Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Hata mimi nahisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi nahisi
Happy Sugu 😆🤣😂Happy Sugu sasa na yeye huko Insta anavyojishaua sasa...mara nipo hotel desderia mara nilikutana na Sugu wakati nafanya kazi Byuro de chenji mara alienda ulaya akaniletea pafyumu baaasi itakua inamvuruga sana Faiza.
Huyu bado anampenda sugu, hizo nyongo anatema ni machungu tu ya kupigwa chini.Huyu mmama nilijua kashakubali ukweli kwamba Sugu sio wake tena bali ni mzazi mwenzake tu. Hizo kelele hapo hamna lolote aseme tu bado anamtaka Sugu. Eti sura mbaya wakati anamchanulia miguu hakuiona hiyo sura mbaya? Kuwa na mama hivi ni hasara sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ni mrangi huyoKumbe Faiza ni mtu wa kondoa? I mean mrangi?
Hawezi kuwaza hili..Anapoharibu ni kuweka haya mambo kwny mitandao nadhani baadae Sasha akikua yatamuathiri kisaikolojia...maybe ni kweli anapitia kipindi kigumu ila nadhani angeyatatua privately
Faiza haeleweki Siku ile sugu alinchukua Sasha kaenda naye kwenye paty dogo kapiga picha na happy na mama Samia, happy akaipost ikawa nongwa. Katukana mpaka watt wadogo wa sugu. Sasa hapo tutamlaumu sugu kweli? Yaani Kama ana kichaa jamaniFaiza anataka Sugu awe anakumbushia enzi japo kwa siri huku akitoa matunzo ndo maana anasema ana roho mbaya hahhaah 😀 sugu kakomaa anaheshimu ndoa
Yani nakumbuka akasema anapiga na mtoto wake mrembo anatafuta kiki..ki ubinadamu lazima mtu akwazikeFaiza haeleweki Siku ile sugu alinchukua Sasha kaenda naye kwenye paty dogi kapiga picha na happy na mama Samia, happy akaipost ikawa nongwa. Katukana mpaka watt wadogo wa sugu. Sasa hapo tutamlaumu sugu kweli? Yaani Kama ana kichaa jamani
Mashauzi ya happy yanamchanganya Sana. Baba ake Lee atakuwa kapuku eeh...Happy Sugu sasa na yeye huko Insta anavyojishaua sasa...mara nipo hotel desderia mara nilikutana na Sugu wakati nafanya kazi Byuro de chenji mara alienda ulaya akaniletea pafyumu baaasi itakua inamvuruga sana Faiza.
Kelele hazitapungua Bali zitaongezeka. Itakuwa mtoto hata akiambiwa akaoge akijisikia uvivu tu ataripot kwa mama ananyanyaswa, Sasa hapo matusi yatakayoandikwa insta itasimamaSishabikii wanaume wasiowajibika kwa mtoto/watoto wao lkn kwa kesi ya Sugu nauona ugumu ulipo, mtoto si kafika umri wa kuweza kuhamia kwa baba yake bora Sugu amchukue hizi kelele zipungue.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muongo buana, babake lee angekuwa mtamu asingempotezea. Atakuwa apeche alolo abachada 😂😂😂Itakua maana alisema yeye amebeba mimba na huyo baba Lee kwa ajili ya mbegu nzuri tuu hana habari nae so alijipeleka kupewa mimba 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄
Sugu akimchukua mtoto yeye analeta nongwa, Kuna kipindi walimuomba mtoto kwenye msiba wa mama ake sugu.kabla msiba haujaisha akaandika magazeti yake anataka mwanae arudi dar. Haya juzi Kati wamemchukua mtoto kwenye event ya babake nadhan unakumbuka kilichotokea.Mtoto wangu kwanza mengine napotezea
"Don't believe everything you read". -2pacSugu ana ubillionea gani we kiumbe au chawa wa Sugu,yaani mzazi anaye lipa kisasi kwa kumkomoa mtoto kwangu naona nati za kichwani hazijakaza vizuri