FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #221
Unapata Faida Gani kushabikia Ugaidi?
Sijawahi kushabikia ugaidi na sitoshabikia ugaidi. Dini yangu hairuhusu hilo.
Wanasema "One man's terrorist another man's freedom fighter".
Hata Madiba nilimshabikia kabla hajafungwa kwa kuwa eti ni gaidi. Ni mtazamo wako tu na unavyoaminishwa.