Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Huuuu huuuu....usingeliona jee? Haaaaa Haa
 
Miezi minne sio sita, ni mchepuko
ila bna kupata ngoma rahisi sana .tena kama unaogopa kupima. bora upime ujue status yako from there usikubali tena pekupeku.sasa mchepuko ulikuwa safe mwaka jana tu leo feb keshauza mechi na kuungua jamani.dah nimemuonea huruma .labda alibakwa
 
Yupo aliyesema ngoma inaonekana baada ya miezi sita, namimi nimepima baada ya wiki 6 tu
ngoma haionekaniki mapema .bado upo kwenye window period . miezi mitatu au sita unakuwa na jibu mubashara
 
ngoma haionekaniki mapema .bado upo kwenye window period . miezi mitatu au sita unakuwa na jibu mubashara
Washanidanganya basi maana waliniambia baada ya siku 30 tu
,na mimi nikapima baada ya siku 44
 
ila bna kupata ngoma rahisi sana .tena kama unaogopa kupima. bora upime ujue status yako from there usikubali tena pekupeku.sasa mchepuko ulikuwa safe mwaka jana tu leo feb keshauza mechi na kuungua jamani.dah nimemuonea huruma .labda alibakwa
We unamuamini huyu jamaa na hii chai?
 
sijui ananionaga mimi malaya yaani haniamini kabisa ila kuniacha hawezi . ipo siku tu nitamuacha maana atanimaliza damu mwenzangu maana hata hela ya maini hanipi
Duuh! Pole sana. Vipi yeye huwa anapima pia!?
 
Kwa hio mlkutana kimwili kisha mkaenda kupima? ASA hapo huoni Ka hayo masaa 72 yalipita au mlpma SKU hyohyo mlokutana kimwili?
 
ila bna kupata ngoma rahisi sana .tena kama unaogopa kupima. bora upime ujue status yako from there usikubali tena pekupeku.sasa mchepuko ulikuwa safe mwaka jana tu leo feb keshauza mechi na kuungua jamani.dah nimemuonea huruma .labda alibakwa
Yah mwezi wa 8/2017 alikuwa vizuri kabisa, tulikuwa na mpango wa kuzaa umeyeyuka ghafla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…