Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
Haya ya hivi hua yanapumuliwa na wajomba zao🙆Litakuwa linapumuliwa hili...lizee la blowjob[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ya hivi hua yanapumuliwa na wajomba zao🙆Litakuwa linapumuliwa hili...lizee la blowjob[emoji1787][emoji1787]
Sugu atakua anajuta sana kuzaa na huyu mwanamke, hana jema kila mahala lawama tu.Kelele hazitapungua Bali zitaongezeka. Itakuwa mtoto hata akiambiwa akaoge akijisikia uvivu tu ataripot kwa mama ananyanyaswa, Sasa hapo matusi yatakayoandikwa insta itasimama
View attachment 2444126
Wana jukwaa hivi hapa anaejuta kuzaa na mwenzie ni nani kati ya Faiza na Sugu?
Faiza ana mtusi matusi makubwa sijui kama anajenga kwakweli, pia mwanaume kama ni kweli hamjali mtoto kwa lolote anafanya vibaya sanaa.
Yaani Hadi huruma! Tangu ameanza kumtusi huu sijui mwaka wangapi? Sugu anakausha tu..Sugu atakua anajuta sana kuzaa na huyu mwanamke, hana jema kila mahala lawama tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio mzima yule...hata shoga ake Zama naona kamshindwaLeo ndo anaona mbaya...ila kweli akili yake itakua imevurugwa
Huyo kile kichaa kimechachamaa tena anahitaji dawa
Usipokuwa mstaarabu mbele ya watu unadhani nani atakuheshimuSijuagi ni kwa nini kuna watu hawawezi kucomment kiustaarabu mpaka watukane wengine, sio poa kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu huwa wanaanza tu matusi hawa ndio nawashangaa, hajachokozwa popote ila ni matusi kwa kwenda mbele.Usipokuwa mstaarabu mbale ya watu unadhani nani atakuheshimu
Ujue Sugu anapewa lawama bure kwa mwanamke kivuruge kama huyu maana hata kuwa nae karibu anaogopa sembuse kumuona mtoto, na hapa anaenyanyasika ni Sasha sijui kama wanaliona hiliYaani Hadi huruma! Tangu ameanza kumtusi huu sijui mwaka wangapi? Sugu anakausha tu..
Kupasha kiporo kunataka muda gani? Hata kwenye gari mbona fresh tuMhh sasa na Happy ndo.kashikilia usukani masaa 24 atapashia wapi hiko kiporo?
Kweli dunia ipo mbioFaiza anaboa wa kwanza kusimanga wenzie hawana watoto kisha wa kwanza kujipa uvictim. Yeye si superwoman ampotezee tu sugu na kulea mwanae.
Mwenzie flora mvungi alijua kakosea na kujuta kuhusu hbaba kisha akamove on ila huyu anayejiona dada wa mujini kutaka kuishi kwa mashindano kwa pesa za sugu lazima akusanye drama mitandaoni aonewe huruma.
Anajisahaulisha kuwa sugu alishinda kesi ya custody ya mtoto na ana haki ya kumchukua muda wowote atakao
[emoji23]Ndege wafananao hao
Anayeteseka hapo ni mtoto
Kwamba Faiza amekosa wa kumpelekeaa moto? Hauko serious.Kwa sisi wenye watoto nje tumemuelewa zaidi; tatizo sio matunzo, anataka aendelee kupelekewa moto, bila kujali madhara yatakayotokea kwenye ndoa.