AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
Hii ya ZegeUnaweza save asilimia ngapi roughly, kulinganisha na upauaji wa kawaida?! Just estimations tuDesign ya namna hii ni nzuri.
A. Faida :-
bati na mbao ni chache.
Nzuri kimazingira.
Ni vigumu kuezuliwa na Upepo.
Kwa kiasi inaongeza ukubwa wa nyumba.
Unasaidia katika uvunaji wa maji ya mvua.
B. Hasara:-
Isijengwe palipo na miti mirefu.
Huitaji uangalizi hasa katika usafi juu ya papa.
Huitaji mfumo imara wa kupitisha maji ya mvua.
Ni rafiki kwa wanyama na ndege.
Ni lazima uwe na ngazi ya kufikia paa (usafi /ukarabati).
Huitaji umaliziaji mzuri kwa nje.
Huitaji headroom kubwa ili kupunguza Jotoridi ndani ya nyumba.
Kujenga nyumba ya namna hakupunguzi gharama za Ujenzi kwani nafuu ya kitu fulani huongeza gharama ya kitu kingine.
Hata hivyo Flat roof (0-10 degree slopes) kama ikijengwa kwa zege manufaa yake ni mengi zaidi kuliko kupaua kwa bati.
Poor design mzee flat inakua imefunguka Kwa nyuma hapo au uweke sehem ya kutolea maji tofaut Na hapo hyo roof itageuka kua swimming pool
Hii kwako haipendezei? Ama kweli uzuri upo machoni kwa mtu!
Kunakuwa na mabomba ya kutolea maji!Mzee hapo mvua ikinyesha inakuaje??
sasa si bora uweke zege tu na halafu hapo juu utakua umepata uwanja wa kutumia na kufanyia mambo mengine.Flat roof ni nzuri. Unatumia mabati machache na mbao chache. Gharama inaweza kuwa robo ya roof ya kawaida.View attachment 806560
Ila kama hio ulioweka mchoro wake inabidi uweke na mabomba ya kutolea maji maana mvua ikipiga hapo maji yanajaa juu ya roof kama swimming poolFlat roof ni nzuri. Unatumia mabati machache na mbao chache. Gharama inaweza kuwa robo ya roof ya kawaida.View attachment 806560
Wakuu naombeni turudi kwenye huu uzi
Mi naomba kujulishwa material ya huku kwenye kuta za nje nitumie rangi au nini ambayo haitabanduka kirahisi?
Pia naomba kujua niweke kozi ngapi za tofali toka kwenye lenta mpaka juu ili kuleta muonekano mzuri?
Ntashukuru kwa msaada wenu.
Hivi mnatumiaga nini kuelewa vitu!!?? Umeshaambiwa roof inakuwa na slope sasa hiyo swimming pool inatokea wapi.!!!??? Au hujui maana ya slope!!!Poor design mzee flat inakua imefunguka Kwa nyuma hapo au uweke sehem ya kutolea maji tofaut Na hapo hyo roof itageuka kua swimming pool
Kuna nyumba zina flat roof zina miaka zaidi ua sitiniKwa vile umeomba ushauri basi wacha tushauri....
Flat roof ni cheaper sana kuliko pitched roof, lakini kama kutakua na leakage ili ufanye maintenance basi pitched roof ni cheaper kuliko flat roof,
Pia kwa life span , flat roof ni kuanzia 10 -15 years, ukipita huo mda basi inaanza kusumbua,
Kama nipo kwenye nafasi yako ningechagua pitched roof
Kuna wekwa tundu na gutter za kutolea majiMzee hapo mvua ikinyesha inakuaje??
Wanajamvi nahitaji ushauri,
Nimedunduliza nakaribia kuvunja kibubu cha ujenzi wa nyumba. nimeshachorewa ramani na makadirio ya gharama. leo kwa shauku kubwa nimemuonyesha ramani boss wangu akanishangaa kwanini nimechora ramani yenye paa la gharama kubwa namna hiyo😵 akaniambia flat roo ingegharimu robo tu ya gharama zote za paa hili (ramani yangu ina paa la kawaida tu).
Amenistua kwasababu mchora ramani alinihakikishia hii ramani ni ya nyumba nafuu kabisa.
Sasa wadau nisaidieni mawazo kw ayeyote anaejuaa faida na hasara za kujenga nyumba yenye flatroof kabla sijabadilisha mawazo nikaingia mkenge.
Natanguliza shukrani za dhati