antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Ngoja waje wale wa Kataa Ndoa watoe dukuduku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁 acha uoga. Umri hauna uhusiano na kupata kipato. Kama sio brainwashing za shuleni na media. Miaka 20 anaweza kuwa na biashara kubwa tu za kuuza hizo microwave sio tu kumiliki.Mkuu, miaka 20 utaoa utamlisha nn mtoto wa watu? At least miaka 28 hiv hapo utakuta mtu anaweza kuingiza hata 800k na kuendelea,
Unaoa hata geto huna microwave 😂😂😂
Babu yangu alioa akiwa na miaka 22, akiwa ni meneja na anashindia suti.Ukio na umri kuanzia 20-25 hiyo ndoa Ina asilimia 70 za kuvunjika na ukioa ova 35 hiyo ndoa Ina asilimia 50 za kuvunjika
Ni hofu tu, ungeoa kabisa. Mimi nilipanga kuoa 22 muolewaji ndio alikuwa na wenge akapoteza hiyo fursa ikaangukia kwa mwanamke mwingine miaka michache baadae. Ila hiyo ni moja ya majuto yangu katika documentary ya maisha yangu. Kuchelewa kuoa nikiwa na miaka 22.Nilipata mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 23 nikiwa chuo, nilipata changamoto kipato😂
Ila now naangalia dume zangu mbili daaah nafarijika sana🙏🙏
Natumaini nikifikisha miaka 45 nitakuwa na vijana waliomaliza vyuo vikuu ikiwa watapita salama
Wale wapuuzwe. Ni matokeo ya stress za kutendwa au kuvurugwa katika mahusiano. Ila wakipendwa vzr ni wanandoa wazuri tu.Ngoja waje wale wa Kataa Ndoa watoe dukuduku
Huko vyuoni mnaoana mkimaliza chuo mnaachana.Miaka 20 ni Degree 1st year ujue.
Mazingira ya Bongo unalinganishaje na China Wewe ?Kwa familia makini. Mzazi hatafuti mali kwa ajili yake tu. Anatakiwa kutafuta hadi kwa wana wa wana wake (wajukuu) ili kuwaboost kuwapa kianzio cha maisha ili wao wasonge mbele.
Kwa umri huo pia anatakiwa kuwa ameivishwa na kuwa na uwezo wa kuingiza kipato. Haihitaji degree ndio upate hela za kulisha mke. China kuna mabilionea wengi sana under 22.
Ni mindest za umasikini tu ndio zinatupa hii hofu dhaania.
Wanafiki sana wale madogo.Huko vyuoni mnaoana mkimaliza chuo mnaachana.
Inatafuta hela kwa ajili ya legacy yake na aombe kupata watoto wakuiendelezaKwa familia makini. Mzazi hatafuti mali kwa ajili yake tu. Anatakiwa kutafuta hadi kwa wana wa wana wake (wajukuu) ili kuwaboost kuwapa kianzio cha maisha ili wao wasonge mbele.
Kwa umri huo pia anatakiwa kuwa ameivishwa na kuwa na uwezo wa kuingiza kipato. Haihitaji degree ndio upate hela za kulisha mke. China kuna mabilionea wengi sana under 22.
Ni mindest za umasikini tu ndio zinatupa hii hofu dhaania.
Nimeenda usukumani watu wanaoa hadi na miaka 18, chini ya uangalizi wa jamii bado watoboa hadi uzeeni.Mazingira ya Bongo unalinganishaje na China Wewe ?
Huu umasikini humu Bongo na mifumo mibovu ndio unafikiri mtu anaweza kuwa bilionea kwa umri huo ?
Anaweza maisha nikufanya na sio kujaribu . Rafiki yangu wa sasa kakijana tu kanaitwa dogo ameoa 18 mke ana 17 wote walianza maisha hayo hapa mjini na wote waliajiriwa kama wafanya usafi wa kaanz akodogo kidogo wakasave sasa hivi wana kimgahawa chao kinaingiza ml 3 kwa siku kama hutaki acha wanapika chipsi kuanzia saa sita mpaka sanane usiku na amewaakiri wafanyakazi wakumsaidia kupeleka chipsi kutengeneza kachumbari hadi now mwenzako sio yeye . Maisha sio yakuogopa na uchaguzikwa kusoma kama ulivoandika look so simple but in reality tunadanganyana why?
1. MATURITY
Umri wa miaka 20 kwa mtoto wa kiume anakua maturity "physical" but not ""Mentaly so hawezi kuhimili mikiki ya ndoa.
Umri wa Miiaka 20 tunategemea aoe kijana wa kike wa miaka 20 au chini ya hapo ambao kimtazamo akili zao wote hawa ni za kitoto bado hawawezi kupambanua mambo katika upana wa kufanya ndoa iwe "STABLE" matokeo ni kesi za kupigana, kuchitiana na utoto toto mwingi mwisho wa siku kuwapa mzigo wazazi hata kuachana.
2. ECONOMIC STABILITY
Kwa asilimia kubwa kwa vijana wengi wa kiume umri wa miaka 20 ndo kwaanza wapo chuo au wanajitafuta ukiachiliana mbali kupima uwezo wao wa kufua nazi kupimia nyenzo tofauti tofauti i mean wako PEAK in sexual drive...So my point is ni ngumu kukuta yupo kiuwezo kifedha wa kumtunza MKE na watoto kwa jamii yetu kama hii ya KITANZANIA.
3. LIFE EXPERIENCE and EXPOSURE
hahaha nimecheka kwa kuwa najua kuna watu wanaweza kuona kama sio point ya msingi lakini ina umuhimu wake..Taasisi ya ndoa kwa kijana wa kiume wa kitanzania ili uindeshe vizuri basi lazima uwe umepitia changamoto mbalimbali za kimaisha na kuweza kuzibakabili kimwili,kiakili na hata kiroho kuna kauzoefu flani lazima upate utaopima ujasiri na uwezo wa kutatua mambo kwenye maisha, sasa kwa kijana wa miaka 20 HAHAHAHA Ndo kwaaanza wengi akili zao zinakua zipo stage1 of maturity ni shida tupu alafu uje umpe ndoa asee ni vichekesho.
CONCLUSION
Kwangu mimi BIG NO kwa misingi na mifumo ya jamii zetu za kiafrika miaka 20 kwa kijana wa kiume kuingia kwenye NDOA.
Wala hakuna tatizo, kwani wataishi maisha hayo hayo.Watu wapo class
Na wengi tegemeo ni heslb