The Intelligent
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 2,459
- 824
mimi Pia nilisikia kwa wanawake inapanua uke(SINA TAFSIDA HATA KITABU KIMEANDIKA UKE NA UUME SOR NIKIMKWAZA MTU)
Ila na wewe si unatumiaga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mimi Pia nilisikia kwa wanawake inapanua uke(SINA TAFSIDA HATA KITABU KIMEANDIKA UKE NA UUME SOR NIKIMKWAZA MTU)
Shalom ndo kitu gani ww acha uzandiki
Ya jamii gani hiyo salamu
Ila na wewe si unatumiaga?
mimi Pia nilisikia kwa wanawake inapanua uke(SINA TAFSIDA HATA KITABU KIMEANDIKA UKE NA UUME SOR NIKIMKWAZA MTU)
Mbona hii ndo tafsida yake,vip ungeandika K......... au mb.......? Hujamkwaza mtu ila me nashangaa kichanga et kimezaliwa then kimefikia kwny mitandao ya kijamii,hii ni shidaaaa!
Ya pili ni kweli hata mm nikiwa mwisho wa mwezi tumbo likiuma naoga au kunywa au kukanda tumboo na maji ya moto na linapoa
Iyo ya tatu duh bas kama ni ivyo yangu ingekua kama bwawa maana napenda kunawia maji ya moto
1.je ni kweli maji ya moto hupunguza hashiki(hamu ya kujamiina)?
2.je ni kweli huondoa maumivu wakati wa hedhi????how is that possible?
3.je mwanamke akiyatumia kutawadha kuna hati hati ya kutanuka exterior part of vagina????
Jaribu, sio kila kitu unauliza