Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Wadau hamjamboni nyote?
Hizo ndizo sifa kuu za Muislamu
Uslamu ndiyo dini ya haki duniani kote
Ni wenye akili. Daima wapo makini, kwa sababu wana ufahamu wa ibada zao. Daima huwahudumia waumini na dini kwa kutumia akili. (al-Mumin, 40/54; az-Zumar, 39/18)
Ni wenye kupambana kiakili kwa nguvu dhidi ya wakanushaji kwa ajili ya Allah. Hususan wakanushaji wakubwa. Huendelea na mapambano yao bila ya hofu wala uvivu. (al-Anfal, 8/39; al-Hajj, 22/78; al-Hujurat, 49/15; at-Tawba, 9/12)
Hawana woga wa kusema ukweli. Hawana hofu ya kuuweka wazi ukweli kwa kuhofia watu. Hawaogopi wakisemacho wakanushaji dhidi yao; hawapuuzi mashambulizi na dhihaka zao; Hawaogopi kukosolewa na wale wenye kuwalaumu. (al-Maida, 5/54, 67; al-Araf, 7/2)
Kufikisha dini ya Allah kwa watu. Ni wenye kuwaita watu katika dini ya Allah kwa kutumia njia tofauti. (Nuh, 71/5-9)
Si madhalimu. Ni wenye huruma na huathirika na shida za wengine. (an-Nahl, 16/125; at-Tawba, 9/128; Hud, 11/75)
Ni wenye kujizuia na hasira; ni wenye uvumilivu na kusamehe. (Aal-i Imran, 3
waaminifu. Huonyesha utu wenye nguvu na husifika kwa kujiamini. (ad-Duhan, 44/17-18; at-Takwir, 81/19-21; al-Maida, 5/12; an-Nahl, 16/120)
Wanaumizwa na ukandamizaji na ukatili. (ash-Shuara, 26/49, 167; al-Ankabut, 29/24; Yasin, 36/18; Ibrahim, 14/6; an-Naml, 27/49, 56; Hud, 11/91)
Ni wenye kuvumilia shida. (al-Ankabut, 29/2-3; al-Baqara, 2/156, 214; Aal-i Imran, 3/142, 146, 195; al-Ahzab, 33/48; Muhammad, 47/31; al-Anam, 6/34)
Hawana hofu na dhulma pamoja na umauti. (at-Tawba, 9/111; Aal-i Imran, 3/156-158, 169-171, 173; ash-Shuara, 26/49-50; as-Saffat, 37/97-99; an-Nisa, 4/74)
Ni wenye kupambana na mashambulizi na vitimbi ya wakanushaji. (al-Baqara, 2/14, 212)
Wapo chini ya himaya ya Allah. Vitimbi vyote dhidi yao hushindwa. Allah huwafanya washindi kwa kuwahami dhidi ya uzushi wote na vitimbi. (Aal-i Imran, 3/110-111, 120; Ibrahim, 14/46; al-Anfal, 8/30; an-Nahl, 16/26; Yusuf, 12/34; al-Hajj, 22/38; al-Maida, 5/42, 105; an-Nisa, 4/141)
Ni wenye umakini mkubwa dhidi ya wakanushaji. (an-Nisa, 4/71, 102; Yusuf, 12/67)
Ni wenye kuwafanya maadui shetani na wafuasi wake. (Fatir, 35/6; az-Zukhruf, 43/62; al-Mumtahina, 60/1; an-Nisa, 4/101; al-Maida, 5/82)
Ni wenye kupambana na wanafiki; hawautumii muda wao pamaja nao. (at-Tawba, 9/83, 95, 123)
Ni wenye kujikinga na udhalimu wa wakanushaji. (al-Ahzab, 33/60-62; al-Hashr, 59/6; at-Tawba, 9/14-15, 52)
Ni wenye kufanya mambo yao kwa kushauriana. (ash-Shura, 42/38)
Hawana wivu au kuiga maisha ya kifahari ya makafiri. (al-Kahf, 18/28; at-Tawba, 9/55; Taha, 20/131)
Hawaathiriki na utajiri na cheo. (al-Hajj, 22/41; al-Qasas, 28/79-80; an-Nahl, 16/123)
Ni wenye uangalifu na umakini kuhusu ibada; wanatekeleza sala, funga na ibada kwa uangalifu. (al-Baqara, 2/238; al-Anfal, 8/3; al-Muminun, 23/1-2)
