monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,256
- 11,377
Faken kabisa yaani nisinywe bia?Usile vyakula vya wanga kwa wingi(carbohydrates). Maugali na wali kula kidogo sana.
Usinywe bia (safari lager, Kilimanjaro, and the like).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Faken kabisa yaani nisinywe bia?Usile vyakula vya wanga kwa wingi(carbohydrates). Maugali na wali kula kidogo sana.
Usinywe bia (safari lager, Kilimanjaro, and the like).
Hata nifanyeje mie kwenye Obesity siwezi kufika.Mhhh!Kuwa na mwili wa kawaida,unakuwa mwepesi kwa kila kitu.Fanya mazoezi ya kujenga mwili wako ukae vizuri.Kaa mbali na kitu kinaitwa Obesity.
😂😂😂 wewe wapo tena wa kutoshaKwa mwanamke ni rahisi sana tu. Anzisha biashara ya mama lishe ama mgahawa, matokeo lazima yajibu.
Ushaona mamantilie kimbaumbau? Fanya utafiti usio rasmi.
Hmm maybe, ila me sitaki unene aseeIla kwa kweli sikatai. Kwetu sisi wabantu mwanamke mnene ana heshima zake. Na siyo anaheshimiwa na wanaume tu, hata wanawake wenziye wanamheshimu pia.
Hahaha naona aibu kusemaZiongezeke sehemu ipi ama eneo gani hasa?
hahaaa makande hayashibishi..unaweza ukala sufuria zima ila baada ya nusu saa una njaa tenaKula makande na matunda
atanipikia nani hizo protein na wangaMkuu achana na dada yangu.Nina uhakika itakusaidia.
Kwa nilivyogundua unataka mwili fulani wa kawaida uliojazia maeneo ya kati.Fanya mazoezi ya kuongeza buttocks,kula chakula kawaida.Hata nifanyeje mie kwenye Obesity siwezi kufika.
Nataka tu vinyama nyama kiasi
Me mwenyewe nataka kuwa chibonge.
Ngoja niweke kambi hapa
Ale nyama na kubeba vyuma na mazoezi mazito . Atafute zile protein placements kwenye maduka ya vyakula au pharmacy
nmekupata shemeji...ntalifanyia kazi suala lako japo ni mvivu sana wa kunyanyua hivyo vitu vizitoAle nyama na kubeba vyuma na mazoezi mazito . Atafute zile protein placements kwenye maduka ya vyakula au pharmacy
ntajitahidi kuzingatia aliyoyasema
Hapo kwenye kubeba vyuma sawa,na asisahau kufanya mazoezi ya kupunguza tumbo kwa sana.Akiacha tumbo lazima tu.Ale nyama na kubeba vyuma na mazoezi mazito . Atafute zile protein placements kwenye maduka ya vyakula au pharmacy
Pata ngwengwe
'Mzig'o ukiongezeka hata wanawake wenzako watakusengenya kwa kukuonea gere.Hahaha naona aibu kusema