cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Kwa hio mkuu hapo chini ya mto umekiweka kipande cha mkaa ili usiote unalishwa pweza mzima mzima anaingia tumboni huku anatembea?
Kwanini haujamuuliza aliyeleta hii mada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hio mkuu hapo chini ya mto umekiweka kipande cha mkaa ili usiote unalishwa pweza mzima mzima anaingia tumboni huku anatembea?
Wewe nimekuuliza kwa niaba yake kwani umelala nae mda huu?Kwanini haujamuuliza aliyeleta hii mada?
Nimemeza mkaa na bad niko macho nineota nimezungukwa na manyoka dadeki. Ngoja nifungie kwenye mfuko ndo niweke kwenye mto. .Duuh ndio naipata hio unamezaje mkaa na huo mkaa unakaa muda wote huko tumboni au niaje? Wewe mtata unanipiga maswali kumbe unajua zaidi?
🙄🙄🙄🙄🙄🙄Nimemeza mkaa na bad niko macho nineota nimezungukwa na many okay dadeki. Ngoja nifungie kwenye mfuko ndo niweke kwenye mto. .
Kweli nimeamini Bwana asipoulinda mji waulindao wanafanya kazi bure. .
Not that easy. All depends on the side you take and on what you take the side.meaning attachment defines everything circumstantially. Take sides situationally and live a happy life.
Kumbuka kuna degree masters na phd za uchawi huko dunia ya kwanza wanafundisha madarasaniMkuu mimi naachana na ujinga, nasoma articles zangu za Bigthink, pamoja na kuongeza chapters fulani muhimu katika vitabu vya maana.
Ujinga hauishi na siwezi kutaka kujibizana na kila mchawi kila nikiitwa kufanya hivyo.
I have very limited time and so much to do.
Ukitaka kujua Mwenyenzi Mungu Mtakatifu yupo mkufuruHii ni Chemistry, Physics, Biology au nini?
Inafanya kazi vipi?
Huyo Mungu unaweza kuthibitisha yupo?
Mkuu,Kumbuka kuna degree masters na phd za uchawi huko dunia ya kwanza wanafundisha madarasani
Na wana mipango ya kuanza kufundisha kuanzia elimu ya chini zaidi
Mimi nimekuwa nasema hayupo miaka nenda miaka rudi, na hakuna lolote lililotokea.Ukitaka kujua Mwenyenzi Mungu Mtakatifu yupo mkufuru
[emoji23][emoji23][emoji23]Unanivuruga kuhusu Mungu angalia imani yako wewe mtukutu sana bhana