Faida na madhara ya kuoga kwa maji ya moto

Faida na madhara ya kuoga kwa maji ya moto

achen masihala wakuu pande zetu za mbeya ni full baridi and mimi always naoga maji ya moto na vp watu wanaoishi ulaya. THINK WISELY GUYS
 
mimi Pia nilisikia kwa wanawake inapanua uke(SINA TAFSIDA HATA KITABU KIMEANDIKA UKE NA UUME SOR NIKIMKWAZA MTU)

Mbona hii ndo tafsida yake,vip ungeandika K......... au mb.......? Hujamkwaza mtu ila me nashangaa kichanga et kimezaliwa then kimefikia kwny mitandao ya kijamii,hii ni shidaaaa!
 
hakuna madhara yoyote ni uzushi tuu kwa wachache wasiojua
 
Mbona hii ndo tafsida yake,vip ungeandika K......... au mb.......? Hujamkwaza mtu ila me nashangaa kichanga et kimezaliwa then kimefikia kwny mitandao ya kijamii,hii ni shidaaaa!

hahahahaha
 
1.Je ni kweli maji ya moto hupunguza hashiki(hamu ya kujamiina)?

2.Je ni kweli huondoa maumivu wakati wa hedhi? How is that possible?

3.Je mwanamke akiyatumia kutawadha kuna hati hati ya kutanuka exterior part of vagina?
 
hiyo ya kwanza nami nshagaskia, hzo nyingne sijawahi hata kuskia ntarudi baadae kusoma majibu ya wataalam
 
Ya pili ni kweli hata mm nikiwa mwisho wa mwezi tumbo likiuma naoga au kunywa au kukanda tumboo na maji ya moto na linapoa

Iyo ya tatu duh bas kama ni ivyo yangu ingekua kama bwawa maana napenda kunawia maji ya moto

na mimi ya 3 naihofia
 
Back
Top Bottom