Josemzampola
Member
- Mar 6, 2023
- 78
- 97
Asante, ngoja nianze chap kuepuka mazonge ya usiku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkaa,carbon unasaidia Nini kuepusha ndoto,unaingiliaje utendaji wa ubongo,?au ni mambo ya kumeza meza TU,Wasalaam!
Katika maisha yetu ya kila siku tuna uwepo wa Mungu na shetwani, na nyakati za kulala uwe mchana au usiku uwepo wa ibilisi na Mungu upo, hivyo basi tunao wenzetu ama sisi wenyewe, ambao mara nyingi au siku baadhi hupatwa na mikasa ya mazonge na vitu vibaya nyakati za kulala, na hii hujitokeza katika NDOTO hasa NDOTO mbaya.
Kwa muktasari huo naomba kuwajulisha, kuwapa kinga ama dawa isiyo na masharti yoyote wala vinasaba vya uchawi au shetwani.
Chukua kipande cha Mkaa weka ndani ya Mto/Pillow yako kisha lala, hio ndio dawa ya Ndoto mbaya, na nuksi zingine zinazo ambata nawe nyakati za kulala.
Inshallah ikawe heri Mungu awasaidie nyote muwe mnalala vizuri pasipo mazonge yoyote.
Wadiz katika afya na amani ya usingizi bila ndoto chafu.
Kivipi? Tupe elimuMkaa Ni carbon hata ukichukua kile kidude ambacho kipo kwenye pensil aka graphitebado shetani anaogopa carbon au hata diamond
Wasalaam!
Katika maisha yetu ya kila siku tuna uwepo wa Mungu na shetwani, na nyakati za kulala uwe mchana au usiku uwepo wa ibilisi na Mungu upo, hivyo basi tunao wenzetu ama sisi wenyewe, ambao mara nyingi au siku baadhi hupatwa na mikasa ya mazonge na vitu vibaya nyakati za kulala, na hii hujitokeza katika NDOTO hasa NDOTO mbaya.
Kwa muktasari huo naomba kuwajulisha, kuwapa kinga ama dawa isiyo na masharti yoyote wala vinasaba vya uchawi au shetwani.
Chukua kipande cha Mkaa weka ndani ya Mto/Pillow yako kisha lala, hio ndio dawa ya Ndoto mbaya, na nuksi zingine zinazo ambata nawe nyakati za kulala.
Inshallah ikawe heri Mungu awasaidie nyote muwe mnalala vizuri pasipo mazonge yoyote.
Wadiz katika afya na amani ya usingizi bila ndoto chafu.
Sio hilo tu,Wasalaam!
Katika maisha yetu ya kila siku tuna uwepo wa Mungu na shetwani, na nyakati za kulala uwe mchana au usiku uwepo wa ibilisi na Mungu upo, hivyo basi tunao wenzetu ama sisi wenyewe, ambao mara nyingi au siku baadhi hupatwa na mikasa ya mazonge na vitu vibaya nyakati za kulala, na hii hujitokeza katika NDOTO hasa NDOTO mbaya.
Kwa muktasari huo naomba kuwajulisha, kuwapa kinga ama dawa isiyo na masharti yoyote wala vinasaba vya uchawi au shetwani.
Chukua kipande cha Mkaa weka ndani ya Mto/Pillow yako kisha lala, hio ndio dawa ya Ndoto mbaya, na nuksi zingine zinazo ambata nawe nyakati za kulala.
Inshallah ikawe heri Mungu awasaidie nyote muwe mnalala vizuri pasipo mazonge yoyote.
Wadiz katika afya na amani ya usingizi bila ndoto chafu.