Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Mfani; Birika ina mkono, bilauri ina mkono, ndoo inamkono na hata wewe pia unamkono, tukisema mkono wa binadamu haufanani na kiumbe chochote tutakosea kwakuwa kuna viumbe vingine vinamikono kama nilivotaja hapo juu??

Hapo nimejaribu kukufanya ufikirie zaidi, inaposemwa Mungu anasikia basi si lazima ifanane na viumbe wake, usikivu wako wewe unamipaka, usikivu wa Allah hauna mipaka, anasikia sauti za viumbe wake wote kwa wakati mmoja na anajua kila nafsi kwa kila inachowaza na kusema!! Nimejibia namba 1.

Sent using Jamii Forums mobile app

Inaonekana ww ni mbulula kiwango cha lami hii[emoji15],hivi nikuulize kitu inawezakana vp birika au ndoo kikawa ni kiumbe hai,hata elimu ya darasa la saba umekosa mwenzangu na mm,aisee ndio sababu huyu mama maswali mengine hajibu,hebu kufikirisha akili yako bhana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejibu kwa tawheed na aqeeda ya ahli sunnah wal jama'a. Nahis we utakua salafy..
ALLAAH akuongoze..
Unamjuaje mtu mwenye aqida ya salaf na salaf aqida yao n ipi..... Mfano mm nikipinga maulid na hitma nikafuga ndevu.. Cvai isbal hapo ninawafuata salafy??? Na muda huo nawatii wasohukum kwa yale aloteremsha Allah.... Napiga kura... Je mm nafata manhaj salafy au Murcia????


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waoooo masha Allah u sound like a great scholar.. Where did u study.... George Washington islamic university or al azar????
Sawa ngja nikuulize maswal unijibu maana dini ya kiislamu inaenda kwa dalili yan quran na sunna kwa ufahamu wa pious predecessors....... Io aya uloitoa masahaba wameifasir vp... Pamoja na tafsir za kutegemewa ka ibn kathir.. Tafsir at tabbar... Tafsir ya qurtub na wengne....... Coz huwez toa tafsir kwa matamanio yako....... Sbb nikufahamishe kuna aya ambazo hukum zake zmefutwa mfano aya ya surat al kafirun lakum dinnukum waliyadin..... Aya hii iliteremshwa kipind rasul yuko makka hana nguvu na hajaamrishwa kupigana... Lakini alivohajir akaenda madina ana quwwa (nguvu) ikateremshwa aya "piganen nao mpaka isiwepo fitna na dini iwe ya Allah tu..... (surat anfal) so this aya ilireplace aya ya surat kafirun... Nyiemna dini yenu na sisi tunayetu.... So najarbu kukuonesha umuhimu wa kuijua quran kwa kina na huwez kuisoma tu kama gazet........ So swal langu n yap makusudio ya aya ulotoa na n nan akiuliwa n sawa wameuliwa watu wote na utuoneshe n tafsir ipi umetumia.... Noté s ugomv unaulizwa maswal nam nakuuliza




Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo si swali hiyo ni challenge ya kijinga. Sipo hapa ku challenge nani zaidi, hayo ni mambo ya kwenye rusha roho na sina muda huo.

Sunna ni Qur'an pekee.
 
Ok kabla ya kusema mtu ako na aqida ya salaf... Ijue kwanza aqiyda yake na mchunguze vizur.... Nmempa tu ushaur huyu sista anaejibu maswala ya watu ila awe makini kuhusiana na dini maana kuna mambo nayaona n makosa matupu bal yaweza kumpelekea kukufuru Ila amekuwa mkali....

Sent using Jamii Forums mobile app

Nyinyi kupeana majina tu, sijuwi huyu salami yule salafi, huyu sunni, yule ibadhi, yule shia. Hiyo kwangu ni kufuru.

Mimi ni Muislam.

Huo upuuzi wa kupeana madheheb pelekeni huko kwa wenye kukufuru wenzenu.
 
