Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Mama FaizaFoxy shikamoo!!

Naomba kujua kama mwanamke na mwanaume wanatofauti ya maumbile tu ? Au kunatofauti zingine zaidi.
 
Hili Darasa sio huru kama moderate wake ni #FaizFoxy#. ... Sana Sana nijurishe yupi ni Muislam halisi Kati ya Wasunni na washia....

[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126].
 
Hivi utaratibu wa Dini "ulowekwa" ni "inaenda" kwa PM?

Makubwa haya, madogo yana mambo.

Dini ni njia na ikiwa tutazificha njia kwenye PM ni nani wa kufaidika? Kuna siri ipi kwenye mambo ya dini hata iwe PM?

Tafadhali sana tusitake kutishana kwenye njia ya haki. Na kama upo kwenye haki basi usiogope kuwa muwazi. Unakificha nini?
I apologize
 
Hili Darasa sio huru kama moderate wake ni #FaizFoxy#. ... Sana Sana nijurishe yupi ni Muislam halisi Kati ya Wasunni na washia....

[emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126].

= moderator
= nijulishe

Usiwe na hofu, mimi si moderator. Mimi nimeanzisha uzi wa General Knowledge ambao ni matumaini wachangiaji watakuwa wengi na mada zitakuwa tofauti tofauti zinazotuzidishia uelewa wa mambo anuwai.

Kuhusu hilo la usunni na ushia, wote ni "Waislam halisi".
 
Hapana, si mimi, huyo ni Lisa Valentine na nimempenda sana msimamo wake nilipokisoma kisa chake, jisomee:

Judge Throws Muslim Woman In Jail For Refusing To Remove Headscarf In Court
In the past eight days, a judge in Georgia has sparked controversy after barring two Muslim women wearing Islamic headscarves from entering his courtroom, and landing one of them behind bars. Now, he has prompted an inquiry from the civil rights officer at the U.S. Department of Justice.

Judge Keith Rollins of Douglasville, Georgia reportedly ordered 41-year-old Lisa Valentine to jail after she refused to remove her scarf before entering the courtroom. Judge Rollins pointed to rules that governed appropriate dress as listed by the state.

This is not the first time Rollins had made the controversial call. Last week, Sabreen Abdulrahmaan was forced to leave his court before her son’s probation hearing because she would not remove her scarf.

Valentine was handcuffed by security and sentenced to 10 days in jail when she declined to defend her actions at the security checkpoint, her husband Omar Hall reports.

“It’s an issue of religious freedom,” Ibrahim Hooper, a spokesman for the Council on American-Islamic Relations old reports. “It’s an issue of access to the American legal system.”

Soma zaidi: Judge Throws Muslim Woman In Jail For Refusing To Remove Headscarf In Court - World Politicus
 
Hapana, si mimi, huyo ni Lisa Valentine na nimempenda sana msimamo wake nilipokisoma kisa chake, jisomee:

Judge Throws Muslim Woman In Jail For Refusing To Remove Headscarf In Court
In the past eight days, a judge in Georgia has sparked controversy after barring two Muslim women wearing Islamic headscarves from entering his courtroom, and landing one of them behind bars. Now, he has prompted an inquiry from the civil rights officer at the U.S. Department of Justice.

Judge Keith Rollins of Douglasville, Georgia reportedly ordered 41-year-old Lisa Valentine to jail after she refused to remove her scarf before entering the courtroom. Judge Rollins pointed to rules that governed appropriate dress as listed by the state.

This is not the first time Rollins had made the controversial call. Last week, Sabreen Abdulrahmaan was forced to leave his court before her son’s probation hearing because she would not remove her scarf.

Valentine was handcuffed by security and sentenced to 10 days in jail when she declined to defend her actions at the security checkpoint, her husband Omar Hall reports.

“It’s an issue of religious freedom,” Ibrahim Hooper, a spokesman for the Council on American-Islamic Relations old reports. “It’s an issue of access to the American legal system.”

