FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #181
Naomba unisaidie kuhusu ufugaji wa nguruwe na masoko yake
Pitia hapa: Ufugaji wa Nguruwe: Utaalam na Masoko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba unisaidie kuhusu ufugaji wa nguruwe na masoko yake
Wewe sio Faiza bhana tena ni bora ungenijibu, Faiza jibu Post 56 na 244 tafadhaliUnaona sasa....!! Hapa umeuliza vizuri kabisa lakini kwa ule uulizaji wako wa awali; hapakuwa na namna nyingine zaidi ya kukupa maandiko!!!!!
Shit! We si mzima!kwahiyo anayepaswa kujifunza kuoga janaba ni aliye mzinzi tu?Acha uzinifu, naimani kama uliolewa kwa ndoa ya kiislam ulishafunzwa namna ya kufanya baada ya tendo na mumeo
Sasa si nimekuunga mkono kwamba ulivyouliza ndo umeuliza vizuri zaidi na kwa kufikirisha zaidi! Lakini ulivyouliza awali, kila mmoja angechukulia as per maandiko na ndio maana mwenzao akakujibu kimaandiko!Wewe sio Faiza bhana tena ni bora ungenijibu, Faiza jibu Post 56 na 244 tafadhali
Nani aliyekudhihaki? Mimi na wewe nani kaongea matamshi ya dhihaka? Kama umeoa Hivi wewe iyo ndoa yako umefungishwaje bila kupata mawaidha ya awali ya mambo ya kufanya katika ndoa na kipi ufanye kwa namna gani,maana kama ulipata mafunzo ya awali bila shaka ulifunzwa namna ya kuondoa janaba au labda uislam wako ni wa kutunga tunga kwa jina ulilopewa ambalo umeshindwa kulitendea haki kwa kulifanyia kaziShit! We si mzima!kwahiyo anayepaswa kujifunza kuoga janaba ni aliye mzinzi tu?
Ebu acha dhihaka wewe!
Asante kwa jibu lako kwa hiyo baada ya kupitia hiyo taarifa isiyo rasmi kwamba mama akiwahi kufika basi anazaliwa mwanamke na baba akiwahi kufika anazaliwa mwanaume
Ni kufika wapi huko unazungumzia ? Au kileleni ?
Kama ni kileleni asilimia Kubwa ya wanaume Dunia wanawahi kufika kabla ya wanawake ?
Kwa mtazamo huo basi wanawake wangekuwa kama kifaru hapa duniani kwa kutoweka kwao
General Knowledge.
Naam, kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Natumia fursa hii ya mtandao adhyim wa JF kuwapa fursa wanamtandao wote wapate fursa ya kuuliza kuhusu mada au jambo lolote ambalo unataka upatiwe majibu.
Si majibu yote yatatoka kwangu binafsi, bali nitajitahidi iwezekenavyo kukupatia majibu murwa na yanayolingana na swali lako na ambapo sina jibu itakuwa fursa kwa wengine kutoa majibu.
Hapa ni kwa ajili ya kuelimishana na kujuzana bila kikomo, iwe swali lolote liwalo.
Hii ngumu kumeza kwa ujumla mambo yako sawa kabisa nchi inasonga mbele japo kiubishiubishi mtaani pesa hakuna ila uchumi wa nchi unakua kutoka 7.9 mpaka 7.2Unauonaje uongozi wa Rais Magufuli katika mwaka wake wa kwanza wa utawala??
Well, sasa unauhakika gani kama mimi ni mzinzi?nipe ushahidi wa uzinzi wangu kwanza.Nani aliyekudhihaki? Mimi na wewe nani kaongea matamshi ya dhihaka? Kama umeoa Hivi wewe iyo ndoa yako umefungishwaje bila kupata mawaidha ya awali ya mambo ya kufanya katika ndoa na kipi ufanye kwa namna gani,maana kama ulipata mafunzo ya awali bila shaka ulifunzwa namna ya kuondoa janaba au labda uislam wako ni wa kutunga tunga kwa jina ulilopewa ambalo umeshindwa kulitendea haki kwa kulifanyia kazi
Mama unawatambuaje WAHHAB ni waislam halisi na itikadi zao Zinamashiko kwenye dini.? Hata kwa dondoo fupi .
Uko vzr sisterKasome post namba 19.
Kwanini unapenda kuchanganya kiswahili na kiarabu ilihali mtu akikosea humu JF unamsahihisha? Au ndiyo kunya kanya kuku akinya bata kaharisha? ??
Well said labda mkuu unadhani siifahamu vyema nini maana ya janaba ngoja nikupe haya kwa kifupi sana -Janaba ni hali ya mwanamme au mwanamke kutoa maji (manii) katika uchi wake, hii yaweza kuwa kwa njia ya kuota ndoto au kujichezea chezea au kufanya mapenzi na mwenza wakoWell, sasa unauhakika gani kama mimi ni mzinzi?nipe ushahidi wa uzinzi wangu kwanza.
Na ni nani alikwambia mafunzo ya janaba yanatolewa siku ya ndoa?