Faida na hasara za kujenga nyumba yenye flat roof

Flat roof ni nzuri changamoto ni kwamba inahitaji finishing ya uhakika, garden nzuri kuzunguka nyumba otherwise itaonekana kama jumba lililoachwa na waarabu.
 
Hapo kwenye maintenance naomba ufafanue zaidi kwasababu zinatumika mbao na mabati kama nyumba nyingine sema hii roof inakuwa imefichwa na matofali.
Siyo mtaalam wa hii kitu lakini nimeelewa kwamba roof za namna hii kama kuna miti karibu basi yale majani yake yanayopukutika yanaweza kujaa huko juu na mvua ikinyesha yakalowana yanaozesha paa. Pia wanyama na ndege wanaweza kuweka makazi yao na bila shaka wakajisaidia huko (mf. Paka) . Hivyo lazima kuwe na access ya kufika juu mara kwa mara ili kusafisha.
 
Nyumba za hivi huku kwetu zinaonekana dunk sana mjengo mkubwa ukipaua hivi unaonekena u.ejenga slope ya watu Wa chini kabisa maana ufahari upon kwenye bati.
Pia wataona kama mskiti ...jengo la serekali....


Yote hayo ni mitazamo ya watu.
Vp kudumu kwa bati maana Ni lazima uweke below 10 nyuz ....uchafu unatua...unyevu....kutu vp
 
Flat roof ni nzuri changamoto ni kwamba inahitaji finishing ya uhakika, garden nzuri kuzunguka nyumba otherwise itaonekana kama jumba lililoachwa na waarabu.
Changamoto finishing...otherwise its gonna look like a warehouse.
 
Kuna gutter inatengenezwa inaunganishwa na bomba kutoka juu kwenda chini. Bomba zinachimbiwa ukutani zinaibukia chini level ya msingi.
Hizo gutter zilizounganishwa na bomba ikitokea zimeziba Kwa kujaa uchafu na kutoruhusu maji kupita itakuwaje? Haziwezi kupelekea nyumba kupata shida hasa tatizo hilo likiwa la muda mrefu???
 
Hizo gutter zilizounganishwa na bomba ikitokea zimeziba Kwa kujaa uchafu na kutoruhusu maji kupita itakuwaje? Haziwezi kupelekea nyumba kupata shida hasa tatizo hilo likiwa la muda mrefu???
Gutter ya zege na bomba kubwa.
 
Ebu weka hiyo ramani ulio chorewa hapa, then ndipo tunaweza tukakushauri.
Pia kumbuka hizi mambo za michoro kama haujui kuzisoma, tarajia kuingizwa kingi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…