Faida ya kuishi duniani ni ipi kama tulizaliwa ili tufe?

Faida ya kuishi duniani ni ipi kama tulizaliwa ili tufe?

Kwani kusomea urubani unahitaji mwalimu? Kama ni ndio basi hata bible utahitaji mwalimu.

Bible sio gazeti, ile ni doctrine mzee, unakaa class unafundishwa, hutaki utaendelea kumjulia Mungu vijiweni
🤣That proves kwamba huyo Mungu mjua yote na muweza yote hayupo na Kama yupo sio wa Biblia. Kwa Nini aandike kitabu ambacho kadri unavyozidi kukisoma Imani inapungua, kitabu kina uwongo mwingi kuliko movie za marvel
 
🤣Ehe mbona huongelei kwamba hamna archaeological evidence ya Musa au story nzima ya kutoka na vita za Joshua. Mbona husemi? Au ni Imani tu? Ila vingine unatafuta Sayansi ili ikusapoti
Zote kwenye bible zipo hata ukigoogle unazipata ukiwa tomaso panda ndege kafike eneo husika
 
Zote kwenye bible zipo hata ukigoogle unazipata ukiwa tomaso panda ndege kafike eneo husika
🤣Hamna archaeological evidence ya Exodus, Egyptian history haina story za Musa na unajua walivyotunza historia Yao... Why zisiwepo if ni za ukweli... 🤣Au Mungu kaondoa evidence zote ili atupime
 
Nimependa hoja yako,
Kuna sehemu imeandikwa "USiku mmoja ni sawa na miaka Elfu moja kwa Mungu". na sehemu nyingine inasema "Alitujua mwisho wetu kabla hajatuumba" Sasa kama Mungu alijua kuwa siku moja Mwanamke atashawishika kula tunda, kwa nini alimuumba mwanamke huyo na sio mwingine!?
 
Nimependa hoja yako,
Kuna sehemu imeandikwa "USiku mmoja ni sawa na miaka Elfu moja kwa Mungu". na sehemu nyingine inasema "Alitujua mwisho wetu kabla hajatuumba" Sasa kama Mungu alijua kuwa siku moja Mwanamke atashawishika kula tunda, kwa nini alimuumba mwanamke huyo na sio mwingine!?
🤣Ndo ujue story za mababu wayahudi na waarabu ni uhuni tu
 
Habari zenu,

Natumaini wote wazima.

Huwa najiuliza swali hili kila siku. Na jibu sijawahi kupata, sasa kuna umuhimu gani wa kuishi duniani hali ya kuwa utakufa?

Biblia inasema kuwa Adamu na Hawa walikula tunda pale edeni eti ndo sababu tunakufa. Ina maana kuwa kifo hakikuwa kabla ya kula lile tunda na hata sijui nitunda gani hilo, biblia imetuficha kutupa ukweli.

Sasa kifo na tunda linahusiana na nini? kama MUNGU hakutaka Adam na Hawa wale lile tunda yanini aliliweka kwenye bustani ya edeni? majaribio mengine bana.

Hilo tunda lina ubaya gani? Kitu umekiumba kwanini ukataze kisiliwe? Biblia imetudanganya hapo.

Jamani hata kwa akili ya kawaida kweli upande mazao yako shambani halafu ukataze familia yako kula kweli inakuja? Biblia imeficha ukweli.

Hivi kweli uzae watoto wako alafu uje kuwauwa kisa hawajakutii au hawajafanya utakacho??

Kama tuliumbwa ili tufe ina faida gani kuishi duniani. MUNGU angetuuliza kila mmoja kama utakubali kuishi ili uje kufa baadae kuliko kutufanyia umafia kama huu.

Mtu unahangaika kutafuta maisha kwa kila hali hata mda mwingine hupati milo yako vizuri ili kujibana upate maisha manzuri, sasa unafanya yote ya nini wakati utakufa?

Mambo haya yanachanganya kichwa sana.
Kwa Nini asizuie litokee mana ye si anaona jambo kabla halijatokea?.
 