Nyinyi kupeana majina tu, sijuwi huyu salami yule salafi, huyu sunni, yule ibadhi, yule shia. Hiyo kwangu ni kufuru.

Mimi ni Muislam.

Huo upuuzi wa kupeana madheheb pelekeni huko kwa wenye kukufuru wenzenu.
Umesema ukweli, katika vitu ambavyo sivikubali ni mtu kujinasibisha na dhehebu, sijui hii dalili wanatoa wapi.

Kuna mchumba ambaye nilitaka kumuoa, wakaanza itikadi zao, kama wewe (mm) ni suni hatutaki kukupa binti yetu, nikawaambia mtume katufundisha, mwanamke anaolewa kwa mambo 4, vitu vingine mnavyoleta ni kukufuru tu, mtume hajasema mwanamke aolewe kwa dhehebu . Walikuja kunielewa lakini.

Binti nilimwambia utanikosa kwa vitu vya kishetani shetani tu vinavyoingizwa na ndugu zako.
 
Umesema ukweli, katika vitu ambavyo sivikubali ni mtu kujinasibisha na dhehebu, sijui hii dalili wanatoa wapi.

Kuna mchumba ambaye nilitaka kumuoa, wakaanza itikadi zao, kama wewe (mm) ni suni hatutaki kukupa binti yetu, nikawaambia mtume katufundisha, mwanamke anaolewa kwa mambo 4, vitu vingine mnavyoleta ni kukufuru tu, mtume hajasema mwanamke aolewe kwa dhehebu . Walikuja kunielewa lakini.

Binti nilimwambia utanikosa kwa vitu vya kishetani shetani tu vinavyoingizwa na ndugu zako.
Unajua kufr n nn...... Kwann mnazungumza msokuwa na ilm nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo si swali hiyo ni challenge ya kijinga. Sipo hapa ku challenge nani zaidi, hayo ni mambo ya kwenye rusha roho na sina muda huo.

Sunna ni Qur'an pekee.
Sister cjakuchallenge nd am advising u for the sake of Allah coz we all have mistakes...... Islam una vyanzo vinne vya sharia... Quran.. Sunna.... Qiyas na ijmaa.... Una maana gan unaposema sunna n quran pekee... Je hadith za mtume na mwenendo wake huutak

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesema ukweli, katika vitu ambavyo sivikubali ni mtu kujinasibisha na dhehebu, sijui hii dalili wanatoa wapi.

Kuna mchumba ambaye nilitaka kumuoa, wakaanza itikadi zao, kama wewe (mm) ni suni hatutaki kukupa binti yetu, nikawaambia mtume katufundisha, mwanamke anaolewa kwa mambo 4, vitu vingine mnavyoleta ni kukufuru tu, mtume hajasema mwanamke aolewe kwa dhehebu . Walikuja kunielewa lakini.

Binti nilimwambia utanikosa kwa vitu vya kishetani shetani tu vinavyoingizwa na ndugu zako.
Mtume alifundisha kuwa muislamu aoe mke kwa kuzingatia sifa zipi?
 
Sister cjakuchallenge nd am advising u for the sake of Allah coz we all have mistakes...... Islam una vyanzo vinne vya sharia... Quran.. Sunna.... Qiyas na ijmaa.... Una maana gan unaposema sunna n quran pekee... Je hadith za mtume na mwenendo wake huutak

Sent using Jamii Forums mobile app

Usizuwe. Hadithi si za Mtume. Hadithi uhadithie wewe umsingizie Mtume? Mtume kapewa Qur'an na Qur'an haikuwacha kitu.

Qur'an 6:38
Na hakuna mnyama katika ardhi wala ndege arukaye kwa mbawa zake, ila ni umma kama nyinyi. Hatukupuuza Kitabuni kitu chochote. Kisha watakusanywa kwa Mola Wao.
 
Hivi ..kukuuliza wewe ni kufaidika????

mwanza kwetu
 
Ni kwa nini Rais hamteuwi Mzee Lipumba kuwa waziri wa madini?
 
Back
Top Bottom