Hawafuati wingi bali vipimo vilivyowekwa na Allah. (al-Anam, 6/116)
Hizo ndizo sifa kuu za Muislamu
Uslamu ndiyo dini ya haki duniani kote
Ni wenye akili. Daima wapo makini, kwa sababu wana ufahamu wa ibada zao. Daima huwahudumia waumini na dini kwa kutumia akili. (al-Mumin, 40/54; az-Zumar, 39/18)
Ni wenye kupambana kiakili kwa nguvu dhidi ya wakanushaji kwa ajili ya Allah. Hususan wakanushaji wakubwa. Huendelea na mapambano yao bila ya hofu wala uvivu. (al-Anfal, 8/39; al-Hajj, 22/78; al-Hujurat, 49/15; at-Tawba, 9/12)
Hawana woga wa kusema ukweli. Hawana hofu ya kuuweka wazi ukweli kwa kuhofia watu. Hawaogopi wakisemacho wakanushaji dhidi yao; hawapuuzi mashambulizi na dhihaka zao; Hawaogopi kukosolewa na wale wenye kuwalaumu. (al-Maida, 5/54, 67; al-Araf, 7/2)
Kufikisha dini ya Allah kwa watu. Ni wenye kuwaita watu katika dini ya Allah kwa kutumia njia tofauti. (Nuh, 71/5-9)
Si madhalimu. Ni wenye huruma na huathirika na shida za wengine. (an-Nahl, 16/125; at-Tawba, 9/128; Hud, 11/75)
Ni wenye kujizuia na hasira; ni wenye uvumilivu na kusamehe. (Aal-i Imran, 3
waaminifu. Huonyesha utu wenye nguvu na husifika kwa kujiamini. (ad-Duhan, 44/17-18; at-Takwir, 81/19-21; al-Maida, 5/12; an-Nahl, 16/120)
Wanaumizwa na ukandamizaji na ukatili. (ash-Shuara, 26/49, 167; al-Ankabut, 29/24; Yasin, 36/18; Ibrahim, 14/6; an-Naml, 27/49, 56; Hud, 11/91)
Ni wenye kuvumilia shida. (al-Ankabut, 29/2-3; al-Baqara, 2/156, 214; Aal-i Imran, 3/142, 146, 195; al-Ahzab, 33/48; Muhammad, 47/31; al-Anam, 6/34)
Hawana hofu na dhulma pamoja na umauti. (at-Tawba, 9/111; Aal-i Imran, 3/156-158, 169-171, 173; ash-Shuara, 26/49-50; as-Saffat, 37/97-99; an-Nisa, 4/74)
Ni wenye kupambana na mashambulizi na vitimbi ya wakanushaji. (al-Baqara, 2/14, 212)
Wapo chini ya himaya ya Allah. Vitimbi vyote dhidi yao hushindwa. Allah huwafanya washindi kwa kuwahami dhidi ya uzushi wote na vitimbi. (Aal-i Imran, 3/110-111, 120; Ibrahim, 14/46; al-Anfal, 8/30; an-Nahl, 16/26; Yusuf, 12/34; al-Hajj, 22/38; al-Maida, 5/42, 105; an-Nisa, 4/141)
Ni wenye umakini mkubwa dhidi ya wakanushaji. (an-Nisa, 4/71, 102; Yusuf, 12/67)
Ni wenye kuwafanya maadui shetani na wafuasi wake. (Fatir, 35/6; az-Zukhruf, 43/62; al-Mumtahina, 60/1; an-Nisa, 4/101; al-Maida, 5/82)
Ni wenye kupambana na wanafiki; hawautumii muda wao pamaja nao. (at-Tawba, 9/83, 95, 123)
Ni wenye kujikinga na udhalimu wa wakanushaji. (al-Ahzab, 33/60-62; al-Hashr, 59/6; at-Tawba, 9/14-15, 52)
Ni wenye kufanya mambo yao kwa kushauriana. (ash-Shura, 42/38)
Hawana wivu au kuiga maisha ya kifahari ya makafiri. (al-Kahf, 18/28; at-Tawba, 9/55; Taha, 20/131)
Hawaathiriki na utajiri na cheo. (al-Hajj, 22/41; al-Qasas, 28/79-80; an-Nahl, 16/123)
Ni wenye uangalifu na umakini kuhusu ibada; wanatekeleza sala, funga na ibada kwa uangalifu. (al-Baqara, 2/238; al-Anfal, 8/3; al-Muminun, 23/1-2)
Hawafuati wingi bali vipimo vilivyowekwa na Allah. (al-Anam, 6/116)