Soma zaidi: Judge Throws Muslim Woman In Jail For Refusing To Remove Headscarf In Court - World Politicus
acha urongo wewe! huyo lisa valentine ni white woman
 
Naona unanikwepa kiaina.

Ujue Sisi WAISLAM tunafundishwa HIKMA kabla ya kuuliza Swali ambalo unaona baadae linaweza umiza/jeruhi Hisia za Mtu.

Unajua kwanini?

Nimetumia HIKMA kukuuliza kama Mama yako Mzazi yuhai au hayuhai, ili nikupe FAIDA ya pande zote mbili.

Labda pengine Mama ako/yako Mzazi ameshafariki Dunia, na mimi nikalenga moja kwa moja kwenye Suali, si ungejisikia vibaya sana.

Huoni hapo ningekuwa nimejeruhi hisia zako?

Nikiwa na maana, Jibu lolote ambalo ungeweza kulitoa katika Swali langu, ningekupa Faida kutokana na jibu uliloleta.

Sasa wewe nilitaka nikupe FAIDA, ambayo ingekusaidia sana Maishani mwako, na nna hakika usingenisahau kwenye maombi yako hata siku moja.

Pamoja na yote, bado nnahitaji kukusaidia.

Kama unaona hapa jamvini huwezi jibu Suali langu.

Tafadhali, naomba nijibu kwa PM ili nipate kukupa FAIDA za bure.

Hebu wewe fikiria Mimi nakupenda (No HOMO) kiasi gani.

Pamoja na yote hayo, lakini Mimi Nia yangu ya kukusaidia wewe bado ipo.

Jibu Swali
 
Moja ya post za maana kabisa kuwahi kusoma jf...da faiza Allah akuzidishie na ilmu uliyonayo uitumie kwa njia hii..hakika nimejifunza mengi sana kupitia majibu yako ya maswali mbalimbali uliyoulizwa.
AAMIN, AAMIN, AAMIN
 
Naomba kujua kinachozima moto nini!! Make hata maji ya moto yaliyochemka sana ukiyamwaga kwenye mkaa unazima!!? Kwa nini?
 
Mama Faiza foxy heshima kwako,

Najua upo hapa jf Kwa mda mrefu sana, pengine zaidi yangu

Naomba unieleze
Kwanini ninyi waislam mnatuita wa kristo makafili?

Pia kwanini kula nguruwe ni dhambi? Wakati huhuo huyo asiekula nguruwe lakini anakula mke Wa mtu na haoni kama ni dhambi
Si bora ule nguruwe tu
 
Mama Faiza foxy heshima kwako,

Najua upo hapa jf Kwa mda mrefu sana, pengine zaidi yangu

Naomba unieleze
Kwanini ninyi waislam mnatuita wa kristo makafili?

Pia kwanini kula nguruwe ni dhambi? Wakati huhuo huyo asiekula nguruwe lakini anakula mke Wa mtu na haoni kama ni dhambi
Si bora ule nguruwe tu


Yeyote ambae anamkufuru Mwenyeezi Mungu na kumshirikisha huyo ni kafir, iwe au asiwe Mkristo.

Sisi tunasema kama Mkristo maana yake kumfata Yesu alayhi salaam basi Waislam ni Wakristo wazuri zaidi kwani tunamfata Yesu alyhi salaam na tunaamini ni Mtume wa Mwenyeezi Mungu aliyefanya miujiza. Nnakusihi msome Yesu alyhi salaaam kwenye Qur'an na mama'ke Bibi Maryam uone Uislam unasemaje kuhusu viumbe hao watukufu.

Kula nguruwe ni haram na dhambi hata kwenye biblia, isome:

“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8).

Hakuna dhambi yenye ubora. Ukiona mtu anafanya zinaa ujuwe huyo amekiuka amri za Allah na anafanya makosa.
 
Back
Top Bottom