Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

kwani jipu makalioni ndo kuwa na ngoma?
 
Ndio, vidonge vitatu kwa siku asubuhi na usiku mwezi mzima vidonge 90 ,vinachosha mwili mzima unakuwa kama unapigwa marungu yaani ukitaka kuamini onja hata siku tatu tu uone shughuli yake
Nimecheka kama mazuri eti aonje atazipatia wapi aonje?
 
unatakiwa upime baada ya miezi sita
 
Jipu makalioni ukahisi kaathirika au?
Halaf kwanini watu wengine wanaugua sana majipu ?
 
Hahahahahaa, wewe dada unavituko sana aiseee. I wish nikuone siku moja.
sijui ananionaga mimi malaya yaani haniamini kabisa ila kuniacha hawezi . ipo siku tu nitamuacha maana atanimaliza damu mwenzangu maana hata hela ya maini hanipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…