Unapata Faida Gani kushabikia Ugaidi?
Acha kupotosha Maui, mungu anakuonakuna sababu nyingi za kufeli kwa wanafunzi,na sio wanafelishwa,
kiujumla,hawaamini sana katika elimu dunia!!!
Nililenga hivyo lakini kama hauko hivyo basi unayaacha yapite, au unalo unalolitaka labda!?Umeniambia niache uzinifu.
Sasa nipe ushahidi wa uzinifu wangu mkuu tafadhali.
View attachment 431601
Unable uhakika wore wanampendaLol.....huna sababu ya kumpenda?! [emoji28] [emoji28] [emoji28] we huwa hupendi wakristo so sio ajabu kusikia hivyo.
Aya ya pili ukiambatanisha na hayo mabango walobeba wenzio itakua sawa....ifike mahali watu muelewe wapo wenye uelewa wa haraka na wengine wana uelewa mdoooogo kama priton....so mmoja lazma awe nyuma ya mwenzie a little bit. Acheni mabango ya kijinga mueleweshe mpate kuelewa. Eti mtu mmoja aweze kuwafelisha waislamu
uliposema uulizwe chochote ulifikiri nini?
Swali!! Ulianza kudinginywa ukiwa na umri wa miaka mingapi?
Kuwa uIslam unakataza Elimu dunia
Unatakiwa kuniomba radhi maana huo ndio uislam. Huwezi kuniita mm mzinifu wakati mm sina tabia hiyo.Nililenga hivyo lakini kama hauko hivyo basi unayaacha yapite, au unalo unalolitaka labda!?
Ukifika kwetu, uswahilini, hilo neno ni la kawaida sana tena tunaamini ni Kiswahili safi.
Darasa ni lile lenye vyumba vinne lipo shule rasmi. Darsa, ni hili tunalopeana hapa au pale ambapo si shule rasmi.
Naomba radhi MuungwanaUnatakiwa kuniomba radhi maana huo ndio uislam. Huwezi kuniita mm mzinifu wakati mm sina tabia hiyo.
Ata kama utamkuta mumeo juu ya kifua cha mwanamke Malaya bado huna haki ya kumuhukumu kwamba ni mzinifu, otherwise uwe na mashahidi waliotimia idadi inayotakiwa.
Sasa mimi hunijui ata kwa jina jee unapata wapi nguvu na ujasiri wa kuniita mimi mzinifu?
Niaombe radhi tafadhali maana umenichafua moyo wangu kwa kunihukumu mimi ni mzinifu!ππππ‘
wewe ndio unapotosha.Kuwa uIslam unakataza Elimu dunia
Ahsante nimesamehe.Naomba radhi Muungwana
Muislam husamehe bila masharti, na kuhusu huo ujuzi unaosema hakuna mjuzi Dunian ila Allah pekee wengine sisi wote twafwata mafundisho yakeAhsante nimesamehe.
But ulimi ni sumu mbaya.
Jitahidi kunyamaza kama huna ujuzi wa jambo linaloongelewa.
WABILAH TAWFIQ,ASALAM ALAYKUMU!