Fahamuni maana na uwepo wa watoto hatari chinja chinja

Fahamuni maana na uwepo wa watoto hatari chinja chinja

Sakizia

Senior Member
Joined
May 2, 2016
Posts
168
Reaction score
248
fahamuni jamani kuna watoto wanazaliwa mimi binafsi nimewapa jina
la chinja chinja, watoto hawa kwanza sifa yao akizaliwa tu huwa anamuua
yule mtu ambaye ndiye angekuwa tegemezi lake hapa duniani kama familia
inamtegemea baba basi ni wazi ataondoka yeye, au anapozaliwa tu ana muua
mama yake, hivyo basi maisha yake duniani huwa yanaenda kwa mfumo huo
na yeyote atakayejitokeza mbele yake akamuonea huruma labda amchukue amlee
sababu wazee wake hawapo basi haipiti muda nae msamaria huyu nae safari itamkuta
itaendelea hali hii hadi atakapokua huyu mtoto, lakini jambo la kushangaza mtoto aliyekulia
namna hii huwa na mafanikio sana maishani inakuwa kama watu waliokufa kule ndio kafara lake
la yeye kuendelea duniani, tuwe makini kuna watoto wa namna hii wapo hata ukikataa we jaribisha
halafu uone nini kitakufuatia,sisemi msiwalee mayatima wa ndugu zenu ila kma kuna aina flani
ya mila hivi au dua ya kujikinga na shari lake alilokuja nalo duniani lisikupate itakuwa bora zaidi
kabla hujamchukua kumlea wewe kibubusa bubusa
 
fahamuni jamani kuna watoto wanazaliwa mimi binafsi nimewapa jina
la chinja chinja, watoto hawa kwanza sifa yao akizaliwa tu huwa anamuua
yule mtu ambaye ndiye angekuwa tegemezi lake hapa duniani kama familia
inamtegemea baba basi ni wazi ataondoka yeye, au anapozaliwa tu ana muua
mama yake, hivyo basi maisha yake duniani huwa yanaenda kwa mfumo huo
na yeyote atakayejitokeza mbele yake akamuonea huruma labda amchukue amlee
sababu wazee wake hawapo basi haipiti muda nae msamaria huyu nae safari itamkuta
itaendelea hali hii hadi atakapokua huyu mtoto, lakini jambo la kushangaza mtoto aliyekulia
namna hii huwa na mafanikio sana maishani inakuwa kama watu waliokufa kule ndio kafara lake
la yeye kuendelea duniani, tuwe makini kuna watoto wa namna hii wapo hata ukikataa we jaribisha
halafu uone nini kitakufuatia,sisemi msiwalee mayatima wa ndugu zenu ila kma kuna aina flani
ya mila hivi au dua ya kujikinga na shari lake alilokuja nalo duniani lisikupate itakuwa bora zaidi
kabla hujamchukua kumlea wewe kibubusa bubusa
Cc: Mshana Jr
 
Nakumbuka ile ajali mama alikufa mtot kachoropoka tumboni hai na ilikuwa ndo anaenda kujifunguwa, pia kuna watot wanaozaliwa wanaanza miguu🙄 na wanaozaliwa na meno wanaoanza kuota meno tofauti na yale ys kawaida naskia wana mikosi yao
ni kweli kabisa wanaobisha waache wabishe na uzungu wao halafu
siku yakiwakuta ya kuwakuta ndipo watakapoyakumbuka haya waliyoyasikia leo
 
