Fahamuni maana na uwepo wa watoto hatari chinja chinja

Fahamuni maana na uwepo wa watoto hatari chinja chinja

fahamuni jamani kuna watoto wanazaliwa mimi binafsi nimewapa jina
la chinja chinja, watoto hawa kwanza sifa yao akizaliwa tu huwa anamuua
yule mtu ambaye ndiye angekuwa tegemezi lake hapa duniani kama familia
inamtegemea baba basi ni wazi ataondoka yeye, au anapozaliwa tu ana muua
mama yake, hivyo basi maisha yake duniani huwa yanaenda kwa mfumo huo
na yeyote atakayejitokeza mbele yake akamuonea huruma labda amchukue amlee
sababu wazee wake hawapo basi haipiti muda nae msamaria huyu nae safari itamkuta
itaendelea hali hii hadi atakapokua huyu mtoto, lakini jambo la kushangaza mtoto aliyekulia
namna hii huwa na mafanikio sana maishani inakuwa kama watu waliokufa kule ndio kafara lake
la yeye kuendelea duniani, tuwe makini kuna watoto wa namna hii wapo hata ukikataa we jaribisha
halafu uone nini kitakufuatia,sisemi msiwalee mayatima wa ndugu zenu ila kma kuna aina flani
ya mila hivi au dua ya kujikinga na shari lake alilokuja nalo duniani lisikupate itakuwa bora zaidi
kabla hujamchukua kumlea wewe kibubusa bubusa
Superstitious theory which doesn't have any reality.
 
Ima

Ni imani tu, hamna jingine hapol. Matokeo yake ni kuwadhuru watoto kisa hawajaonesha vitu mlivyo vizoea kwny makuzi yao.
Hapana ata mtt asipolia anapozaliwa ukiacha kiafya hata in normal life ni hatar,kuna namna mtot akizaliwa akakua adi ukubwani akiolewa lazm mume/watt wake wafe tena wawili ila wa 3 na kuendelea ndo wanasurvive uliza wazee aya mambo yapo
 
Hapana ata mtt asipolia anapozaliwa ukiacha kiafya hata in normal life ni hatar,kuna namna mtot akizaliwa akakua adi ukubwani akiolewa lazm mume/watt wake wafe tena wawili ila wa 3 na kuendelea ndo wanasurvive uliza wazee aya mambo yapo
kulia ndo kupumua kwenyewe kwa mara ya kwanza mtoto anapozaliwa. usipopumua unakufa.
Mengine ni imani tu, meno kuota kuanzia juu kunauaje watoto?.
vipi kuhusu nywele?, maana wengine huzaliwa na vimanyoya tu, wengine na nywele nyingi kuliko hata wenye umri wa miaka 5!, imani zenu zasemaje?
 
kulia ndo kupumua kwenyewe kwa mara ya kwanza mtoto anapozaliwa. usipopumua unakufa.
Mengine ni imani tu, meno kuota kuanzia juu kunauaje watoto?.
vipi kuhusu nywele?, maana wengine huzaliwa na vimanyoya tu, wengine na nywele nyingi kuliko hata wenye umri wa miaka 5!, imani zenu zasemaje?
we si bure utakuwa ni mmoja wao tu
 
Wabongo wengi mnapenda sana kuamini uchawi.
 
Wabongo wengi mnapenda sana kuamini uchawi.
bro hiki tunachokisema hapa si uchawi wala uzushi
ni kitu ambacho kipo we kama hauamini binafsi sikulazimishi
ila siku ukiona mtu limemtokea utaukumbuka uzi huu
 
bro hiki tunachokisema hapa si uchawi wala uzushi
ni kitu ambacho kipo we kama hauamini binafsi sikulazimishi
ila siku ukiona mtu limemtokea utaukumbuka uzi huu
Uchawi ni nini na utajuaje huu ni uchawi na huu si uchawi ila ni kitu ambacho sijakielewa vizuri tu?
 
