Faida ya mabarafu kwenye recovery ya wachezaji

Faida ya mabarafu kwenye recovery ya wachezaji

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Siku hizi ni rahisi kuona timu ngeni zikija na mapipa yake kwaajili ya kuweka maji yenye barafu (maji baridi sana) kwaajili ya wachezaji. Faida hizi ya maji baridi sana sio TU kwa wwchezaji lakini ni kwa watu wote wanaooga maji baridi sana.

Ili mwili ufanyekazi zake vizuri unahitaji nguvu (ATPs), nguvu hizi ndizo anazozihitaji mchezaji ili kumudu kukimbia uwanjani kwa mafanikio makubwa.

Nguvu inazalishwa wapi na nini? Kuna vyanzo viwili vya kupata nguvu mwili, glucose (wanga) kutoka kwenye nafaka na mafuta kutoka kwenye nyama na mimea.

Kivipi? Ili mwili kutoa nguvu lazima chakula ulichokula kisangwe tumboni na kifyonzwe kwenye damu (glucose/fat acid), kisha chakula hiki kisafirishwe kutoka kwenye damu kuingia ndani ya seli za misuli ya mwili yaliko matanuli (mitochondria) ya kuunguzia chakula (Krebs Cycle) na kuzalisha nishati (ATPs) pamoja na joto, carbon dioxide, na maji. Hivyo, ili mwili uzalishe nguvu unahitaji chakula kingi, mitochondria nyingi, oxygen nyingi na Insulin nyingi. Ingawa wakati wa mazoezi hata bila insulin chakula kitaunguzwa TU.

Mabarafu yanafanya nini? Ukizamishwa kwenye maji baridi sana joto la mwili litashuka ghafla sana, Hali hii itasababisha mwili kuwasha mitambo yote ya kuongeza joto haraka kujiokoa na baridi (hypothermia), hivyo kuongeza kiwango cha kuchakata chakula (metabolism) ili kupata joto jingi haraka sana. Kitendo hiki kitazalisha glucose nyingi, mitochondria (matanuli) nyingi, oxygen nyingi kutoka mapafuni (hyperventilation) ili kuzalisha nishati kubwa sana mwilini, hatimaye nguvu nyingi kwa mchezaji ambazo zilipotea kwenye mechi iliyopita.

Kifupi kabisa mabarafu yanasaidia kuongeza na kurudisha matanuli (mitochondria) ya kuchomea na kuzalisha nguvu kwenye seli za misuli hivyo kumrejeshea nguvu zake mchezaji kwa kipindi kifupi sana kuliko kama angezirudisha kwa kupewa siku nyingi za kupunzika, chakula na mazoezi tu.

Nimejaribu kufupisha hii sayansi lakini nadhani umenipata.
 
Siku hizi ni rahisi kuona timu ngeni zikija na mapipa yake kwaajili ya kuweka maji yenye barafu (maji baridi sana) kwaajili ya wachezaji. Faida hizi ya maji baridi sana sio TU kwa wwchezaji lakini ni kwa watu wote wanaooga maji baridi sana.

Ili mwili ufanyekazi zake vizuri unahitaji nguvu (ATPs), nguvu hizi ndizo anazozihitaji mchezaji ili kumudu kukimbia uwanjani kwa mafanikio makubwa.

Nguvu inazalishwa wapi na nini? Kuna vyanzo viwili vya kupata nguvu mwili, glucose (wanga) kutoka kwenye nafaka na mafuta kutoka kwenye nyama na mimea.

Kivipi? Ili mwili kutoa nguvu lazima chakula ulichokula kisangwe tumboni na kufyonzwe kwenye damu (glucose/fat acid), kisha chakula hiki kisafirishwe kutoka kwenye damu kuingia ndani ya seli za misuli ya mwili yaliko matanuli (mitochondria) ya kuunguzia chakula (glucose) na kuzalisha nishati (ATPs) pamoja na joto, carbon dioxide, na maji. Hivyo, ili mwili uzalishe nguvu unahitaji chakula kingi, mitochondria nuingi, oxygen nyingi na Insulin nyingi. Ingawa wakati wa mazoezi hata bila insulin chakula kitaunguzwa TU.

