Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh kijana inaonekana elimu ya vvu huna kabisa maana haimanisha kupasuka kwa kondom tu kukapelekea ww kupata vvu unaweza ukafanya tendo la ndoa na mwenye vvu na bado usipate inategemea jinsi ya uhandaaji wako na ukeni palivo sio umekunywa viroba vyako ukasugua mpaka ukapata michupa.Nimechanganyikiwa mana nimepasukiwa na condom wakati tukifanya mapenzi ikabidi tukapime nikakuta kumbe mwenzangu ana VVU wamenipa dawa PEP. Imetokea leo asubuhi hayajapita masaa 24 nimemeza PEP
Je kweli zitanikinga?
Nimechanganyikiwa kabisaaa sielewi nifanye nn! Yaani usiombe!! sitarudia tena maana ni masaa tu ila nimekondaDuuh kijana inaonekana elimu ya vvu huna kabisa maana haimanisha kupasuka kwa kondom tu kukapelekea ww kupata vvu unaweza ukafanya tendo la ndoa na mwenye vvu na bado usipate inategemea jinsi ya uhandaaji wako na ukeni palivo sio umekunywa viroba vyako ukasugua mpaka ukapata michupa. Kuhusu hizo dawa hosp wamefanya kama kingi ikitokea ulipata kwenye kamchezo hako pasi upatie pa kusalimia ni sawa na mfano huu ni heri kuamini mungu yupo kuliko kusema hakuna mungu je ikitokea yupo mungu itakuwaje kwahiyo tumia dawa hizo
ARVS can b used as PEP?POST EXPOSURE PROPHYLAXIS (PEP)
kama tayari Umefika hospital Na umeanza matibabu, wewe zingatia vile ulivyo elekezwa mkuu
Hazina maana usitumie kabisa utakulaje pip na ganda¿¿¿Nawashauri wanaume wenzangu, ukifanya ngono na mtu usiyemfaham (usiye na imani naye) usitumie nguvu nyingi, tukumbuke ile kitu haiishi. Michubuko ndio inaongeza uwezekano wa kuambukizana AIDS. Unaweza fanya mapenzi na mtu mwenye nao na usipate km utafanya kwa akili na bila papara. Binafsi najiongeza sn kwani kutumia kinga mtihani, sijazoea
Inaweza kukutokea hata wewe"Kumbe mwanzangu ana VVU"
Aiseee muwe mnapima kabla ya tendo.....
Sidhani kama utarudia tena hio kitu
Sure ndio maana ya umakini hapoInaweza kukutokea hata wewe
Asante sana mkuu, ni jambo ambalo sitokaa nisahau maishani mwanguPole kwa kuishi kwa hofu
Na hongera kwa kukutwa salama
Hujapata maumivu yoyote au kuhis hali kutofautika toka siku hiyo?God is good, nimepima tena tarehe 6/10/2017 majibu yako poa yaani negative