Faida za kufanya mapenzi na mwenza wako kabla ya ndoa

Ndoa ni Utapeli
Ndoa ni wizi
Ndoa ni mateso
Ndoa utakufa kabla ya siku zako
Ndoa ni uhujumu uchumi wa mwanaume
Kataa ndoa
Dawa ni kuwachakata na kupita ivi.
 
Wanachoka mapema sababu wana wateja wengi wa kuwahudumia.
 
Kama haombi hela mnaweza msifanye ila kama pesa anataka lazima aliwe kwanza
 
Sababu ya bi harusi kukimbia mbona hujatuambia?
 
ndoa ni gereza zito sana yaaani umeandika vizuri sana, japo ndoa sio mchezo na zaidi ya kugongana gongana maana si kitoto
 
Hapana mkuu, ni kwa nia njema tu ya kuhakikisha kila mmoja wetu anaridhika na chakula cha kiroho akipatacho kutoka kwa mwenza wake
Eh!!!kwa nia njema[emoji16]vijana wa sasa mnamambo magumu sana!kwan huwa mnaridhika eti au mkishapewa mnatafuta pengine!Ww acha kutetea zinaa.
 
Eh!!!kwa nia njema[emoji16]vijana wa sasa mnamambo magumu sana!kwan huwa mnaridhika eti au mkishapewa mnatafuta pengine!Ww acha kutetea zinaa.
Kama kipochi kitakuwa na muonekano, ama yaliyomo yamo i.e buyu limejaa asali. Basi tunaoa. Lakini kama tukikuta ushubwada, tunatest pengine

Sasa mtu utaanzaje kuoa mwanamke ambaye analia kinafki kwenye tendo la ndoa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…