Mkuu mimi nilijua aliposhinda kesi alimchukua mtoto, sasa hapa nashangaa kuwa mtoto bado yuko kwa Mama yakeFaiza anaboa wa kwanza kusimanga wenzie hawana watoto kisha wa kwanza kujipa uvictim. Yeye si superwoman ampotezee tu sugu na kulea mwanae.
Mwenzie flora mvungi alijua kakosea na kujuta kuhusu hbaba kisha akamove on ila huyu anayejiona dada wa mujini kutaka kuishi kwa mashindano kwa pesa za sugu lazima akusanye drama mitandaoni aonewe huruma.
Anajisahaulisha kuwa sugu alishinda kesi ya custody ya mtoto na ana haki ya kumchukua muda wowote atakao
Huyo hata na pesa nipewe simchukuiMwezi mchanga..tiba ni kuolewa tuu
Naomba nikuulize swali mkuu?Lakini mkuu mateso yameanzia kwa wazazi hasa mama yake
Kosea yotee usikosee mwanamke mhh yani mambo ya familia yanamwagwaaa hadharani tena public na matusi juuView attachment 2444126
Wana jukwaa hivi hapa anaejuta kuzaa na mwenzie ni nani kati ya Faiza na Sugu?? Faiza ana mtusi matusi makubwa sijui kama anajenga kwakweli..pia mwanaume kama ni kweli hamjali mtoto kwa lolote anafanya vibaya sanaa.
Uliza kiroho safi mkuu wanguNaomba nikuulize swali mkuu?
Kwenye hii mada sipo upande wa Faiza kichwa maji wala Sugu mibangi nieleweke kwanza mimi natetea huyo mtoto wanao mtesa hisia zakeKuwapakazia wanaume hata kama wanatoa matumizi,kwani wakati mnakaa mguu pande siku za hatari mlitegemea nini
Mama angekua mwenye busara mtoto angeishi maisha bora sana?Kwenye hii mada sipo upande wa Faiza kichwa maji wala Sugu mibangi nieleweke kwanza mimi natetea huyo mtoto wanao mtesa hisia zake
Mkuu mimi nilijua aliposhinda kesi alimchukua mtoto, sasa hapa nashangaa kuwa mtoto bado yuko kwa Mama yake
Mfano wewe ndio Sugu je ungelipisa kisasi kwa njia ipi ili kumkomoa mzazi mwenzio?Uliza kiroho safi mkuu wangu
Mlezi wa mtoto mama uchukua 70%,hata mtoto ashajua kwann mama yake kaachwaKwenye hii mada sipo upande wa Faiza kichwa maji wala Sugu mibangi nieleweke kwanza mimi natetea huyo mtoto wanao mtesa hisia zake
Ni sawa Faiza ni mwehu lakini si sababu ya Sugu kumtesa mtoto kihisiaMama angekua mwenye busara mtoto angeishi maisha bora sana?
Nisingehangaika na hiyo fululu ningedeal na mwanangu tuMfano wewe ndio Sugu je ungelipisa kisasi kwa njia ipi ili kumkomoa mzazi mwenzio?
Tushauri ingekuwa wewe Sugu ungefanyajeNi sawa Faiza ni mwehu lakini si sababu ya Sugu kumtesa mtoto kihisia
Sawa kajua ila si sababu ya Sugu kumtelekeza huyo mtotoMlezi wa mtoto mama uchukua 70%,hata mtoto ashajua kwann mama yake kaachwa
Ubarikiwe na kizazi chako piaNisingehangaika na hiyo fululu ningedeal na mwanangu tu
Mtoto wangu kwanza mengine napotezeaTushauri ingekuwa wewe Sugu ungefanyaje
Mbona sugu alishalizungumza hili,yule Saa mbovu ni hasira za kuona ex kafanikiwa.Sawa kajua ila si sababu ya Sugu kumtelekeza huyo mtoto
Kuhusu mwanangu yaani ugomvi utaamuliwa na UNMtoto wangu kwanza mengine napotezea