Faiza Ally amjia juu mzazi mwenzie Sugu na anajuta kuzaa nae

Faiza Ally amjia juu mzazi mwenzie Sugu na anajuta kuzaa nae

Sishabikii wanaume wasiowajibika kwa mtoto/watoto wao lkn kwa kesi ya Sugu nauona ugumu ulipo, mtoto si kafika umri wa kuweza kuhamia kwa baba yake bora Sugu amchukue hizi kelele zipungue.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani ni rahisi? Ukizaa na mtu jua ni muunganiko wa milele! Sie wetu wapo 18 lakini cha moto hadi Golgotha! Usicheze na mwanamke, ukimuacha wewe na ukawa umezaa naye, unalo! Mtoto anakuwa ni fimbo ya kukuchapia.
 
View attachment 2444126
Wana jukwaa hivi hapa anaejuta kuzaa na mwenzie ni nani kati ya Faiza na Sugu?

Faiza ana mtusi matusi makubwa sijui kama anajenga kwakweli, pia mwanaume kama ni kweli hamjali mtoto kwa lolote anafanya vibaya sanaa.
Ni bahati mbaya sana kwa Sugu kuzaa na huyu mama.

Ni msiba mkubwa kwa mtoto wake kuwa na huyu mama ambaye hajawahi kuwa na akili. Kumshirikisha mtoto ugomvi wenu wazazi ni kumtafutia mtoto laana.

Nakumbuka alimpangia maneno mwanae akayarekodi na kuyatuma mitandao ya kijamii. Haya sasa mtoto kumbe anamtaka baba yake kila siku.

Nawaasa wanawake kuacha kuwatumia watoto kama silaha kwenye mahusiano. Watoto hawana hatia wala siyo chanzo cha upuuzi wa magomvi ya wazazi.

Jamii inapaswa kumuona huyu mama kama mhitaji wa tiba ya afya ya akili
 
Acha kumwita binadamu takataka, tako ka la kunguru[emoji57][emoji57][emoji57]
Hivi Faiza kama sio takataka ni kitu gani.

Yule Dem ni takataka za chini zilizooza. Yule hata uchi wake unakoma. Ni katili anamuathiri mtoto. Anamdhalilisha mtoto. Sugu ni sugu miaka na miaka.

Yaani hata nyimbo, hotuba zake ni sugu utamsikiliza na ninyi mnamsikiliza na Faiza anamsikiliza. Faiza ana genye.
 
View attachment 2444126
Wana jukwaa hivi hapa anaejuta kuzaa na mwenzie ni nani kati ya Faiza na Sugu?

Faiza ana mtusi matusi makubwa sijui kama anajenga kwakweli, pia mwanaume kama ni kweli hamjali mtoto kwa lolote anafanya vibaya sanaa.
Huyu mwanamke ni kati ya wanawake wajinga kabisa kuwahi kutokea duniani, sijui Sugu alikutana nae wapi

Wanaume rukeni mnavyoruka ila epuka kuzaa na sampuli ya namna hii, utatamani israeli mtoa roho akuchukue kabla ya siku zako
 
Back
Top Bottom