[emoji1787]That proves kwamba huyo Mungu mjua yote na muweza yote hayupo na Kama yupo sio wa Biblia. Kwa Nini aandike kitabu ambacho kadri unavyozidi kukisoma Imani inapungua, kitabu kina uwongo mwingi kuliko movie za marvel

Uliona wapi, au ulisikia wapi Mungu ameshika kalamu kuandika biblia?[emoji23] Biblia sio magic book, imeandikwa na watu ambao wametumia sanaa za uandishi kufikisha ujumbe.
Unahitaji kuweka umakini ujifunze mwandishi alikusudia kufikisha ujumbe gani kuhusu Mungu.

Kukosa kufanya hivo, utaendelea kula matango pori kitoka kwa wahuni wa mtaani.
 
Sio story mzee,hiyo ni Biblical logic.
🤣Umetumia bible na logic in one word. 🤣Aya niambie Yesu alienda wapi baada ya kuzaliwa Egypt au Nazareth? 🤣Na kulikuwa na watu wangapi au malaika wangapi baada ya kufufuka kaburini... 🤣Kwanza mathayo anakuambia watu kibao walifufuka pamoja na Yesu wakaenda kutokea watu mitaani mbona Hawa wote hawakuwa Kristo aliyehai...🤣 Biblia ni mkusanyiko wa story za mababu wayahudi wasio na ujuzi Wala maarifa ya uhalisia wa dunia
 
Binafsi siamini katika kifo kwasababu hakuna uthibitisho wowote mtu akifa anaenda wapi
 
Binafsi siamini katika kifo kwasababu hakuna uthibitisho wowote mtu akifa anaenda wapi
🤣Kifo kipo Ila....Sasa sijui if reality inajali unachoamini hata ukiamini wewe ni superman unapaa unanguvu za barafu bado utakuwa kima mmoja tu
 
Tafuta biblia zilizo halali utajua maana ya Tunda, achana na hizo nakala za kihuni walizotafsiri VATICAN kwa kuficha ficha mambo kwa maslahi yao.

Mtu wa kwanza hakuitwa Adam wala mkewe hakuitwa eve maana hawakuwa na asili ya Uzungu, pili hawakuishi huko walikotuaminisha hawa wachungaji na wanasayansi uchwara.

Tatu Tunda maana yake ilikuwa ni maarifa/Neno la ujuzi wa kutambua mambo fulani hapa dunian, na Mti ulito toa hayo matunda ni Malaika ambao waliishi dunian na walikuwa na mission zao hapa hapa dunian.

Mtu wa kwanza alipewa ONYO asiwasiliane na hao malaika wala kuwaomba wampe/wamwambie Habari za maarifa waliyonayo ambayo walukatazwa kuyajua maana yalikuwa nje ya uelewa wao(Tunda).

Baada ya kuumbwa kwa mwanamke ambaye biblia za uongo zinamuita eva/hawa huyu hakuumbwa kwa udongo kama Adam bali aliumbwa kutokana na Imagination+mawazo ya Adamu kuhusu uwepo wa kiumbe kitakachofanana nayeye kitakachomtoa upweke hivyo eva aliumbwa kwa staili hii.

Kwakuwa Eva hakuwa na Uelewa sawa ama nguvu sawa na adamu bali alishawishika na kiumbe ambacho biblia zenu zinasema ni nyoka(Dragon) ambaye ndiye alimshawishi eva na eva ndiye wa kwanza kuyasikiliza maarifa ya wale malaika walioambiwa wasiyasikie na baadae akamueleza Adam, hapa ndipo chanzo cha maovu kilipoanza.

Adam hakufa kama tunavyodanganywa bali alipewa laana kwa wazawa wake na hata eva hakufa tafuta ktk biblia yako hutoona maala wanaeleza hili jambo zaid ya kudanganya kuwa adam alikufa na umri wa miaka fulan which is nonsense.