Mabarafu yanafanya nini? Ukizamishwa kwenye maji baridi sana joto la mwili litashuka ghafla sana, Hali hii itasababisha mwili kuwasha mitambo yote ya kuongeza joto haraka kujiokoa hivyo kuongeza kiwango cha kuchakata chakula (metabolism) ili kupata joto jingi haraka sana. Kitendo hiki kitazalisha glucose nyingi, mitochondria (matanuli) nyingi, oxygen nyingi kutoka mapafuni (hyperventilation) ili kuzalisha nishati kubwa sana mwilini, hatimaye nguvu nyingi kwa mchezaji ambazo zilipotea kwenye mechi iliyopita.

Kifupi kabisa mabarafu yanasaidia kuongeza na kurudisha matanuli (mitochondria) ya kuchomea na kuzalisha nguvu kwenye seli za misuli hivyo kumrejeshea nguvu zake mchezaji kwa kipindi kifupi sana kuliko kama angezirudisha kwa kupewa siku nyingi za kupunzika.

Nimejaribu kufupisha hii sayansi lakini nadhani umenipata.
Yanga sc nimeona hupenda kufanya hilo zoezi nilidhani walikuwa wakijiaandaa kwa mazingira ya baridi
 
Siku hizi ni rahisi kuona timu ngeni zikija na mapipa yake kwaajili ya kuweka maji yenye barafu (maji baridi sana) kwaajili ya wachezaji. Faida hizi ya maji baridi sana sio TU kwa wwchezaji lakini ni kwa watu wote wanaooga maji baridi sana.

Ili mwili ufanyekazi zake vizuri unahitaji nguvu (ATPs), nguvu hizi ndizo anazozihitaji mchezaji ili kumudu kukimbia uwanjani kwa mafanikio makubwa.

Nguvu inazalishwa wapi na nini? Kuna vyanzo viwili vya kupata nguvu mwili, glucose (wanga) kutoka kwenye nafaka na mafuta kutoka kwenye nyama na mimea.

Kivipi? Ili mwili kutoa nguvu lazima chakula ulichokula kisangwe tumboni na kufyonzwe kwenye damu (glucose/fat acid), kisha chakula hiki kisafirishwe kutoka kwenye damu kuingia ndani ya seli za misuli ya mwili yaliko matanuli (mitochondria) ya kuunguzia chakula (glucose) na kuzalisha nishati (ATPs) pamoja na joto, carbon dioxide, na maji. Hivyo, ili mwili uzalishe nguvu unahitaji chakula kingi, mitochondria nuingi, oxygen nyingi na Insulin nyingi. Ingawa wakati wa mazoezi hata bila insulin chakula kitaunguzwa TU.

Mabarafu yanafanya nini? Ukizamishwa kwenye maji baridi sana joto la mwili litashuka ghafla sana, Hali hii itasababisha mwili kuwasha mitambo yote ya kuongeza joto haraka kujiokoa hivyo kuongeza kiwango cha kuchakata chakula (metabolism) ili kupata joto jingi haraka sana. Kitendo hiki kitazalisha glucose nyingi, mitochondria (matanuli) nyingi, oxygen nyingi kutoka mapafuni (hyperventilation) ili kuzalisha nishati kubwa sana mwilini, hatimaye nguvu nyingi kwa mchezaji ambazo zilipotea kwenye mechi iliyopita.

Kifupi kabisa mabarafu yanasaidia kuongeza na kurudisha matanuli (mitochondria) ya kuchomea na kuzalisha nguvu kwenye seli za misuli hivyo kumrejeshea nguvu zake mchezaji kwa kipindi kifupi sana kuliko kama angezirudisha kwa kupewa siku nyingi za kupunzika.

Nimejaribu kufupisha hii sayansi lakini nadhani umenipata.
Si tu metabolism,hata kuifanya mishipa irejee kwenye balance ya msukumo wa oxygen na damu ndio maana hata madaktari uwanjani wanakua na barafu mtu akiumia tu anakandwa barafu ili kupoza misuli/cells za mwili zirejee ktk hali ya kawaida.
Kwa wanafunzi wanaoishi mazingira ya joto,chukua barafu or maji ya baridi weka kwenye beseni or ndoo kubwa weka miguu yako humo utasoma mpk uchoke mwenyewe never sleep
 
Mkuu sijui kama nitakuwa nje ya mada, je mtu anayeenda sauna, hivyo kwa joto lile anapunguza nguvu za mwili?
Anaudhoofisha mwili wake vibaya sana, ni hatari mno kwa mwili hata uzazi. Usiende. Kama unaweza oga maji ya baridi utajisikia nguvu nyingi baada ya kuoga. Ndio maana wanaoishi sehemu za baridi Wana uwezo mkubwa wa kutenda na kufikiria.
 
