Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

Fahamu vitu vinavyotofautisha gharama za ujenzi kwenye majengo yenye kufanana mchoro

Beam ni Mkanda wa zege + nondo uliopo chini ya mlango na dirisha wakati lintel ni ni Mkanda wa zege + nondo Ambao Upo juu ya dirisha na mlango
Samahani mkuu naomba niingilie mada yako
Beam yapasa kutamkwa Ring beam
Hivyo tofauti ya linter ni zege lenye chuma ila linawekwa kwenye uwazi wa milango ,madirisha na n.k
Na ring beam ni zege lenye chuma ila linawekwa kwenye mzunguko wa jengo lote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samahani mkuu naomba niingilie mada yako
Beam yapasa kutamkwa Ring beam
Hivyo tofauti ya linter ni zege lenye chuma ila linawekwa kwenye uwazi wa milango ,madirisha na n.k
Na ring beam ni zege lenye chuma ila linawekwa kwenye mzunguko wa jengo lote

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mmeanza kutuchanganya ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We muongo mafundi wote mnajenga na kutindua, kuhusu chimney inahitajika kwenye majiko yote popote sio lazima kuwe na baridi, sema hamjui lakini sio kusingizia baridi.
Architecture anachora nyumba haweki chimney, ok unawrza kusema ni kazi ya structure engineer lakini naye haweki.
Masaki zile nyumba zilijengwa na wazungu zina chimney, wao hawana joto pale?!
Boss jaribu kufanya utafiti kidogo, hizo nyumba zenye chimney mara nyingi huwa wanatumia kuni as a source of energy, sasa kwa nyumba zetu hizi nani anatumia kuni ndani!?, nafikiri zile kitchen ventilation za umeme ndio zinatufaa zaidi ya traditional chimneys.
 
Boss jaribu kufanya utafiti kidogo, hizo nyumba zenye chimney mara nyingi huwa wanatumia kuni as a source of energy, sasa kwa nyumba zetu hizi nani anatumia kuni ndani!?, nafikiri zile kitchen ventilation za umeme ndio zinatufaa zaidi ya traditional chimneys.
Vyovyote utakavyoiita kitchen ventilation au chimney kwanini wachoraji wa ramani hawaziweki? Structure engineer pia hawaweki nani aweke?!Unapika, ndani moshi
 
Vyovyote utakavyoiita kitchen ventilation au chimney kwanini wachoraji wa ramani hawaziweki? Structure engineer pia hawaweki nani aweke?!Unapika, ndani moshi
Boss shida yako ni nini, mtu ndani ana jiko la gas, je huo moshi utatokea wapi, ndio maana nakuambia kwa nyumba zetu hizi za kibongo, air vent ndio mzuri na kuhusu mchora ramani kuiweka kwenye plan sio kitu cha ulazima, mbona mfumo wa umeme hauwekwi pamoja na mchoro wa nyumba!?.
 
Mleta mada nakupongeza kwa kuipenda kazi yako. Ila nakuomba pia uwe unatumia ushauri wa wataalamu wa ujenzi. Namaanisha uchote maarifa kwa Architects, Engineer na Quantity Surveyor. Mie nimesoma ujenzi na nimepitia maelezo yako naona kama hayajajitosheleza pengine ni kutokana na ufahamu wa kitaalamu. Kwa mfano, nyumba sio lazima iwe na ground beam, kuna sababu hupelekea iwepo au isiwepo.kwa hiyo wakati mwingine mnaongezea gharama za ujenzi zisizokuwa za lazima kwa kigezo/kauli mbiu ya nyumba imara

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi sana nadhani ni kijana mwenye nia nzuri na anayependa na kujali kazi yake,
na mara nyingi hawa wenye uwelewa kiasi wana confidence kubwa sana kuliko wale wenye uwelewa wa juu hawa wa higher education, naomba tumtie moyo na naamini atafika mbali sn.

Itashangaza kwa kusema ukweli kwamba SIO RAHISI Qualified Engineer kujitokeza wazi kwenye public kama hivi na kuelezea taaluma yake kinagaubaga hivi,
kwanza anawaza risk involved pili kila point ina walakini na sababu kibao mwisho kukosa kabisa kujiamini aidha kuogopa kudharirika, hayo ndio moja ya madhara ya elimu yetu ya juu TZ theory nyingi sana mwisho uoga practical ZERO.
 
Vipi kuhusu kujenga ghorofa?
Nazungumzia kuhusu msingi za slab na nguzo. Gharama, utaalamu wa kuzingatia, faida?

Kifupi kabisa natamani kujua mambo muhimu ya kuzingatia katika kupunguza gharama, kuepuka makosa na mbinu nzuri za ujenzi wa nyumba ya kawaida ya makazi ya ghorofa.
 
Back
Top Bottom