RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Madirisha yawe makubwa kuruhusu upepo kupita,kama hela ipo full acKwani Dar joto lake unalionaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madirisha yawe makubwa kuruhusu upepo kupita,kama hela ipo full acKwani Dar joto lake unalionaje?
Yeah napenda sana rangi ziwe za kuvutia kama ionekanavyo kwenye prototypeUnatakiwa kucheza na rangi na ule urembo wa kuta ili nyumba ipendeze. Kingine madirisha yawe makubwa ya kuvutia. Color coordination nayo muhimu sana
Hahahah kweli, ila hii style inakata cost za kuezeka kwa over 60%Madirisha yawe makubwa kuruhusu upepo kupita,kama hela ipo full ac
Msumbiji ni paa mbili. Kama ni mhenga nyumba maarufu zilizokuwa zinajengwa Sinza enzi hizoooPicha tafadhali. Tuelewe vizuri zaidi
Asante mkuu hapo nimepata shule ya uhakikaHuwa hakuna kuingia kwenye dari. Hakikisha umeziba vizuri wadudu kama panya wasiingie.
Wiring inafanywa kwenye ukuta chini sio darini. Yaani connection za waya ni kwenye switch/socket chini. Juu zinapita waya nzima nzima so ukiweka gypsum hupandi tena shoti ya umeme unarekebisha chini.
Nyumba ya KAWAIDA baada ya ring beam unazungusha kozi tatu,hii ni kozi tano mpaka sita. So kuna ongezeko la kozi 2-3. Nafikiri unajua bei ya mbao na mabati.
Ya kwangu roof ya KAWAIDA ningetumia mabati at least 100, hii nimetumia mabati 40+. Mbao ndio wala sisemi.
hii kitu ukiimaliza itakuwa matata sana...Kwa juu Nina nyumba nyingine sasa hapo reservoir ya Maji almost Lita 40,000 ambazo navuna Maji ya mvua. Hope nitajenga kibanda cha kupumzika juu Yake.
Awalipe wote hao sita?watafute wachora ramani kama 6, na wote wapatie kazi ya kukuchorea hiyo ramani ya nyumba, na gharama yake.
uchukue mwenye ramani ya gharama kidogo.
Huyo boss wako itakuwa kaona weevu! 🙄🙄🙄 Na siku za hivi karibuni jiandae kisaikolojia kupokea warning letter zinazofululiza bila sababu maalum!
Mambo ya maendeleo sio ishu za ku expose sana ofisini.
Kuna jamaa yangu alikuwa procurement kwenye kampuni yetu. Akanunua gari kali sana ila ya bei nafuu.
Nilimkataza sana asije nayo ofisini yeye hukunisikia. Alipoanza kuja nayo kazini, hakumaliza mwezi wakamuundia zengwe wakamfukuza kazi.
nani Kakuambia umuoneshe bosi wako?Wanajamvi nahitaji ushauri,
Nimedunduliza nakaribia kuvunja kibubu cha ujenzi wa nyumba. nimeshachorewa ramani na makadirio ya gharama. leo kwa shauku kubwa nimemuonyesha ramani boss wangu akanishangaa kwanini nimechora ramani yenye paa la gharama kubwa namna hiyo😵 akaniambia flat roo ingegharimu robo tu ya gharama zote za paa hili (ramani yangu ina paa la kawaida tu).
Amenistua kwasababu mchora ramani alinihakikishia hii ramani ni ya nyumba nafuu kabisa.
Sasa wadau nisaidieni mawazo kw ayeyote anaejuaa faida na hasara za kujenga nyumba yenye flatroof kabla sijabadilisha mawazo nikaingia mkenge.
Natanguliza shukrani za dhati
Nilikua huko wiki tatu zilizopita.Mkuu habar ya dodoma
Kuna siri gani tena. Weka hapa wengine wapate elimu.Mkuu njoo pm tafadhali
Acha bas[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama mahakama ya wilaya !