Unatakiwa ujuwe kuwa Adam mission yake aliyoletwa dunian ilikuwa ni kuongeza idadi ya malaika waliosaliti ambao idadi yao ilitakiwa kuwa replaced na wana wa adam atakao wazaa na mkewe maana Adamu nae kabla ya kuumbiwa mwili alikuwa ni sehemu ya malaika, baada ya anguko la shetan na wenzie ndipo ikaja sababu ya adamu kushushwa dunian na akafanyiwa mwili ili aweze kuendeleza uumbaji wa malaika wapya(wanadamu).

Idadi inayotakiwa kwa wana wa adamu kureplace idadi ya malaika waliosaliti mbingu inajulikana na huenda ikatimia muda ukifika.

Shida za dunia hazitokwisha na hizo raha mnazotamani hazitopatikana maana huyo kiumbe anaeitwa shetan hataki idadi ya wana wa adamu itimie maana ikitimia na ule mwisho utafika na hukumu kwa shetan na wafuasi wake itafika.

Shetan si mjinga kuwapotosha watu na kuwafanya wamsaliti Muumba ili tu idadi isifikie na malengo ya shetani kuutawala ulimwengu yaendelee uku idadi ya wana wa adamu ikiendelea kudhorota na anguko la wengi liwepo.

Tutafute elimu nje ya box, Hilo kanisa la kizungu la Katolic wakishirikiana na madhehebu yote na dini zote hawa ndio wahuni nambari moja waliopotosha Biblia ya kweli kwa kufuta baadhi ya vitabu na vingine kuvipotosha kwa kuedit na kuweka uongo mwingi maana hawa wote wako chini ya shetan kuhakikisha wana wa Adamu hatuijui kweli na hatuifikii ile idadi inayotakiwa kureplace jeshi la shetani.

Tuendeleeni kushabikia mamipira, maushenzi ya kubishiana dini ya nani ndio sahihi, kuuwana sisi kwa sisi, kujadiri uwepo wa Mungu na ujinga mwingne tunajichelewesha sisi wenyewe

Mkuu kama nakuelewa lakini. Una andiko lolote linalosapoti Haya maelezo yako?
 
Ndio maana nasema unahitaji mwalimu sahihi kujifunza vizuri juu ya wasifu wa Mungu, utendaji wake, mipaka yake na yote anayoweza kufanya.
Taarifa ulizonazo kuhusu Mungu ni half baked, na sio za kweli.

Wengi wanaweza dhani wanamjua Mungu lakini ukweli
Tukubaliane tu kwamba kila elimu inahitaji ukutane na wataalamu wake ukajifunza sahihi.

Utahitaji kukaa darasani kama unataka kujifunza udaktari, uinjinia, uanasheria n.k

Lakini inapokuja suala la mambo ya Mungu, kila mtu kwa sababu anaweza kusoma bible basi anaamini anaweza kujua kila kitu na kuweza kuconclude mambo. Haiko hivo mkuu.

Elimu ya Mungu nayo inapitia mchakato ule ule kama elimu nyingine, mtu anakaa darasani anajifunza anapata kuelewa.

Sio kwasababu Mungu ni mweza yote basi tungepaswa kuwa tunajua yote automatically. No. Hapo hatungekuwa na maana ya kuwa binadamu. Tungekuwaga tu wote wanyama kama fisi n.k

Lakini fact ya Mungu kumuumba mtu ni ili mtu awe na uhuru wa kumchagua huyo Mungu.

Kama ambavyo wewe ndugu smotor umechagua kumkataa basi huo ndio mpango wa Mungu kwa kila binadamu kwamba achague Mungu au la. Na sio Mungu alazimishe mtu.
Kwa maelezo yako tu hapo moja kwa moja huyo Mungu hawezekani kuwepo.

Kwa wanaofikiria vizuri na kwa uhuru watanielewa,
Kwa sifa zile basic ambazo anazo huyo Mungu, haingekuwa na ugumu huo kumuelewa mpaka tumtafute mtu anayejua zaidi.

Kwanini wengine ametunyima kumuelewa kama anaupendo wote?

Na kwa definition yako ni kwamba ili useme mwalimu ni mzuri na mbobezi wa masuala ya Mungu ni yule atayeniambia nikubali kuamini tu kwa hiari.