Wanaweka maji na kutumbukiza barafu kisha kuwatumbukiza wachezaji kwa muda fulani ili mwili kuwasha generators zake (metabolism) kuzuia mwili usipoe (hypothermia).
Kumbe Yale mapipa ya waarabu ni kwaajili ya kuweka maji ya barafu ili waoge ?
Dah Mimi hudhani wanabeba misosi ya nguvu
 
Ni kweli kabisa, ila atajisikia njaa haraka kwakuwa kitaunguzwa kingi sana. Watu wanaoishi kwenye baridi kama hutawapa chakula kingi watadumaa sana.
Si tu metabolism,hata kuifanya mishipa irejee kwenye balance ya msukumo wa oxygen na damu ndio maana hata madaktari uwanjani wanakua na barafu mtu akiumia tu anakandwa barafu ili kupoza misuli/cells za mwili zirejee ktk hali ya kawaida.
Kwa wanafunzi wanaoishi mazingira ya joto,chukua barafu or maji ya baridi weka kwenye beseni or ndoo kubwa weka miguu yako humo utasoma mpk uchoke mwenyewe never sleep
 
Siku hizi ni rahisi kuona timu ngeni zikija na mapipa yake kwaajili ya kuweka maji yenye barafu (maji baridi sana) kwaajili ya wachezaji. Faida hizi ya maji baridi sana sio TU kwa wwchezaji lakini ni kwa watu wote wanaooga maji baridi sana.

Ili mwili ufanyekazi zake vizuri unahitaji nguvu (ATPs), nguvu hizi ndizo anazozihitaji mchezaji ili kumudu kukimbia uwanjani kwa mafanikio makubwa.

Nguvu inazalishwa wapi na nini? Kuna vyanzo viwili vya kupata nguvu mwili, glucose (wanga) kutoka kwenye nafaka na mafuta kutoka kwenye nyama na mimea.

Kivipi? Ili mwili kutoa nguvu lazima chakula ulichokula kisangwe tumboni na kufyonzwe kwenye damu (glucose/fat acid), kisha chakula hiki kisafirishwe kutoka kwenye damu kuingia ndani ya seli za misuli ya mwili yaliko matanuli (mitochondria) ya kuunguzia chakula (glucose) na kuzalisha nishati (ATPs) pamoja na joto, carbon dioxide, na maji. Hivyo, ili mwili uzalishe nguvu unahitaji chakula kingi, mitochondria nuingi, oxygen nyingi na Insulin nyingi. Ingawa wakati wa mazoezi hata bila insulin chakula kitaunguzwa TU.

Mabarafu yanafanya nini? Ukizamishwa kwenye maji baridi sana joto la mwili litashuka ghafla sana, Hali hii itasababisha mwili kuwasha mitambo yote ya kuongeza joto haraka kujiokoa hivyo kuongeza kiwango cha kuchakata chakula (metabolism) ili kupata joto jingi haraka sana. Kitendo hiki kitazalisha glucose nyingi, mitochondria (matanuli) nyingi, oxygen nyingi kutoka mapafuni (hyperventilation) ili kuzalisha nishati kubwa sana mwilini, hatimaye nguvu nyingi kwa mchezaji ambazo zilipotea kwenye mechi iliyopita.

Kifupi kabisa mabarafu yanasaidia kuongeza na kurudisha matanuli (mitochondria) ya kuchomea na kuzalisha nguvu kwenye seli za misuli hivyo kumrejeshea nguvu zake mchezaji kwa kipindi kifupi sana kuliko kama angezirudisha kwa kupewa siku nyingi za kupunzika.

Nimejaribu kufupisha hii sayansi lakini nadhani umenipata.
Umeongea kitaalam Sana mkuu,
Hapa ambao hawana DD mbili umewaachaa solemba😊😊

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
 
Siku hizi ni rahisi kuona timu ngeni zikija na mapipa yake kwaajili ya kuweka maji yenye barafu (maji baridi sana) kwaajili ya wachezaji. Faida hizi ya maji baridi sana sio TU kwa wwchezaji lakini ni kwa watu wote wanaooga maji baridi sana.

Ili mwili ufanyekazi zake vizuri unahitaji nguvu (ATPs), nguvu hizi ndizo anazozihitaji mchezaji ili kumudu kukimbia uwanjani kwa mafanikio makubwa.

