipango ya kuanza kufundisha kuanzia elimu ya chini zaidi
 
Mara mifupa ya nguruwe.
Mara vitunguu swaumu.
Mara paketi za chumvi.
Leo tena mikaa.

Ngoja tunywe konyagi na ganja 2,then tunaamka saa 12 asubuhi
 
Kumbuka kuna degree masters na phd za uchawi huko dunia ya kwanza wanafundisha madarasani

Na wana mipango ya kuanza kufundisha kuanzia elimu ya chini zaidi
Mkuu,

Nkianzisha degree kusema kwamba wewe mjinga, utakuwa mjinga kwa sababu nimeanzisha degree kusema wewe ni mjinga?
 
Ukitaka kujua Mwenyenzi Mungu Mtakatifu yupo mkufuru
Mimi nimekuwa nasema hayupo miaka nenda miaka rudi, na hakuna lolote lililotokea.

Thibitisha Mungu yupo, acha longolongo.
 
Mkaa Ni carbon hata ukichukua kile kidude ambacho kipo kwenye pensil aka graphitebado shetani anaogopa carbon au hata diamond
 
Back
Top Bottom