Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwalimu shule ya msingi maendeleoUnafanya kazi gani?
LindiUpo mkoa gani?
AlhamduliLlah nnao wengi tu, haya tuyajenge. Anza kwa kunijibu maswali yangu:
1) Unaitwa nani?
2) Una umri gani?
Mengine baada ya kujibu hayo.jina mama yangu nitakujajia,umri 31
MuhayaDini yako ni ipi?
watu wawili tofauti
Maendeleo yapo aina mbili, tulipopata uhuru Nyerere alituaminisha tuna maadui watatu, ujinga, umasikini na maradhi. Tumeendelea kuaminishwa hivyo mpaka awamu iliyopita.Bi Faiza kuna sehemu nilikusoma hapa jamii forum kwamba wewe umeshuhudia karibu awamu zote za uongozi wa nchi yetu hii .
Kwa mantiki hio wewe ni mtu mwenye upeo mkubwa kwenye mambo ya siasa na maendeleo yatokanayo na siasa kwa ujumla wake .
Kwa kuwa dhamana ya maendeleo yetu kama taifa yameshikwa na wana siasa, mimi ningependa kujua kwako mambo kadhaa kulingana na ufahamu na upeo wako kwenye nyanja hio.
(1) kuna dalili zozote tukapata maendeleo ya jumla na kutoka kwenye umaskini kama taifa chini ya uongozi utakao katika chama cha Mapinduzi ccm?
(2) kuna wakati utafika ccm wakubali kuachia madaraka kwa chama kingine?
Unaweza kuwa na rasilimali nyingi sana lakini huna teknolojia au soko la kutosha kuzitumia hizo rasilmali zako.(3) kwa idadi ya rasilimali zilizopo katika taifa hili, haiwezekani kwa kiongozi yoyote kuzitumia ili kuleta maendeleo ya moja kwa moja kama taifa bila ya kutegemea wenzetu ambao wao wametumia rasilimali zao kupiga hatua na kufikia daraja la juu la maendeleo?
Bibi fox.CCM ni chama cha siasa, siamni kama itafika wakati watakubali kuwachia madaraka, isipokuwa itafika wakati watakosa madaraka, kama kitatokea chama chenye sera nzuri na kitachotimiza ahadi zaidi yake.
Tazama mifano ya nchi nyingi zenye vyama vingi, wanaachiana madaraka kwa sanduku la kura lakini malalamiko hayaishi, malalamiko yakizidi vyama pinzani wanaunda sera na kushindana kwenye boksi la kura.
Mimi ni CCM na CCM ni kama vyama vingine vyote hakikosi mapungufu yake kwa kuwa kinaendeshwa na watu na siyo malaika. Lakini uzuri wa CCM kimepata uzoefu wa kustahamiliana na kuwa na demokrasia ndani ya chama, wanajifanyia marekebishpo mengi ya ndani ambayo ukiwa siyo mmwana CCM huwezi kuyaelewa.
Uzuri wa CCM ya sasa hivi ni wasikivu na wana juhusi sana ya kutimiza yote waliyoyaahidi ili wapewe kura. Tena naona mama Samia anakwenda mbalizaidi ya kutimiza ahadi. Ni mbunifu sana na anafanya vizuri sana.
CCM inazidi kukomaa na kuwa nzuri zaidi.
Katiba hizi ni maandiko ya binadam kwa wakati na uelewa na matamanio ya wakati ule wanapoziaandika, hazitakaa zifae miaka yote. Ni lazima zitakuwa na mabadiliko ya mara kwa mara.Bibi fox.
Maswali yangu kwako.
1. Ni upi mtazamo wako kuhusu katiba tulionayo sasa inafaa au haifai na kama inafaa nieleweshe ni kivipi mwananchi ananufaika nayo akiitumia kukomesha viongozi wanaoende kinyume na maadili ya uongozi.
Ni wakati gani wa kutumia
"Waleiykum salaam"
Na ni upi wa kutumia
"Waleiykum salaam Warahmatullah Wakarakat "!?
Na yana maana gani?
Oh kumbe!Maana ya waalaikumsalam ni "Na kwenu amani".
Wa alaykumus salam wa rahmatullah linaweza kutafsiriwa kama "Amani na rehema za Allah ziwe pamoja nanyi pia". Mwisho, Wa alaykumu s-salam wa rahmatullahi wa barakatuh itakuwa "Amani, rehema na baraka za Allah ziwe pamoja nanyi pia".
Kwa uelewa wangu yote hayana wakati maalum, ni bashasha na shauku.
Ijumaa ya baraka (heri).Oh kumbe!
Akhsante
Na hii Juma Mubarak
Na Juma Kareem
Tofauti yake ni Nini?