Faida na hasara za kujenga nyumba yenye flat roof

Faida na hasara za kujenga nyumba yenye flat roof

Wenzako wanasema inaokoa gharama wewe umekazana kupinga bila hoja za maana, wabongo ni shida aisee. Kama ni ujenzi unaopunguza material kama mbao huoni unasaidia pia kwenye uhifadhi wa mazingira
Ana hoja ya msingi. Mzunguko wa tofali unaongeza gharama.
 
Mi naomba kujua gharama ya slab. Je, ni rahisi kuweka slab ukilinganisha na pitched roof?
 
Kwa ufahamu wangu mdogo Slab ni ghali mkuu. Halafu ukiweka slab nafikiri nyumba iwe na tofari za kulaza au nguzo. Labda kama nyumba yako ni ghorofa tayari.

Hata paa laweza kuwa ghali pia inategemeana ni la aina gani? Kigae, au bati za kawaida.

Zaidi ngoja wataalamu na wabobezi zaidi waje.
Mi naomba kujua gharama ya slab. Je, ni rahisi kuweka slab ukilinganisha na pitched roof?
 
Mkuu,hilo shimo la choo hapo mbele mbona linaharibu shoo ya nyumba?

Mbele hapo inatakiwa ikae garden moja matata,shimo peleka nyuma ya nyumba
Kwa juu Nina nyumba nyingine sasa hapo reservoir ya Maji almost Lita 40,000 ambazo navuna Maji ya mvua. Hope nitajenga kibanda cha kupumzika juu Yake.
 
Wakuu naombeni turudi kwenye huu uzi




Mi naomba kujulishwa material ya huku kwenye kuta za nje nitumie rangi au nini ambayo haitabanduka kirahisi?

Pia naomba kujua niweke kozi ngapi za tofali toka kwenye lenta mpaka juu ili kuleta muonekano mzuri?

Ntashukuru kwa msaada wenu.
Wataalamu wanasema kuta yake isizidi 1.5m
 
Gharama ya kumwaga zege si itakuwa mara 10 ya gharama za bati mkuu?
Design ya namna hii ni nzuri.
A. Faida :-
bati na mbao ni chache.
Nzuri kimazingira.
Ni vigumu kuezuliwa na Upepo.
Kwa kiasi inaongeza ukubwa wa nyumba.
Unasaidia katika uvunaji wa maji ya mvua.
B. Hasara:-
Isijengwe palipo na miti mirefu.
Huitaji uangalizi hasa katika usafi juu ya papa.
Huitaji mfumo imara wa kupitisha maji ya mvua.
Ni rafiki kwa wanyama na ndege.
Ni lazima uwe na ngazi ya kufikia paa (usafi /ukarabati).
Huitaji umaliziaji mzuri kwa nje.
Huitaji headroom kubwa ili kupunguza Jotoridi ndani ya nyumba.

Kujenga nyumba ya namna hakupunguzi gharama za Ujenzi kwani nafuu ya kitu fulani huongeza gharama ya kitu kingine.

Hata hivyo Flat roof (0-10 degree slopes) kama ikijengwa kwa zege manufaa yake ni mengi zaidi kuliko kupaua kwa bati.
 
Ana hoja ya msingi. Mzunguko wa tofali unaongeza gharama.

Mkuu unajua tatizo siku hizi ukitaka kuweka bati nzuri gharama inakua juu sana. Pia mbao ni ghali sana kwa sasa. Mimi nimepiga mahesabu ya kuweka bati ya msouth nikalinganisha na gharama ya kuzungusha tofali + bati na mbao zake inakuja nusu ya bei ya bati ya msouth peke yake, hapo sijaweka mbao wala ufundi
 
Duh, Walimwengu!
Huyo boss wako itakuwa kaona weevu! 🙄🙄🙄 Na siku za hivi karibuni jiandae kisaikolojia kupokea warning letter zinazofululiza bila sababu maalum!
Mambo ya maendeleo sio ishu za ku expose sana ofisini.
Kuna jamaa yangu alikuwa procurement kwenye kampuni yetu. Akanunua gari kali sana ila ya bei nafuu.
Nilimkataza sana asije nayo ofisini yeye hukunisikia. Alipoanza kuja nayo kazini, hakumaliza mwezi wakamuundia zengwe wakamfukuza kazi.
 
Mpaka hapa nilichokielewa mimi ni kwamba unaweza ukajenga nyumba kwa style ya flat roof ila still gharama zote utakazozikimbia huku kwenye pitched roof ukakutana nazo huko.

So mfano nyumba yako ambayo ulitamani kuezekwa kwa paa la kuinuka kwa cost ya 10mill ukaja kwenye flat ukafanyiwa 8.5/9mill hakuna ulichookoa mie naona na nadhani labda kama mtu umeamua tu kuchagua style fulani ila kusema unafanya kupunguza gharama hakuna kitu kama hiko.
Wamesema unaokoa gharama robo tatu ! Ni hesabu gani unaleta !?
 
Bati za gauge ngapi ndio zinafaa kwa flat roof?
Bati za guage 26 ndio the best! Hizi wanajengeaga majengo ya serikali zaidi. Ila kwa makapuku wengi ndio hutumia 28 na kuendelea bati kama za vibanda vya mbwa ukikangaga mgongo inapinda!
 
Back
Top Bottom