sumu-ya-panya
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 632
- 572
nimejaribu hata kuka kijijini na porin mbali na watu badoooJikubali vile ulivyo, usijali jinsi watu wanvyokucheka au wanavyokuchukulia.
Ukifanikiwa hapo mwenyewe utaanza kuona mabadiliko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimejaribu hata kuka kijijini na porin mbali na watu badoooJikubali vile ulivyo, usijali jinsi watu wanvyokucheka au wanavyokuchukulia.
Ukifanikiwa hapo mwenyewe utaanza kuona mabadiliko.
sina mchepuko,sijaowa,sina mpango wa kando,sidaiwi sasa mawazo ya niniLabda unakonda kwa mawazo.
Inabidi uwende kwa fundi baiskeli akujaze upepo[emoji23]nimejaribu hata kuka kijijini na porin mbali na watu badooo
Lini utapata pesa.sina mchepuko,sijaowa,sina mpango wa kando,sidaiwi sasa mawazo ya nini
Basi kuwa mpole Fanya kazi kwa Bidiiumeniona kweli??? alafu pesa khakuna altenative zingine
wewe unasema ukweli. HongeraSubiri utanenepa muda ukifika. Wala usiutamani.
Na ukija usije ukalia ukasema unataka kukonda.
Me kabla sijaolewa nilikuwa na kg around 48 to 50. Saivi ninakaribia kg 80. Kupunguza kg 1 tu ishu. Natamani nifike walau 60 kg lkn meshindwa. [emoji26]
maskini mimi hata nikitembea magoti inasuguana ka vyuma chakavuNi discipline tu, panga vyakula na tembea kwa lisaa limoja kila siku, itakuchukua muda mrefu lakini utafika.
nikifika kwa interview wananiangaliaga tu na kuliambia tumemaliza.Basi kuwa mpole Fanya kazi kwa Bidii
nimekonda mpaka naambiwa niko na Experience na kupunguza uzitoKunenepa ni kuridhika na maisha na kipato ulichonacho kwahiyo ukiridhika utaona 4GB zinakuja bila nguvu za mayai
Kesi yako ni tofauti, nilitaka kukuambia kunywa bia angalau mbili kila siku, pia chapati, vitumbua, mchana ugali mboga na nyama/samaki. jioni bia, ndizi na nyama choma.maskini mimi hata nikitembea magoti inasuguana ka vyuma chakavu
siwezi rudisha membership inasaidiaga tunapata hata maindi ya kukaanga tu.wakati mwingine tushindie chakula ya kukukama we ni member wa ile chama ya kina omondi (S.P.U- skinny people united) rudisha kadi ya chama kwanza.
nakweli iyo kesi kwisha. naweza kukukopa elfu 10 nikaitoe photocopy ni imagin niko na pesa mingiKesi yako ni tofauti, nilitaka kukuambia kunywa bia angalau mbili kila siku, pia chapati, vitumbua, mchana ugali mboga na nyama/samaki. jioni bia, ndizi na nyama choma.
kwani upo wapiOk do this tafuta lishe chukua matama Uwele Ulezi mahindi karanga saga upate unga wake uwe unapika uji wake me mwenyewe nilikuwa mwembamba sana but nilipo anza kazi daah sehemu zote za misosi dar zilnikoma
😉😉😉 ningetaka kitambi sawaInabidi uwende kwa fundi baiskeli akujaze upepo[emoji23]
Kanunue hivo vitu sokoni usage upate unga uwe unapika uji kunywa kila siku Mara 2kwani upo wapi
fanya shopping ya chakula, pika ukishakula lala kuhifadh nguvu. Kwa wiki moja utupe mrejesho.😉😉😉 ningetaka kitambi sawa
Pole na mie nakumbuka 2014 nilikondaa mpaka nikatoka visoap dish kwenye shingo kama model ( best zangu wakawa wananitania nikieka maji yanaeza yasimwagike mpaka jioni hahaha)nimekonda mpaka naambiwa niko na Experience na kupunguza uzito