Faida na hasara za kujenga nyumba yenye flat roof

Asante mkuu hapo nimepata shule ya uhakika
 

Ni kweli mkuu. Pia uzuri ni kuwa hizo kozi 2-3 zinazoongezeka ni kwa kuta zinazozunguka nyumba tu sio pamoja na kuta za ndani. Tena wengine anazungusha ukuta mbele, kushoto na kulia nyuma inabaki wazi kwahiyo bati zinamwaga maji kwa nyuma ya nyumba
 
Kwa juu Nina nyumba nyingine sasa hapo reservoir ya Maji almost Lita 40,000 ambazo navuna Maji ya mvua. Hope nitajenga kibanda cha kupumzika juu Yake.
hii kitu ukiimaliza itakuwa matata sana...
 
Ni kweli kabisa haya yamenikuta juzi nilimwonesha bosi wangu nyumba ninayojenga yaani kabadilika kawa adui naona hata salamu zimekwisha na ili aingie ofisini kwake lazima apite kwangu. Yaani tulikuwa friend sana ila kwa sasa nafikiri anatamani hata niondoke kazini. Kila saa anajifanya nimekosea katika maagizo yaani imekuwa tabu sana
 
nani Kakuambia umuoneshe bosi wako?
 
Nadhani zile hasara za design ya Maputo ndiyo hizo hizo za flat desing ya paa.
 
Hizo nyumba ni nzuri ila zinahitaji utaalamu Mkubwa sana
 
Hivi flat roof ya bati na zege gharama zake zinatofatiana sana? Tofauti zipo kwenye nini hasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…