fahamuni jamani kuna watoto wanazaliwa mimi binafsi nimewapa jina
la chinja chinja, watoto hawa kwanza sifa yao akizaliwa tu huwa anamuua
yule mtu ambaye ndiye angekuwa tegemezi lake hapa duniani kama familia
inamtegemea baba basi ni wazi ataondoka yeye, au anapozaliwa tu ana muua
mama yake, hivyo basi maisha yake duniani huwa yanaenda kwa mfumo huo
na yeyote atakayejitokeza mbele yake akamuonea huruma labda amchukue amlee
sababu wazee wake hawapo basi haipiti muda nae msamaria huyu nae safari itamkuta
itaendelea hali hii hadi atakapokua huyu mtoto, lakini jambo la kushangaza mtoto aliyekulia
namna hii huwa na mafanikio sana maishani inakuwa kama watu waliokufa kule ndio kafara lake
la yeye kuendelea duniani, tuwe makini kuna watoto wa namna hii wapo hata ukikataa we jaribisha
halafu uone nini kitakufuatia,sisemi msiwalee mayatima wa ndugu zenu ila kma kuna aina flani
ya mila hivi au dua ya kujikinga na shari lake alilokuja nalo duniani lisikupate itakuwa bora zaidi
kabla hujamchukua kumlea wewe kibubusa bubusa
Niwie radhi kama utakwazika na naamini itakuwa hivyo ila nachelea kusema huu ni ujinga wa kustaajabisha
 
fahamuni jamani kuna watoto wanazaliwa mimi binafsi nimewapa jina
la chinja chinja, watoto hawa kwanza sifa yao akizaliwa tu huwa anamuua
yule mtu ambaye ndiye angekuwa tegemezi lake hapa duniani kama familia
inamtegemea baba basi ni wazi ataondoka yeye, au anapozaliwa tu ana muua
mama yake, hivyo basi maisha yake duniani huwa yanaenda kwa mfumo huo
na yeyote atakayejitokeza mbele yake akamuonea huruma labda amchukue amlee
sababu wazee wake hawapo basi haipiti muda nae msamaria huyu nae safari itamkuta
itaendelea hali hii hadi atakapokua huyu mtoto, lakini jambo la kushangaza mtoto aliyekulia
namna hii huwa na mafanikio sana maishani inakuwa kama watu waliokufa kule ndio kafara lake
la yeye kuendelea duniani, tuwe makini kuna watoto wa namna hii wapo hata ukikataa we jaribisha
halafu uone nini kitakufuatia,sisemi msiwalee mayatima wa ndugu zenu ila kma kuna aina flani
ya mila hivi au dua ya kujikinga na shari lake alilokuja nalo duniani lisikupate itakuwa bora zaidi
kabla hujamchukua kumlea wewe kibubusa bubusa
Akili hizi zina hati miliki ya misukule ya makanisani na misikitini tu
 
Imani potofu.
ndugu usibishe elewa kuwa hivi vitu vipo
we hujui kuna mtoto mnaweza kumzaa
ghafla mkaona mambo yenu yanaanza
kuwanyookea sana? sasa kama kuna watoto wanakuja
hivyo elewa wapo watoto wanaokuja namna hii pia
au hujui unaweza kuoa mke mambo yakakunyookea mno
na mwingine unaweza kuoa mke kama uulkuwa na pesa
na unajiweza ukimwoa tu basi hapo hapo itakuanzia mikosi
na mabalaa hadi utafilisika na kama ulikuwa na kazi utafukuzwa
hadi uwe fukra kabisa,kama wake namna hii wapo kwanini watoto wa disigne hii wasiwepo?
 
wacha wee, wee endelea na uzungu wako huo huo
Uzungu ndiyo unamiliki misukule ya makanisani na uarabu ndiyo ukamiliki misukule ya misikitini ...mimi sina hizo hati miliki ...mimi nina HATI MILIKI YA AKILI TU ...HIVYO NIKISEMA WEWE HAUNA AKILI AU UNAYO AKILI JUA NI KWELI ...kama unataka kujua kuwa wewe ni mpumbavu (hauna akili) au ni mwenye akili basi niulize mimi .....
 
Mtoto ana Pure spirit ubaya mnampaga nyie wana Ulimwengu.
Kwaiyo apo umeongea upuuzi
Mleta uzi ni mpumbavu na msukule wa makanisani au misikitini mtu wa madhehebu ...hata yesu anasema (waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ufalme wa mungu ni wao) ufalme wa mungu ni kama watoto wadogo, ni wao kwa sababu ya utakatifu..(mtoto mdogo yupo kwenye kundi la watakatifu) japo hana thawabu.
 
Back
Top Bottom