Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

inaelekea unadharau sana, wewe si ndo ulisema mwenyewe huna shida


Naam sina shida ya mapenzi. Isitoshe, hebu soma mistari hii:

1 Wakorintho 6
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti

Qur'an iliyosema 7
32. Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.


Jee, wewe una shida na huo uchafu? (sidhani).
 
Naam, umenena vyema kabisa. Nyinyi hakuna anaepata Division 0, mnaweza pia kutujulisha mnawezaje kufanya bila division 0.

Msalimie Mbowe.
USIJITOE UFAHAMU WE MZEE ....SASA MBOWE KATOKEA WAPI? AU NDIYE ANAYEWAFELISHA?
KWANZA HUNA POINTS ZENYE MASHIKO
 
USIJITOE UFAHAMU WE MZEE ....SASA MBOWE KATOKEA WAPI? AU NDIYE ANAYEWAFELISHA?
KWANZA HUNA POINTS ZENYE MASHIKO


Usi panic kijana.

Si nasikia na yeye ana bonge la Division 0 au nae ni Muislam?
 
UMEONA ULIVYOKUWA KICHWA MAJI? YAANI HUKO SHULE SIJUI ULISOMA NINI,MAANA UNALETA POINTLESS HAPA!
 
MWENYE AKILI TIMAMU NA ASIYEKUWA NA MI ITIKADI YA KIJINGA AKISOMA HIZO CONVERSATIONS HAPO JUU ATAGUNDUA NANI MWENYE KUJIELEWA? KWASABABU NAONA BIBI WA WATU ANAMTAJA MPAKA MTU ASIYEHUSIKA(mbowe) NA KUANZA KUTOA MAPOVU ....WE KUBALI UMEZUNGUKA KIVULI CHAKO TU!
Naam, umenena vyema kabisa. Nyinyi hakuna anaepata Division 0, mnaweza pia kutujulisha mnawezaje kufanya bila division 0.

Msalimie Mbowe.

Usi panic kijana.

Si nasikia na yeye ana bonge la Division ) au nae ni Muislam?
 


Mimi nimekwambia msalimie Mbowe, si unaelewa kwanini? Au hauelewi mpaka dakika hii?
 
Hizo habari zina uhakika kiasi gani? Je unawazungumziaje Boko Haram na Alshabab?
 
Hizo habari zina uhakika kiasi gani? Je unawazungumziaje Boko Haram na Alshabab?


Nimekuwekea source na wamewataja humo FBI, ni wewe sasa jukumu lako kutafuta uhakika.

Mimi nnaamini wote hao wameanzishwa na USA amma directly amma indirectly.
 
YAANI MIMI SIKUMALIZA HATA FORM 4 WALA KUSOMA NJE YA NCHI KAMA WEWE LAKINI NAONA MWENZANGU ULIENDA KUSOMEA MIPASHO HUKO NA KUWA KIBARAKA WA LUMUMBA ....
 
YAANI MIMI SIKUMALIZA HATA FORM 4 WALA KUSOMA NJE YA NCHI KAMA WEWE LAKINI NAONA MWENZANGU ULIENDA KUSOMEA MIPASHO HUKO NA KUWA KIBARAKA WA LUMUMBA ....


Anza basi kwa kuandika kwa herufi ndogo, hatugombani hapa na si tangazo unalotowa mpaka uandike kwa herufi kubwa, unaonaje tukianzia hapo?
 
Naam, wala hujakosea.

Jee, wewe si "binadamu"?
Kuna tofauti kati ya binadam na binadam wote,mimi ni binadam lkn sipo ktk hilo kundi la hao binadam waliojimix na majini.

Quran kitabu cha majini
Uislam dini ya majini
 
USIJITOE UFAHAMU WE MZEE ....SASA MBOWE KATOKEA WAPI? AU NDIYE ANAYEWAFELISHA?
KWANZA HUNA POINTS ZENYE MASHIKO

Unajifanya hujuwi Mbowe kaingiaje ewe msomi wa Division 1?

Hivi unazikumbuka arguments zako za division 0?

Msomi vipi, keyboard yako imekushinda kuondoa herufi kubwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…