Nmeshakaa na walimu wa kila namna, kwa mahojiano na kufuata kanuni tu, hayupo mwalimu aliyeweza kufaulu hilo.
Utofauti ni kwamba mwalimu huyo lazima atataka kufanya indoctrination, hatapenda kuhojiwa.

Yani akikwambia nyeupe ni nyeusi ukae kwa kutulia, ukihoji ama kwenda against anakwambia unapepo.

huyo Mungu alifail kwenye jaribio dogo sana la mantiki.

Usihangaike sana mkuu kuhusu jambo hilo.
Kwamaana Huyo Mungu hayupo kwenye uhalisia maybe kama unaweza kumthibitisha.
 
Mbona bible archeology historical site nyingi tu zimeproof evidence mfano kutabiri matukio ya Leo ambayo hayakuwepo hata kabla ya sayansi kuproof mfano tawala za farao, utawala wa Rumi,kuibuka kwa uislam,nk.kaburi la Yesu, farao, pyramids,nk
Sio kila kitu upimika kisayansi, sayansi ni branch tu ya masomo katika aina zingine mamilioni za masomo yaliyopo Duniani,
Mkuu, unafahamu history ya bible vizuri?

Unawajua watu wanaitwa Masoreti!?

Hizo hadithi za mafarao zimekuja ingizwa baadae sana, na zikawa updated kwenye issue ya majira na nyakati za utawala wao.
Hiyo imefanyika baadae sana.

Hiki unachokisoma leo sio hiko kilichosomwa kale!

Kwahyo madai yako haya nayatupilia mbali na badala yake nakuvutia ukafanye uchunguzi na kusoma historia ya biblia.

Mungu hayupo ndo maana hata kitabu cha biblia kina makosa mengi ya wazi kabisa.
 
Maisha ni fumbo kubwa, mleta mada sidhani kama utapata jibu la kuridhisha humu... amini tu ndugu yangu.
Sometimes mimi naamini sisi yaani 'uumbaji' ni mradi wa Mungu. We are created at his pleasure , ili tumuabudu tuuu... yaani ni fahari ya Mungu tu sisi tuwepo, tumuabudu, na hiyo ndio lengo la uumbaji..., so usitafute faida ya maisha kwako, ila ujue wewe ni mradi wa Mungu. Ndio maana mtume Paulo alisema" Kuishi ni Kristo, na kufa ni faida", yaani tunaishi kwa faida ya Mungu...
Sio kweli kuwa maisha ni fumbo kubwa.

Kama sisi ni mradi wa huyo Mungu, tukimuabudu yeye anapata faida gani sasa.

Yaani yeye aliumba watu wa kazi ipi!?

Kama ilikuwa ni pleasure tu, kwanini yeye anafurahia lakini huku hakuna raha!?
Kwanini amewakataza nyie wanawe msiishi kwa uhuru na raha kamili!?
 
Muda pia uliwekwa kama kigezo cha kudhibiti mwanadamu ili atambue kusudi la uwepo wake hapa duniani. Mahala anapoishi si kigezo kwa wakati wa sasa kwasababu ya teknolojia ya usafiri kuimarika sana ila kwa wakati wao mambo hayo hayakuwepo.
Unataka kusema kuwa muda uliwekwa na Mungu duniani!?
 
🤣Ehe mbona huongelei kwamba hamna archaeological evidence ya Musa au story nzima ya kutoka na vita za Joshua. Mbona husemi? Au ni Imani tu? Ila vingine unatafuta Sayansi ili ikusapoti
Eti Joshua wa kwa mzee Lazaro alilisimamisha Jua.!
 
Tafuta biblia zilizo halali utajua maana ya Tunda, achana na hizo nakala za kihuni walizotafsiri VATICAN kwa kuficha ficha mambo kwa maslahi yao.

Mtu wa kwanza hakuitwa Adam wala mkewe hakuitwa eve maana hawakuwa na asili ya Uzungu, pili hawakuishi huko walikotuaminisha hawa wachungaji na wanasayansi uchwara.

