Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Pole sana binti.Habarini JF Doctors!
Husika na kichwa cha habari hapo juu..
Mimi ni msichana wa miaka 24! Ila mwili wangu hausadifu miaka yangu!
Yaani ni mwembamba mno.
Na hata kilo zangu ni utata jamani nina kilo 40!
Nilishawahi kutumia vidonge vya kuongeza kilo na hamu ya kula but haijasaidia kitu!
Honestly, sina stress, sina roho mbaya na wala sio mvivu kula!
Naomba nielezwe kama kuna dawa ya uhakika ya kuongeza mwili na kilo!
Nitashukuru sana!
Jitahidi ufanye haya.
-Jitahidi kunywa vitu vya baridi
-pendelea kuoga maji ya baridi.
-ongeza kiasi cha chakula na idadi ya milo.
-pendelea kula vyakula vyenye mafuta.
-usipende kufanya mazoezi
-usitembee umbali mrefu.
-pata muda mrefu wa kupumzika.