Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

Alishanikimbia mmoja tupo kwa Dr..kwa ajili ya kupata vipimo.

Kabla ya kwenda kuangalia afya zetu alikuwa jasiri huyo.

Tuwe makini na hii kitu..
 
Mimi nilimfuma mmoja yaani nilinusurika mpaka Leo najiona mwenye bahati kuliko ya biko.sitoacha kumshukuru MUngu yaani .
na wewe unawakaanga sana samaki mwisho wa siku utawaunguza mikia [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Alishanikimbia mmoja tupo kwa Dr..kwa ajili ya kupata vipimo.

Kabla ya kwenda kuangalia afya zetu alikuwa jasiri huyo.

Tuwe makini na hii kitu..
labda uoga tu mimi nilikuwa naogopa saana kupima.mara ya kwanza niliogopa sana nikaacha na majibu. ex wangu ndo aliyafata .huwa namshukuru sana japo tuliachana alinifanya kujiamini .unajua usipopima unakuwa unaogopa kupima kumbe ndo unajipeleka kwenye matatizo maana hujiamini
 
Mpaka unapasuka hushtuki? We unakata mauno tuu?

Ukiingia kwenye mamboz unatakiwa machale nayo yakucheze sio unafurahia dushelele tuu...imekula kwako!
dushe likiingia wengine network inakata .hyo akili ya kufuatilia inakuwa haipo
 
Ukiwaambia umepiga peku hawakupi dawa badala yake watakupa matumaini tu, mwisho wa siku unakuta tayari umethirika
hv ni kweli ukiwaambia kuwa ulipga peku hawakupi dawa maana kuna best yangu alipga peku juz ucku then asubuhi kuna watu wawili wakamwambia demu kaungua hvyo yupo hospital kutafuta hzo dawa
 
hv ni kweli ukiwaambia kuwa ulipga peku hawakupi dawa maana kuna best yangu alipga peku juz ucku then asubuhi kuna watu wawili wakamwambia demu kaungua hvyo yupo hospital kutafuta hzo dawa
masaa 72 yakishapita haifanyi tena kazi hiyo dawa
 
Inaweza kuwa uoga wake ..

Au hakuwa mtulivu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…