ha ha ha !! pole sana inawezekana nimepiga kidondaUzungu ndiyo unamiliki misukule ya makanisani na uarabu ndiyo ukamiliki misukule ya misikitini ...mimi sina hizo hati miliki ...mimi nina HATI MILIKI YA AKILI TU ...HIVYO NIKISEMA WEWE HAUNA AKILI AU UNAYO AKILI JUA NI KWELI ...kama unataka kujua kuwa wewe ni mpumbavu (hauna akili) au ni mwenye akili basi niulize mimi .....
Ni imani tu, hamna jingine hapol. Matokeo yake ni kuwadhuru watoto kisa hawajaonesha vitu mlivyo vizoea kwny makuzi yao.Nakumbuka ile ajali mama alikufa mtot kachoropoka tumboni hai na ilikuwa ndo anaenda kujifunguwa, pia kuna watot wanaozaliwa wanaanza miguu🙄 na wanaozaliwa na meno wanaoanza kuota meno tofauti na yale ys kawaida naskia wana mikosi yao
wacha uwongo wewe yesu hakusema watoto ni watakatifuMleta uzi ni mpumbavu na msukule wa makanisani au misikitini mtu wa madhehebu ...hsta yesu anasema ufalme wa mungu ni kama watoto wadogo, ni wao kwa sababu ya utakatifu..(mtoto mdogo yupo kwenye kundi la watakatifu) jspo hana thawabu.
kama manabii na yesu ni watoto waliotumwa na munguMleta uzi ni mpumbavu na msukule wa makanisani au misikitini mtu wa madhehebu ...hata yesu anasema (waacheni watoto wadogo waje kwangu maana ufalme wa mungu ni wao) ufalme wa mungu ni kama watoto wadogo, ni wao kwa sababu ya utakatifu..(mtoto mdogo yupo kwenye kundi la watakatifu) japo hana thawabu.
Tambua hata kama katumwa na shetani awapo mtoto hana dhambi ni mtakatifu ...tumia akili ipo siku nyinyi mtaambiwa huko kwenye madhehebu yenu mmuue mtoto fulani kisa ametumwa na shetani ...hata yuda eskalioti alipo kuwa mtoto alikuwa ni mtakatifu hata filauni alipokuwa mtoto alikuwa ni mtakatifu ....kwa hoja yako unataka kusema wewe unamjua shetani kuliko mungu na mitume wake.kama manabii na yesu ni watoto waliotumwa na mungu
basi elewa kuwa wapo watoto pia walotumwa na shetani
Hakuna mtoto anayeleta utajiri, acheni imani za kijima.ndugu usibishe elewa kuwa hivi vitu vipo
we hujui kuna mtoto mnaweza kumzaa
ghafla mkaona mambo yenu yanaanza
kuwanyookea sana? sasa kama kuna watoto wanakuja
hivyo elewa wapo watoto wanaokuja namna hii pia
au hujui unaweza kuoa mke mambo yakakunyookea mno
na mwingine unaweza kuoa mke kama uulkuwa na pesa
na unajiweza ukimwoa tu basi hapo hapo itakuanzia mikosi
na mabalaa hadi utafilisika na kama ulikuwa na kazi utafukuzwa
hadi uwe fukra kabisa,kama wake namna hii wapo kwanini watoto wa disigne hii wasiwepo?
Kuna aina mbili tu za utakatifuwacha uwongo wewe yesu hakusema watoto ni watakatifu
wala hakusema ufalme ni wao bali alisema mtu yeyote ata
kae upokea ufalme wa mungu yaani ujumbe wake kama mtoto
mdogo anavypokea vitu anavyofundishwa bila mashaka wala
kuhoji basi huyo ni wake
Hao waliotumwa na shetani ndiyo maana ya (magugu) ila wawapo watoto na wawapo awajatenda dhambi huwa ni watakatifu kanuni ni moja uwezi kuhesabiwa dhambi pasipo kuwa umeitenda kumbuka kuwa mungu hata hukumu kwa haki ...sasa utahesabiwaje dhambi pasipo kutenda dhambi ?asiye tenda dhambi yoyote huyo ni mtakatifu...tumia akilikama manabii na yesu ni watoto waliotumwa na mungu
basi elewa kuwa wapo watoto pia walotumwa na shetani
Hao wa kutanguliza miguu wanaitwa makashindye, ni kweli wana matambiko yao.Nakumbuka ile ajali mama alikufa mtot kachoropoka tumboni hai na ilikuwa ndo anaenda kujifunguwa, pia kuna watot wanaozaliwa wanaanza miguu🙄 na wanaozaliwa na meno wanaoanza kuota meno tofauti na yale ys kawaida naskia wana mikosi yao
Okayhatujakataa ila elewa hata uchawi unaua
ingawaje kifo ni kile kile
Sawa.Sasa,uwe unaandika kwa misingi ya uandishi.Haiwezekani hadithi ndefu namna hiyo kuhusu chinjachinja uandike kwa sentensi mbili tu.fahamuni jamani kuna watoto wanazaliwa mimi binafsi nimewapa jina
la chinja chinja, watoto hawa kwanza sifa yao akizaliwa tu huwa anamuua
yule mtu ambaye ndiye angekuwa tegemezi lake hapa duniani kama familia
inamtegemea baba basi ni wazi ataondoka yeye, au anapozaliwa tu ana muua
mama yake, hivyo basi maisha yake duniani huwa yanaenda kwa mfumo huo
na yeyote atakayejitokeza mbele yake akamuonea huruma labda amchukue amlee
sababu wazee wake hawapo basi haipiti muda nae msamaria huyu nae safari itamkuta
itaendelea hali hii hadi atakapokua huyu mtoto, lakini jambo la kushangaza mtoto aliyekulia
namna hii huwa na mafanikio sana maishani inakuwa kama watu waliokufa kule ndio kafara lake
la yeye kuendelea duniani, tuwe makini kuna watoto wa namna hii wapo hata ukikataa we jaribisha
halafu uone nini kitakufuatia,sisemi msiwalee mayatima wa ndugu zenu ila kma kuna aina flani
ya mila hivi au dua ya kujikinga na shari lake alilokuja nalo duniani lisikupate itakuwa bora zaidi
kabla hujamchukua kumlea wewe kibubusa bubusa
umeona eee, hii vitu vipo watu wabisha sasa onaHao wa kutanguliza miguu wanaitwa makashindye, ni kweli wana matambiko yao.
wewe endelea kukataa hivyo hiyo naMtoa mada una matatizo kichwani
weweee waambie haooo !!!MTU mweusi huwa anatafuta kila njia awe irresponsible (kutokuwajibika)
Atakwepa kodi
Atakataa saidia ndugu zake Kwa wahita wachawi.
This race is cursed
Thibitisha haya uyasemayowewe endelea kukataa hivyo hiyo na
mimi sina haja ya kukulazimisha uniamini
sababu nimeongea kitu ambacho kipo
hata ukikataa, qadari inaweza ikakukutanisha
nao siku moja nadhani ndio hapo utaamini
kwa vitendo