Faiza Ally amjia juu mzazi mwenzie Sugu na anajuta kuzaa nae

Mkuu mimi nilijua aliposhinda kesi alimchukua mtoto, sasa hapa nashangaa kuwa mtoto bado yuko kwa Mama yake
 
View attachment 2444126
Wana jukwaa hivi hapa anaejuta kuzaa na mwenzie ni nani kati ya Faiza na Sugu?? Faiza ana mtusi matusi makubwa sijui kama anajenga kwakweli..pia mwanaume kama ni kweli hamjali mtoto kwa lolote anafanya vibaya sanaa.
Kosea yotee usikosee mwanamke mhh yani mambo ya familia yanamwagwaaa hadharani tena public na matusi juu

Manina mwanamke huyu ni wa kupigwa kerebuuu za maana..🤕🥵
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…