Tatu Tunda maana yake ilikuwa ni maarifa/Neno la ujuzi wa kutambua mambo fulani hapa dunian, na Mti ulito toa hayo matunda ni Malaika ambao waliishi dunian na walikuwa na mission zao hapa hapa dunian.

Mtu wa kwanza alipewa ONYO asiwasiliane na hao malaika wala kuwaomba wampe/wamwambie Habari za maarifa waliyonayo ambayo walukatazwa kuyajua maana yalikuwa nje ya uelewa wao(Tunda).

Baada ya kuumbwa kwa mwanamke ambaye biblia za uongo zinamuita eva/hawa huyu hakuumbwa kwa udongo kama Adam bali aliumbwa kutokana na Imagination+mawazo ya Adamu kuhusu uwepo wa kiumbe kitakachofanana nayeye kitakachomtoa upweke hivyo eva aliumbwa kwa staili hii.

Kwakuwa Eva hakuwa na Uelewa sawa ama nguvu sawa na adamu bali alishawishika na kiumbe ambacho biblia zenu zinasema ni nyoka(Dragon) ambaye ndiye alimshawishi eva na eva ndiye wa kwanza kuyasikiliza maarifa ya wale malaika walioambiwa wasiyasikie na baadae akamueleza Adam, hapa ndipo chanzo cha maovu kilipoanza.

Adam hakufa kama tunavyodanganywa bali alipewa laana kwa wazawa wake na hata eva hakufa tafuta ktk biblia yako hutoona maala wanaeleza hili jambo zaid ya kudanganya kuwa adam alikufa na umri wa miaka fulan which is nonsense.

Unatakiwa ujuwe kuwa Adam mission yake aliyoletwa dunian ilikuwa ni kuongeza idadi ya malaika waliosaliti ambao idadi yao ilitakiwa kuwa replaced na wana wa adam atakao wazaa na mkewe maana Adamu nae kabla ya kuumbiwa mwili alikuwa ni sehemu ya malaika, baada ya anguko la shetan na wenzie ndipo ikaja sababu ya adamu kushushwa dunian na akafanyiwa mwili ili aweze kuendeleza uumbaji wa malaika wapya(wanadamu).

Idadi inayotakiwa kwa wana wa adamu kureplace idadi ya malaika waliosaliti mbingu inajulikana na huenda ikatimia muda ukifika.

Shida za dunia hazitokwisha na hizo raha mnazotamani hazitopatikana maana huyo kiumbe anaeitwa shetan hataki idadi ya wana wa adamu itimie maana ikitimia na ule mwisho utafika na hukumu kwa shetan na wafuasi wake itafika.

Shetan si mjinga kuwapotosha watu na kuwafanya wamsaliti Muumba ili tu idadi isifikie na malengo ya shetani kuutawala ulimwengu yaendelee uku idadi ya wana wa adamu ikiendelea kudhorota na anguko la wengi liwepo.

Tutafute elimu nje ya box, Hilo kanisa la kizungu la Katolic wakishirikiana na madhehebu yote na dini zote hawa ndio wahuni nambari moja waliopotosha Biblia ya kweli kwa kufuta baadhi ya vitabu na vingine kuvipotosha kwa kuedit na kuweka uongo mwingi maana hawa wote wako chini ya shetan kuhakikisha wana wa Adamu hatuijui kweli na hatuifikii ile idadi inayotakiwa kureplace jeshi la shetani.

Tuendeleeni kushabikia mamipira, maushenzi ya kubishiana dini ya nani ndio sahihi, kuuwana sisi kwa sisi, kujadiri uwepo wa Mungu na ujinga mwingne tunajichelewesha sisi wenyewe
Nondo[emoji4][emoji106]
 
mungu alitaka kujua je mtamuamini yeye? na je makatazo yake uliyazingatia ? na je unamuabudu yeye au una mungu wako uliyemshirikisha? baada ya kufa ndio utayakuta uliyoyatenda
Inamaana Mungu hajui kiumbe alichokiumba kinawaza nn? [emoji848]
 
Back
Top Bottom