Uchawi ni nini na utajuaje huu ni uchawi na huu si uchawi ila ni kitu ambacho sijakielewa vizuri tu?
bro watoto wanamna hiyo wanakuaga sio wachawi
au wala hawahusiani na shirki yeyote isipokuwa ni aina
tu ya daraja zao mungu anazowapa yaani mara nyingi
hawa huwa na daraja kubwa hivyo nahisi uwepo wao labda
hauhitaji msaada wa mtu au ni mola mwenyewe kwa daraja zao
ndio hua kiongozi na mlezi wao hapa duniani, na usione anapata
shida mwanzoni ukadhani atakua hiyo hiyo hadi anakufa, la hasha
bali huwa ni watu wenye mafanikio sana hapa duniani na umaarufu
mkubwa lakini sasa tatizo lake kubwa ni hilo anaua wale wote watakao
muonea huruma kumlea kwa uyatima wake, hamna uchawi hapo ni
maumbile tu hayo na hatma aliyopewa na mungu,na elewa kuwa
mauaji haya huwa yanatokeaga ile miaka ya awali tu kabla hawajajimudu
kimaisha.
 
fahamuni jamani kuna watoto wanazaliwa mimi binafsi nimewapa jina
la chinja chinja, watoto hawa kwanza sifa yao akizaliwa tu huwa anamuua
yule mtu ambaye ndiye angekuwa tegemezi lake hapa duniani kama familia
inamtegemea baba basi ni wazi ataondoka yeye, au anapozaliwa tu ana muua
mama yake, hivyo basi maisha yake duniani huwa yanaenda kwa mfumo huo
na yeyote atakayejitokeza mbele yake akamuonea huruma labda amchukue amlee
sababu wazee wake hawapo basi haipiti muda nae msamaria huyu nae safari itamkuta
itaendelea hali hii hadi atakapokua huyu mtoto, lakini jambo la kushangaza mtoto aliyekulia
namna hii huwa na mafanikio sana maishani inakuwa kama watu waliokufa kule ndio kafara lake
la yeye kuendelea duniani, tuwe makini kuna watoto wa namna hii wapo hata ukikataa we jaribisha
halafu uone nini kitakufuatia,sisemi msiwalee mayatima wa ndugu zenu ila kma kuna aina flani
ya mila hivi au dua ya kujikinga na shari lake alilokuja nalo duniani lisikupate itakuwa bora zaidi
kabla hujamchukua kumlea wewe kibubusa bubusa
Nisamehe lakini wewe ni kiazi sana
 
Huu ni ujinga, utapeli, uchawi, ushirikina, upunguani, upuuzi... yaani kila sifa mbaya ipo katika ulichoandika na nyinyi ndiyo mnafadhaisha na kudhoofisha jamii
 
bro watoto wanamna hiyo wanakuaga sio wachawi
au wala hawahusiani na shirki yeyote isipokuwa ni aina
tu ya daraja zao mungu anazowapa yaani mara nyingi
hawa huwa na daraja kubwa hivyo nahisi uwepo wao labda
hauhitaji msaada wa mtu au ni mola mwenyewe kwa daraja zao
ndio hua kiongozi na mlezi wao hapa duniani, na usione anapata
shida mwanzoni ukadhani atakua hiyo hiyo hadi anakufa, la hasha
bali huwa ni watu wenye mafanikio sana hapa duniani na umaarufu
mkubwa lakini sasa tatizo lake kubwa ni hilo anaua wale wote watakao
muonea huruma kumlea kwa uyatima wake, hamna uchawi hapo ni
maumbile tu hayo na hatma aliyopewa na mungu,na elewa kuwa
mauaji haya huwa yanatokeaga ile miaka ya awali tu kabla hawajajimudu
kimaisha.
Huyo Mungu mwenyewe huwezi kuthibitisha yupo.

Ukibisha, thibitisha yupo.
 
Back
Top Bottom