Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

Ungetufafanulia zaidi ingependeza zaidi mtaalam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa maelezo yako hakuna haja ya kumwaga zege kabla ya kuanza kujenga msingi ikiwa umetanguliza kumwaga mchanga nchi 3?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi kuhusu gharama za umeme?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ground beam ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maximum ni tofali 70 za kusimama.
Msingi maximum ni tofali 40. Jambo la mhimu ni kuzibgatia consistency ya mota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…