Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

inaelekea unadharau sana, wewe si ndo ulisema mwenyewe huna shida


Naam sina shida ya mapenzi. Isitoshe, hebu soma mistari hii:

1 Wakorintho 6
9 Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti

Qur'an iliyosema 7
32. Wala msikaribie uzinzi. Hakika huo ni uchafu na njia mbaya.


Jee, wewe una shida na huo uchafu? (sidhani).
 
Naam, umenena vyema kabisa. Nyinyi hakuna anaepata Division 0, mnaweza pia kutujulisha mnawezaje kufanya bila division 0.

Msalimie Mbowe.
USIJITOE UFAHAMU WE MZEE ....SASA MBOWE KATOKEA WAPI? AU NDIYE ANAYEWAFELISHA?
KWANZA HUNA POINTS ZENYE MASHIKO
 
USIJITOE UFAHAMU WE MZEE ....SASA MBOWE KATOKEA WAPI? AU NDIYE ANAYEWAFELISHA?
KWANZA HUNA POINTS ZENYE MASHIKO


Usi panic kijana.

Si nasikia na yeye ana bonge la Division 0 au nae ni Muislam?
 
Mimi Tanzania nimeona shule moja tu ya Kiislam, ile ipo Chang'ombe (sijuwi inaitwaje).

Lakini kama unamaanisha shule za Waislaam, basi nadhani zipo zinazofanya vizuri sana na mojawapo ni FEZA.

Shule zisizofanya vizuri waende wakaone FEZA wanaweza vipi?

Tena mkubwa wa hiyo shule ya FEZA (sijuwi kama bado yupo FEZA au kastaafu) Ni Dr. Madati, viongozi wa shule zingine za Kiislam wangemfata huyu wachote alichonacho. Huyu mtu ni kichwa sana tena nnashangaa Waislam kwanini hawamtumii vilivyo na ilhali shule ya FEZA haina mjadala kwa wanafunzi wake kufanya vizuri.

Naam. Nnalifanya hilo la kuhamasisha watoto wa Kiislam na wasio wa Kiislam kusoma soma, soma, soma, wake kwa waume kila siku.

Wasio Waislam leo ni Waislam wa kesho na nnawahamasisha sana kwani nnaamini wasio Waislam waliosoma ni rahisi sana wao kuelewa kuwa "wanaingizwa mkenge" kuliko wasio soma au wenye elimu kidogo.
MWENYE AKILI TIMAMU NA ASIYEKUWA NA MI ITIKADI YA KIJINGA AKISOMA HIZO CONVERSATIONS HAPO JUU ATAGUNDUA NANI MWENYE KUJIELEWA? KWASABABU NAONA BIBI WA WATU ANAMTAJA MPAKA MTU ASIYEHUSIKA(mbowe) NA KUANZA KUTOA MAPOVU ....WE KUBALI UMEZUNGUKA KIVULI CHAKO TU!
Naam, umenena vyema kabisa. Nyinyi hakuna anaepata Division 0, mnaweza pia kutujulisha mnawezaje kufanya bila division 0.

Msalimie Mbowe.

Usi panic kijana.

Si nasikia na yeye ana bonge la Division ) au nae ni Muislam?
 
MWENYE AKILI TIMAMU NA ASIYEKUWA NA MI ITIKADI YA KIJINGA AKISOMA HIZO CONVERSATIONS HAPO JUU ATAGUNDUA NANI MWENYE KUJIELEWA? KWASABABU NAONA BIBI WA WATU ANAMTAJA MPAKA MTU ASIYEHUSIKA(mbowe) NA KUANZA KUTOA MAPOVU ....WE KUBALI UMEZUNGUKA KIVULI CHAKO TU!


Mimi nimekwambia msalimie Mbowe, si unaelewa kwanini? Au hauelewi mpaka dakika hii?
 
Kuuhusisha Uislam na ugaidi ni kutoutendea haki, nimesoma katika tovuti moja ya tafiti na imeandika kuwa zaidi ya 90% ya ugaidi uliofanywa America haukufanywa na Waislam, jisomee:

Non-Muslims Carried Out More than 90% of All Terrorist Attacks in America

Terrorism Is a Real Threat … But the Threat to the U.S. from Muslim Terrorists Has Been Exaggerated

An FBI report shows that only a small percentage of terrorist attacks carried out on U.S. soil between 1980 and 2005 were perpetrated by Muslims.

Princeton University’s Loon Watch compiled the following chart from the FBI’s data:



piechart2.jpg
Terrorist Attacks on U.S. Soil by Group, From 1980 to 2005, According to FBI Database



According to this data, there were more Jewish acts of terrorism within the United States than Islamic (7% vs 6%). These radical Jews committed acts of terrorism in the name of their religion. These were not terrorists who happened to be Jews; rather, they were extremist Jews who committed acts of terrorism based on their religious passions, just like Al-Qaeda and company.


Soma zaidi: http://www.globalresearch.ca/non-mu...0-of-all-terrorist-attacks-in-america/5333619






Sasa jibu, ni nani gaidi kwa hayo?
Hizo habari zina uhakika kiasi gani? Je unawazungumziaje Boko Haram na Alshabab?
 
Hizo habari zina uhakika kiasi gani? Je unawazungumziaje Boko Haram na Alshabab?


Nimekuwekea source na wamewataja humo FBI, ni wewe sasa jukumu lako kutafuta uhakika.

Mimi nnaamini wote hao wameanzishwa na USA amma directly amma indirectly.
 
YAANI MIMI SIKUMALIZA HATA FORM 4 WALA KUSOMA NJE YA NCHI KAMA WEWE LAKINI NAONA MWENZANGU ULIENDA KUSOMEA MIPASHO HUKO NA KUWA KIBARAKA WA LUMUMBA ....
 
YAANI MIMI SIKUMALIZA HATA FORM 4 WALA KUSOMA NJE YA NCHI KAMA WEWE LAKINI NAONA MWENZANGU ULIENDA KUSOMEA MIPASHO HUKO NA KUWA KIBARAKA WA LUMUMBA ....


Anza basi kwa kuandika kwa herufi ndogo, hatugombani hapa na si tangazo unalotowa mpaka uandike kwa herufi kubwa, unaonaje tukianzia hapo?
 
Naam, wala hujakosea.

Jee, wewe si "binadamu"?
Kuna tofauti kati ya binadam na binadam wote,mimi ni binadam lkn sipo ktk hilo kundi la hao binadam waliojimix na majini.

Quran kitabu cha majini
Uislam dini ya majini
 
USIJITOE UFAHAMU WE MZEE ....SASA MBOWE KATOKEA WAPI? AU NDIYE ANAYEWAFELISHA?
KWANZA HUNA POINTS ZENYE MASHIKO

Unajifanya hujuwi Mbowe kaingiaje ewe msomi wa Division 1?

Hivi unazikumbuka arguments zako za division 0?

Msomi vipi, keyboard yako imekushinda kuondoa herufi kubwa?
 
Back
Top Bottom