Sasa hivi wakenya watajaa tena watachukua nafasi za wazawa ambazo tunaambiwa hazipo halafu waanzee kutudharau na kutukana kama awamu ya NNE, awamu ya tano walishika adabu sasa wanarudi Kwa Kasi ya ajabu, Kwa uzii huu hata NIDA wachunguzwe pana ukweli