mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
Kukujibu Swali lako nitakupa mfano mmoja kwanza hapa halafu unijibu.
Kukaa uchi ni Dhambi. Na tuseme wewe ni Mtawala. Umekwenda porini ndani kabisa hapo hutegemei kuona watu. Akatokezea kwenye kijiji cha Watu wa Bushmen ambao wako UCHI na hawajawahi kuonekana na watu wengine ulimwenguni na wao pia hawajawahi kuona watu wengine. Walikuwa hawana connection na Mtu yeyote wa kuwaletea ujumbe. Je wewe kama Mtawala wa haki, utawahukumu Hao Adhabu ya kukaa UCHI????
Swali lako la kuwa Messenger hakufika Australia na South America ni irrelevant na ni Swali lisilo kuwa na upeo. Kwanza zingatia Technology ya usafiri ya wakati huo ilikuwa Challenge, La pili Messenger na Companions wake wamefanya their duty to deliver ISLAM to all reachable area around them. It is to us Muslims to carry on the Duty of spreading ISLAM just like our Prophet(May peace be upon him) and his companion did. Ndio Maana hivi sasa ISLAM imeenea almost in every part of the World. But still i believe there are many who have not heard the word of ISLAM. That good work is and will Continue to end of the time.
Jambo lingine, nakushauri utumie mdogo mzuri na msafi unapo communicate na watu. Heshima ni kitu cha bure. Usitumie lugha chafu na ya kejeli. That is ignorancy to its highest level. Usijidharaulishe.
Hiyo red ni ushahidi huyo unaye Muabudu si Mungu Mwenyezi ilaha ni mzimu fulani tu ulio c&p Jina la Mungu na kujipachika Uweza [emoji15] [emoji57] [emoji4] mimi Mungu ninaye Muabudu Amefikisha Ujumbe wake kwa kila Mwanadamu kupitia damira Njema [emoji106] ndio sababu hata kabla ya Mungu kuongea nasi kupitia Biblia Takatifu aliongea mapenzi yake kupitia dhamira...ndipo utaona unaambiwa usiibe, usiue, usizini...mwanadamu anajua huo ni uovu [emoji58] wewe ambaye hukujua mpaka alipo kujulisha muham'mad ndipo kukudanganya kwamba zinaa ruksa suratul muuminun :1-6 uwasamehe wanaume wanao firana suratul nisaa :16. ... hebu kasome sifatul jannat hapo kuna kungonoka mbele ya allah [emoji15] [emoji86] hivyo huyo mzimi ameua dhamira njema aliyo kuumbia M'Mungu umebakia hata Mungu humju umebaki kukariri na kughani mashairi ya kuzimu [emoji4]