Fahamuni maana na uwepo wa watoto hatari chinja chinja

Fahamuni maana na uwepo wa watoto hatari chinja chinja

Uzungu ndiyo unamiliki misukule ya makanisani na uarabu ndiyo ukamiliki misukule ya misikitini ...mimi sina hizo hati miliki ...mimi nina HATI MILIKI YA AKILI TU ...HIVYO NIKISEMA WEWE HAUNA AKILI AU UNAYO AKILI JUA NI KWELI ...kama unataka kujua kuwa wewe ni mpumbavu (hauna akili) au ni mwenye akili basi niulize mimi .....
ha ha ha !! pole sana inawezekana nimepiga kidonda
inawezekana wewe ukawa ni mtoto uliyeua wazee na
walezi wako
 
Ima
Nakumbuka ile ajali mama alikufa mtot kachoropoka tumboni hai na ilikuwa ndo anaenda kujifunguwa, pia kuna watot wanaozaliwa wanaanza miguu🙄 na wanaozaliwa na meno wanaoanza kuota meno tofauti na yale ys kawaida naskia wana mikosi yao
Ni imani tu, hamna jingine hapol. Matokeo yake ni kuwadhuru watoto kisa hawajaonesha vitu mlivyo vizoea kwny makuzi yao.
 
Mleta uzi ni mpumbavu na msukule wa makanisani au misikitini mtu wa madhehebu ...hsta yesu anasema ufalme wa mungu ni kama watoto wadogo, ni wao kwa sababu ya utakatifu..(mtoto mdogo yupo kwenye kundi la watakatifu) jspo hana thawabu.
wacha uwongo wewe yesu hakusema watoto ni watakatifu
wala hakusema ufalme ni wao bali alisema mtu yeyote ata
kae upokea ufalme wa mungu yaani ujumbe wake kama mtoto
mdogo anavypokea vitu anavyofundishwa bila mashaka wala
kuhoji basi huyo ni wake
 
Mleta uzi ni mpumbavu na msukule wa makanisani au misikitini mtu wa madhehebu ...hata yesu anasema (waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ufalme wa mungu ni wao) ufalme wa mungu ni kama watoto wadogo, ni wao kwa sababu ya utakatifu..(mtoto mdogo yupo kwenye kundi la watakatifu) japo hana thawabu.
kama manabii na yesu ni watoto waliotumwa na mungu
basi elewa kuwa wapo watoto pia walotumwa na shetani
 
kama manabii na yesu ni watoto waliotumwa na mungu
basi elewa kuwa wapo watoto pia walotumwa na shetani
Tambua hata kama katumwa na shetani awapo mtoto hana dhambi ni mtakatifu ...tumia akili ipo siku nyinyi mtaambiwa huko kwenye madhehebu yenu mmuue mtoto fulani kisa ametumwa na shetani ...hata yuda eskalioti alipo kuwa mtoto alikuwa ni mtakatifu hata filauni alipokuwa mtoto alikuwa ni mtakatifu ....kwa hoja yako unataka kusema wewe unamjua shetani kuliko mungu na mitume wake.
 
ndugu usibishe elewa kuwa hivi vitu vipo
we hujui kuna mtoto mnaweza kumzaa
ghafla mkaona mambo yenu yanaanza
kuwanyookea sana? sasa kama kuna watoto wanakuja
hivyo elewa wapo watoto wanaokuja namna hii pia
au hujui unaweza kuoa mke mambo yakakunyookea mno
na mwingine unaweza kuoa mke kama uulkuwa na pesa
na unajiweza ukimwoa tu basi hapo hapo itakuanzia mikosi
na mabalaa hadi utafilisika na kama ulikuwa na kazi utafukuzwa
hadi uwe fukra kabisa,kama wake namna hii wapo kwanini watoto wa disigne hii wasiwepo?
Hakuna mtoto anayeleta utajiri, acheni imani za kijima.
 
wacha uwongo wewe yesu hakusema watoto ni watakatifu
wala hakusema ufalme ni wao bali alisema mtu yeyote ata
kae upokea ufalme wa mungu yaani ujumbe wake kama mtoto
mdogo anavypokea vitu anavyofundishwa bila mashaka wala
kuhoji basi huyo ni wake
Kuna aina mbili tu za utakatifu
1) Utakatifu utokanao na kutokuwa na Akili ya kupambambanua mema na mabaya ...hapa wapo walio na matatizo ya akili na watoto wadogo ndiyo maana ya haya maandiko 👉(wahesabiwao haki pasipo matendo) huu ni utakatifu usio kuwa na DHAWABU

