Faida za kufanya mapenzi na mwenza wako kabla ya ndoa

Faida za kufanya mapenzi na mwenza wako kabla ya ndoa

Jambo lipi hilo? Au ujauzito? Mwanamke unatakiwa uvae kondomu ya kike kama dharura dhidi ya mimba zisizotarajiwa. Ni jambo la kumuelewesha mwenza wako kuwa hapa tuko maabara ya mapenzi tunafanya majaribio

Sijaziskia ndom za kike muda kumbe bado zipo?
 
Unahamasisha umalaya kijana, mtu anapokuwa na wenza wengi anapoteza nguvu ya ku form bond imara pale anapotaka kuanza maisha rasmi ya ndoa.
Ni kwa vile tu umebahatika kupata mtu mnayeendana. Mpaka sasa najutia sana kumuoa mke wangu wa kwanza bila majaribio. Hawezi kudumu kwenye tendo kwa zaidi ya dk 10
 
Ni kwa vile tu umebahatika kupata mtu mnayeendana. Mpaka sasa najutia sana kumuoa mke wangu wa kwanza bila majaribio. Hawezi kudumu kwenye tendo kwa zaidi ya dk 10
Tendo la ndoa ni muhimu , lakini ulipaswa kuwa na mambo mengine yanayowafurahisha ili wote muwe na amani. Kulala na watu wengi ili upate mtu unayeendana naye ni janga la kiroho.
 
Tendo la ndoa ni muhimu , lakini ulipaswa kuwa na mambo mengine yanayowafurahisha ili wote muwe na amani. Kulala na watu wengi ili upate mtu unayeendana naye ni janga la kiroho.
Hapana mkuu, nilijaribu kila jambo lakini wapi. Mpaka Psychologists nikawahusisha, lakini haikusaidia chochote. Wazo la kuoa mke wa pili alilitoa yeye mwenyewe
 
Lengo hapo ni tujue Mleta mada anasukuma mzigo kwa muda mrefu, mpaka kuoa mke wa pili [emoji23]
 
Na ikitokea Mwanaume kapata Mwanamke kila akimaliza Mwanamke anataka tu??
 
Ngono wafanye baada ya kuchunguzana na kuridhika kwamba ni chaguo sahihi.
Lakini kabla sio sahihi kufanya ngono na mtu unaetaka kuingia nae kwenye ndoa utashindwa kuzijua tabia zake. Utamu wa ngono uficha tabia mbaya za mtu ambazo zitajulikana mkiwa ndoani ni hatari sana. Ni rahisi kuvunja uchumba kuliko ndoa.
Kuvunja ndoa ni kuwatesa watoto kwa kuwanyima haki ya kulelewa na wazazi wawili ambayo ni hatari kwao mbeleni kimaisha ya ndoa zao,wao ni wahanga wa talaka hawana hatia na kukosea kwenu kuoana sababu ya kushindwa kwenu kuchunguzana tabia sababu ya kufunikwa na tamaa ya ngono.
Utamu wa ngono uisha ndani ya miezi 3 ndoani baada ya hapo facta zingine ikiwemo malezi na tabia ndio ushikilia uhai wa ndoa.
 
Utamu wa ngono uisha ndani ya miezi 3 ndoani baada ya hapo facta zingine ikiwemo malezi na tabia ndio ushikilia uhai wa ndoa.
Kama utamu wa ngono huwa unaisha, huoni kwamba ni vema ngono ifanyike kabla ya ndoa ili waoane kwa vigezo vingine badala ya mihemko ya ngono?
 
Uzi unataka watu wazini kwanza ndipo ndoa ifuate. Ama kweli ibilisi kauteka ulimwengu.
Hapana mkuu, ni kwa nia njema tu ya kuhakikisha kila mmoja wetu anaridhika na chakula cha kiroho akipatacho kutoka kwa mwenza wake
 
Kama utamu wa ngono huwa unaisha, huoni kwamba ni vema ngono ifanyike kabla ya ndoa ili waoane kwa vigezo vingine badala ya mihemko ya ngono?
Utamu wa ngono hauwezi isha kabla ya kuona.
Njia sahihi fanya ngono lakini tumia watu wengine wakuchunguzie shida wengi wakishanogewa hata waambiwe vipi hapo ni kimeo huwa hawasikii wanaziba pamba wanaenda jutia ndoani,ubakia " niliambiwa mimi" nisingesikiliza yasingenikuta" malezi mabovu ya mtu ni majirani zake ndio wanayajua.
Ukiambiwa utasema wananionea wivu,hadi yakukute baada ya utamu kuisha ndipo utaelewa
 
Back
Top Bottom