Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
- Thread starter
-
- #81
Hornet ungetutendea haki endapo ungeweka jina la hicho chombo[emoji1787][emoji1787]Daaah kuna moja hapo sijaiona au vile ni old model
Sema naipenda,
ni kama nokia tochi hata niache mahali wezi hawagusi kitu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetokwa na jasho kama vile unaigiza picha la kihindiNiombe radhi sasa hivi au nilianzishe humu humu JF. Mimi nimelimiliki gari langu sasa ni miaka 4 lakini sijawahi kuonwa kwenye hizo tabia mbofu mbofu hata mojawapo. Usipende kusema kitu hujafanya hata kautafiti. No research no permission to speak.
Nimekuchukia kama vile umenimba lift asubuhi ya leo.
Inaonesha kuwa weye ni miongoni mwa wale waliozikosa wanatukana kuwa hizo ni mbichi sizitaki. Ungeanza kwa kutuambia kuwa weye unamiliki mangapi katika hayo magari ili tujue na wewe ni group gani.
Relax bro... Kuna mtu anatoa uchambuzi wake sio lazima uwe 100% sawa, jifunze kuzikabili panicNiombe radhi sasa hivi au nilianzishe humu humu JF. Mimi nimelimiliki gari langu sasa ni miaka 4 lakini sijawahi kuonwa kwenye hizo tabia mbofu mbofu hata mojawapo. Usipende kusema kitu hujafanya hata kautafiti. No research no permission to speak.
Nimekuchukia kama vile umenimba lift asubuhi ya leo.
Inaonesha kuwa weye ni miongoni mwa wale waliozikosa wanatukana kuwa hizo ni mbichi sizitaki. Ungeanza kwa kutuambia kuwa weye unamiliki mangapi katika hayo magari ili tujue na wewe ni group gani.
Inaonekana wazi kabisa umiliki wako unaangukia hapo kwenye #2[emoji23][emoji23][emoji23]Namba 2 nafikiri umebugi kidogo watu wa kundi hilo hutumia magari hayo kama vile simu kuwa ili maisha yaende basi hicho kiusafiri ni muhimu, hawanunu kumuonyesha mtu kuwa wamenunua ila kuwakamilishia mizunguko yao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejuaje kama haijafika?
Mo ni close friend or relative wako? Yaani umejuaje kaweka order?Ukiweka order from Tesla inachukua 6-9 months ili iwe delivered kwako,so tangu Mo ame-place order huo bado haujafika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah kuna moja hapo sijaiona au vile ni old model
Sema naipenda,
ni kama nokia tochi hata niache mahali wezi hawagusi kitu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Me siwaingilii nadhani mtakuwa mnajuana[emoji23][emoji23][emoji23]Mo ni close friend or relative wako? Yaani umejuaje kaweka order?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie wa John Deer mna tabia ya kupenda kula sana mazao ya shambani mf mahindi ya kuchoma,mihogo,viazi,maboga nk....si kitu cha ajabu kukuta jamaa anaendesha trkta lake mkononi anakula muwa wenye urefu wa futi sita....Tunaondesha trekta John Deer 2130 tuna tabia gani?
Anaweza kuwa alipost Tweeter mimi sikuonaMe siwaingilii nadhani mtakuwa mnajuana[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Weye ndo umepanicRelax bro... Kuna mtu anatoa uchambuzi wake sio lazima uwe 100% sawa, jifunze kuzikabili panic
Happiness is a lifestyle
Tabia za wamiliki wa TDI zinakuja katika sura mbili. TDI kama mmiliki ni mzee tabia rejea namba 13...kama mmiliki ni kijana rejea namba 11....hili halina ubishi.Hebu tuambie sisi wenye land rover TDI.
Nissan Patrol?