Aina ya pili ya utakatifu
2)Utakatifu utokanao na kujua mema na mabaya kisha ukatenda mema na kuacha mabaya....huu ni utakatifu wenyekuwa na DHAWABU.
Ndiyo maana wakristo wamedanganya makanisani kuwa kuna (dhambi ya asili) ukitumia hii fafanuzi na logic utajua uongo wa makanisani kuwa adamu na hawa walitenda dhambi ya asili ...ni uongo kutokana na hizi aina mbili za utakatifu na fafanuzi zake.
Pia hapo utajua kama mtoto mdogo ni mtakatifu au la maana umeleta ubishi.
 
kama manabii na yesu ni watoto waliotumwa na mungu
basi elewa kuwa wapo watoto pia walotumwa na shetani
Hao waliotumwa na shetani ndiyo maana ya (magugu) ila wawapo watoto na wawapo awajatenda dhambi huwa ni watakatifu kanuni ni moja uwezi kuhesabiwa dhambi pasipo kuwa umeitenda kumbuka kuwa mungu hata hukumu kwa haki ...sasa utahesabiwaje dhambi pasipo kutenda dhambi ?asiye tenda dhambi yoyote huyo ni mtakatifu...tumia akili
 
Nakumbuka ile ajali mama alikufa mtot kachoropoka tumboni hai na ilikuwa ndo anaenda kujifunguwa, pia kuna watot wanaozaliwa wanaanza miguu🙄 na wanaozaliwa na meno wanaoanza kuota meno tofauti na yale ys kawaida naskia wana mikosi yao
Hao wa kutanguliza miguu wanaitwa makashindye, ni kweli wana matambiko yao.
 
fahamuni jamani kuna watoto wanazaliwa mimi binafsi nimewapa jina
la chinja chinja, watoto hawa kwanza sifa yao akizaliwa tu huwa anamuua
yule mtu ambaye ndiye angekuwa tegemezi lake hapa duniani kama familia
inamtegemea baba basi ni wazi ataondoka yeye, au anapozaliwa tu ana muua
mama yake, hivyo basi maisha yake duniani huwa yanaenda kwa mfumo huo
na yeyote atakayejitokeza mbele yake akamuonea huruma labda amchukue amlee
sababu wazee wake hawapo basi haipiti muda nae msamaria huyu nae safari itamkuta
itaendelea hali hii hadi atakapokua huyu mtoto, lakini jambo la kushangaza mtoto aliyekulia
namna hii huwa na mafanikio sana maishani inakuwa kama watu waliokufa kule ndio kafara lake
la yeye kuendelea duniani, tuwe makini kuna watoto wa namna hii wapo hata ukikataa we jaribisha
halafu uone nini kitakufuatia,sisemi msiwalee mayatima wa ndugu zenu ila kma kuna aina flani
ya mila hivi au dua ya kujikinga na shari lake alilokuja nalo duniani lisikupate itakuwa bora zaidi
kabla hujamchukua kumlea wewe kibubusa bubusa
Sawa.Sasa,uwe unaandika kwa misingi ya uandishi.Haiwezekani hadithi ndefu namna hiyo kuhusu chinjachinja uandike kwa sentensi mbili tu.
 
Hao wa kutanguliza miguu wanaitwa makashindye, ni kweli wana matambiko yao.
umeona eee, hii vitu vipo watu wabisha sasa ona
hapa hata makabila ya kiafrika zamani walishagundua
hili na wakawapa haddi na jina kutokana na waliyokutana
nayo na hadi mila wameziweka za kujiepusha na hatari zao
wewe unaebisha uliyezaliwa juzi ni nani?
 
MTU mweusi huwa anatafuta kila njia awe irresponsible (kutokuwajibika)

Atakwepa kodi
Atakataa saidia ndugu zake Kwa wahita wachawi.


This race is cursed
 
Mtoa mada una matatizo kichwani
wewe endelea kukataa hivyo hiyo na
mimi sina haja ya kukulazimisha uniamini
sababu nimeongea kitu ambacho kipo
hata ukikataa, qadari inaweza ikakukutanisha
nao siku moja nadhani ndio hapo utaamini
kwa vitendo
 
MTU mweusi huwa anatafuta kila njia awe irresponsible (kutokuwajibika)

Atakwepa kodi
Atakataa saidia ndugu zake Kwa wahita wachawi.


This race is cursed
weweee waambie haooo !!!
 
wewe endelea kukataa hivyo hiyo na
mimi sina haja ya kukulazimisha uniamini
sababu nimeongea kitu ambacho kipo
hata ukikataa, qadari inaweza ikakukutanisha
nao siku moja nadhani ndio hapo utaamini
kwa vitendo
Thibitisha haya uyasemayo
 
Back
Top Bottom