Nguvu inazalishwa wapi na nini? Kuna vyanzo viwili vya kupata nguvu mwili, glucose (wanga) kutoka kwenye nafaka na mafuta kutoka kwenye nyama na mimea.

Kivipi? Ili mwili kutoa nguvu lazima chakula ulichokula kisangwe tumboni na kufyonzwe kwenye damu (glucose/fat acid), kisha chakula hiki kisafirishwe kutoka kwenye damu kuingia ndani ya seli za misuli ya mwili yaliko matanuli (mitochondria) ya kuunguzia chakula (glucose) na kuzalisha nishati (ATPs) pamoja na joto, carbon dioxide, na maji. Hivyo, ili mwili uzalishe nguvu unahitaji chakula kingi, mitochondria nuingi, oxygen nyingi na Insulin nyingi. Ingawa wakati wa mazoezi hata bila insulin chakula kitaunguzwa TU.

Mabarafu yanafanya nini? Ukizamishwa kwenye maji baridi sana joto la mwili litashuka ghafla sana, Hali hii itasababisha mwili kuwasha mitambo yote ya kuongeza joto haraka kujiokoa hivyo kuongeza kiwango cha kuchakata chakula (metabolism) ili kupata joto jingi haraka sana. Kitendo hiki kitazalisha glucose nyingi, mitochondria (matanuli) nyingi, oxygen nyingi kutoka mapafuni (hyperventilation) ili kuzalisha nishati kubwa sana mwilini, hatimaye nguvu nyingi kwa mchezaji ambazo zilipotea kwenye mechi iliyopita.

Kifupi kabisa mabarafu yanasaidia kuongeza na kurudisha matanuli (mitochondria) ya kuchomea na kuzalisha nguvu kwenye seli za misuli hivyo kumrejeshea nguvu zake mchezaji kwa kipindi kifupi sana kuliko kama angezirudisha kwa kupewa siku nyingi za kupunzika.

Nimejaribu kufupisha hii sayansi lakini nadhani umenipata.

Weka mkazo hapo kwenye "mwili kuwasha mitambo yake yote...!"


Nimepata shule ya muhimu sana. Thanks sana
 
Umeongea kitaalam Sana mkuu,
Hapa ambao hawana DD mbili umewaachaa solemba😊😊

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
Kama Kila mtu alisoma seli katika level mbalimbali. Kati ya zile cell organelles Iko inayoitwa mitochondria ambako vyakula vyetu vinaunguzwa na kupata nguvu, joto, hewa chafu (oxygen) na maji kidogo. Kama mkimmeagia mtu maji baridi sana atavuta hewa nyingi sana mapafuni ili akazalishe joto haraka kurekebisha uovu uliofanya. Mtoto akizaliwa anakutana na baridi kali sana nje ya tumbo la mama . Hii baridi kali ndiyo itasababisha mtoto aliye sana, kuvuta hewa nyingi mapafuni na kutengeneza nguvu na joto la kupambana na mazingira mapya ya nje ya tumbo kwenye joto kali.
 
Kama Kila mtu alisoma seli katika level mbalimbali. Kati ya zile cell organelles Iko inayoitwa mitochondria ambako vyakula vyetu vinaunguzwa na kupata nguvu, joto, hewa chafu (oxygen) na maji kidogo. Kama mkimmeagia mtu maji baridi sana atavuta hewa nyingi sana mapafuni ili akazalishe joto haraka kurekebisha uovu uliofanya. Mtoto akizaliwa anakutana na baridi kali sana nje ya tumbo la mama . Hii baridi kali ndiyo itasababisha mtoto aliye sana, kuvuta hewa nyingi mapafuni na kutengeneza nguvu na joto la kupambana na mazingira mapya ya nje ya tumbo kwenye joto kali.
Ndio maana kumbe mtoto asipolia inaashiria shida au sio boss?
 
Weka mkazo hapo kwenye "mwili kuwasha mitambo yake yote...!"


Nimepata shule ya muhimu sana. Thanks sana
Sio wachezaji TU lakini hata wewe kama ukijisikia kuchoka kaoge maji ya baridi sana utajisikia vizuri sana inshallah. Ni elimu ya kawaida sana hata wanyama wanaonyeshewa na mvua porini inawasaidia kuwa imara Dana kwenye mazingira yao magumu.
 
Back
Top Bottom